Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Au warudie jina lao la TanganyikaTuliaaaaa tuli mlipoamua kujivisha koti la muungano na kusahau nchi yenu ya Tanganyika mlitegemea nini? hizi ni sherehe za muungano , Zanzibar kama sehemu ya Muungano wanayo haki kupata pesa hizo, kama hutaki tafuteni jina lingine lakini sio lenye neno muungano
Mama ameanza vituko mapema sana.huyu mama nchi itamshinda mapema kama ataendelea na huu ujinga aloanza nao
Dah mawazo mengine, inachangia jina? kwani tungeitwa Tanganyika tungepungukiwa na nini.Mkuu Zanzibar inachangia Jina maana hebu piga picha tu Tungeendelea kuitwa "Tanganyika" jina lenyewe linahuzunisha kabisa.
1. Kwani aliyeua tanganyika ni nani?Mkuu wewe ndiyo utakuwa hujaelewa. Tulia usome tena.
Kuna sehemu 3:
1. Zanzibar
2. Tanganyika
3. Tanzania
Katika Tanzania kuna Zanzibar na Tanganyika.
Zanzibar yupo hai ila Tanganyika ni marehemu kabisa.
Zanzibar anaweza omba hata msaada. Tanganyika - hola!
Zanzibar anapata gawio tokea Tanzania. Tanganyika - hola!
Zanzibar anaweza kufurukuta. Tanganyika - hola!
Tanganyika is a loser in everything!
Au nasema uongo ndugu zangu?
Mtoto akililia wembe mpe hakuna haja ya kupiga ramliZanziba kimsingi inapaswa iwe mkoa moja au miwili. Kiuchumi haina tija ila kisiasa. Ukiangalia ni wazanzibari wangapi wanaishi bara utakuta ni hasara tu. Hawana tofauti na magabacholi wengine. Nyerere alipenda sana kuunganisha Afrika akashindwa na kuunganisha nchi yake na kiraka cha matatizo. Hata hivyo, ukiwaacha waondoke kwenye muungano ima watarejea kwenye utumwa wa waarabu au watamalizana kwa kuchinjana baina ya wazanzibara na wazanzirabu aka wapemba.
1. Kwani aliyeua tanganyika ni nani?
2. Kwani aliyeunganisha nani?
3. Kwani aliyetaka Zanzibar iendelee na mamlaka yake nani?
4. Kwani aliyekuwa kiongozi kipindi hicho nan?
Ndio maana wanasema tanganyika imevaa koti la muungano kwa maana ukiongelea Tanzania unaigusa moja kwa bara, kwasababu Tanganyika haionekani lakini Zanzibar bado inaonekana.
Rasimu ya katiba (Mzee Warioba) iliyowekwa kapuni ilikuja na mchakato wote wa kuwa na serikali 3. Lakini kwa nini ilitupwa?
Ni lazima upite kwene serikali ya muungano haya mambo akina nyerere walikuwa very technical...ila kiuhalisia sisi upande wa bara tunawanyonya zaidi wale wavisiwaniKumbuka sisi ni Tanganyika wala si Tanzania. Katika Tanzania, na Zanzibar wamo.
Sasa kama msaada waja kwanza Tanzania halafu tena sehemu yaenda Zanzibar, huoni kuwa Zanzibar wao wanapata mara mbili hali sisi hamna kabisa.
Kinachokwenda Tanganyika kipo wapi?
Au nasema uongo ndugu zangu?
Ni lazima upite kwene serikali ya muungano haya mambo akina nyerere walikuwa very technical...ila kiuhalisia sisi upande wa bara tunawanyonya zaidi wale wavisiwani
Yeah[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kwahio mnataka mtu kama meko vile yaani muwe hampumui muongozwe kingunguvu tu, alaf muteswe kitaa kiwe kigumu, yaani muambiwe kauli zile zakidhalim eeee?
Sent from my SHARK MBU-H0 using JamiiForums mobile app
Wakimaliza kutawala wote wanabaki bara, no one goes back! Muungno no waste of resources.ilikuwa uroho wa madarakaWatu tunataka Elimu mchango ambao Zanzibar inatoa kwenye Serikali ya Muungano. Naona kama Tunaumia sana sisi wa Bara. Kuubeba Muungano.
Mfano nataka kuoa. Nimeandaa Harusi baadaye nikaamua kutofanya sherehe. Je zile pesa nagawa pia kwa bibi harusi? Ndicho ambacho alichofanya Samia. Yaani pesa hizi ambazo zimeandaliwa na Watanzania Bara kwa Sherehe isiyo na tija kaamua zigawanywe sawa kwa sawa.
Hili suala tuanze likemea mapema. Kodi za Wabara zitumike kwa Wabara. Na Wazanzibar zitumike kwao kwa maendeleo ya nchi yao.
Tabia ya kupendelea eneo moja analotoka Rais ikomeshwe isiendelee.tuliona miradi mingine ilivyokuwa ikipelekwa sehemu ambazo hiyo miradi haikuwa na tija.
Lakini suala langu kubwa ni kupeana Elimu kuwa kuna pesa gani ambazo Bara inapata toka Zanzibar? Au zinaingia kwenye Muungano toka Zanzibar?
But pia hizi pesa anazotaka zipelekwe Zanzibar pia. Zilitokea au patikana wapi? Kodi za Wabara zisitumike vibaya. Watu kwa sasa kwa woga au Unafiki wanashindwa kuhoji hili jambo.
Ila wajue mwanzo wa ngoma ni lelele.... Tusikubali mambo ya hovyo kuendelea. Na mchakato wa Katiba urudishwe ili haya mahusiano yawe yame balance. Zanzibar wasionewe hali kadhalika Bara pia wasionewe. Hawa wabara ndo hata Serikali yao hawana.
acha upotoshaji hakuna pato lolote linalokusanywa zanzibar halafu likaja kutumika tanganyika ...zanzibar wanakusanya mapato yao na kuyatumia wao tuZanzibar wanapoomba msaada kutoka nje ya nchi lazima msaada ule upite tanganyika kwanza uvhukuliwe nusu na robo thn znz ndio wanapata kilichobaki, TRA kukusanya mapato ikiwemo sector ya utalii znz
Sent from my SHARK MBU-H0 using JamiiForums mobile app
unapotosha sana... ukweli ni kwamba zanzibar wataomba jambo lao wanalolitaka kupitia tanzania na linaporudi zanzibar si kweli kuwa tanganyika italimega kwanza then ndio liende kwa wazanzibar la hasha isipokuwa jina tu la zanzibar au tanganyika ndio yenye shida kimataifa lakini kila mmoja ataomba jambo lake kwa jina la tanzania na alichokiomba atakitumia yeye mwenyewe na si woteLabda hujaelewa, msaada wowote wanaoomba Zanzibar, hauendi Zanzibar moja kwa moja kama walivyoomba ni lazima upitie kwenye Jamhuri ndipo Zanzibar wapatiwe kistahiki kulingana na mgawanyo! Sasa kwanini iwe hivyo? Kwanini isiwe msaada wanaoomba Zanzibar usiende Zanzibar kwa walengwa moja kwa moja.
Mambo ya Muungano yalikuwa 11, hadi sasa yamefika 24.
Ni vema aseme kila upande urejeshewe kiasi cha fedha ulichochangia 🎃patamu hapooo 🎒Watu tunataka Elimu mchango ambao Zanzibar inatoa kwenye Serikali ya Muungano. Naona kama Tunaumia sana sisi wa Bara. Kuubeba Muungano.
Mfano nataka kuoa. Nimeandaa Harusi baadaye nikaamua kutofanya sherehe. Je zile pesa nagawa pia kwa bibi harusi? Ndicho ambacho alichofanya Samia. Yaani pesa hizi ambazo zimeandaliwa na Watanzania Bara kwa Sherehe isiyo na tija kaamua zigawanywe sawa kwa sawa.
Hili suala tuanze likemea mapema. Kodi za Wabara zitumike kwa Wabara. Na Wazanzibar zitumike kwao kwa maendeleo ya nchi yao.
Tabia ya kupendelea eneo moja analotoka Rais ikomeshwe isiendelee.tuliona miradi mingine ilivyokuwa ikipelekwa sehemu ambazo hiyo miradi haikuwa na tija.
Lakini suala langu kubwa ni kupeana Elimu kuwa kuna pesa gani ambazo Bara inapata toka Zanzibar? Au zinaingia kwenye Muungano toka Zanzibar?
But pia hizi pesa anazotaka zipelekwe Zanzibar pia. Zilitokea au patikana wapi? Kodi za Wabara zisitumike vibaya. Watu kwa sasa kwa woga au Unafiki wanashindwa kuhoji hili jambo.
Ila wajue mwanzo wa ngoma ni lelele.... Tusikubali mambo ya hovyo kuendelea. Na mchakato wa Katiba urudishwe ili haya mahusiano yawe yame balance. Zanzibar wasionewe hali kadhalika Bara pia wasionewe. Hawa wabara ndo hata Serikali yao hawana.nivema
Kama hakuna TRA zanzibar inayokusanya kodi kwa ajili ya Tanganyika basi yale majengo yenu yaliyo na mabango TANZANI REVENUE AUTHORITY yaondoeni., yapo kila kona zanzibar unguja na pemba kote kila mahali mpaka bandarini na kila sehemu.acha upotoshaji hakuna pato lolote linalokusanywa zanzibar halafu likaja kutumika tanganyika ...zanzibar wanakusanya mapato yao na kuyatumia wao tu
wazanzibar hawako tayari kitu chao kikawa cha muungano hata kimoja refer upatikanaji wa mafuta kwao
kusema na ukweli hili la mapato ya bara kugawanywa kwenda zanzibar limeshangaza wengi na geni kabisa halafu basi ingekuwa hata ktk mlinganyo unaolekea na uhalisia yaani zanzibar inakula 50 nzima kweli hii imekaa sawa !!!
kuna mikoa mingapi bara jamani!!! je kila mkoa ukidai pato lake lirejeshwe kwa ajili ya matumizi yake watakuwa wanakosea?!!!
yaani zanzibar anakula pato la arusha,mwanza,mbeya,kigoma n.k pato ambalo hakulichangia chochote kile !???...je hiyo mikoa ina mahitaji mangapi imejinyima ili kuchangia pato la taifa leo pato lao linagawanywa kwa mtu ambaye hana uhalali nalo !!!
hii haiko sawa hata kidogo uhalali wa zanzibar kugawiwa ungekuwepo kama anachangia 50 ya pato la muungano hata mgawanyo wake ungepaswa kuwa 50 /50 basi hata mgawanyo utakuwa 50 - 50 siyo achangie 2 then aje apewe 50 basi kila mkoa uombe mgao wake uliosawa kama ulivyochangia
hii tabia ya kubebana kwa nguvu za jasho la wengine iishie hili tu lisjirudie tena eti kwa kigezo cha koti la muungano ni bora ungepewa mkoa wowote asilimia 50 ya pato lote la taifa maana watakuwa na uhalali kwa sababu wanachangia hilo pato
Muungano huu hauna faida kwa watanganyika. Unawafaidisha wazanzibari tu.
Anayebisha anyooshe mkono juu, au hata afanye kama anajikuna. Halafu alete faida moja tu ambayo mtanganyika anaipata.
Kwanini hamtaki kuwaachia wanaowanyonya?Hayo ni maoni yako mkuu. Wengine sisi tunaona bara tunanyonywa sana mkuu kwenye huu utaratibu wa Muungano.