acha upotoshaji hakuna pato lolote linalokusanywa zanzibar halafu likaja kutumika tanganyika ...zanzibar wanakusanya mapato yao na kuyatumia wao tu
wazanzibar hawako tayari kitu chao kikawa cha muungano hata kimoja refer upatikanaji wa mafuta kwao
kusema na ukweli hili la mapato ya bara kugawanywa kwenda zanzibar limeshangaza wengi na geni kabisa halafu basi ingekuwa hata ktk mlinganyo unaolekea na uhalisia yaani zanzibar inakula 50 nzima kweli hii imekaa sawa !!!
kuna mikoa mingapi bara jamani!!! je kila mkoa ukidai pato lake lirejeshwe kwa ajili ya matumizi yake watakuwa wanakosea?!!!
yaani zanzibar anakula pato la arusha,mwanza,mbeya,kigoma n.k pato ambalo hakulichangia chochote kile !???...je hiyo mikoa ina mahitaji mangapi imejinyima ili kuchangia pato la taifa leo pato lao linagawanywa kwa mtu ambaye hana uhalali nalo !!!
hii haiko sawa hata kidogo uhalali wa zanzibar kugawiwa ungekuwepo kama anachangia 50 ya pato la muungano hata mgawanyo wake ungepaswa kuwa 50 /50 basi hata mgawanyo utakuwa 50 - 50 siyo achangie 2 then aje apewe 50 basi kila mkoa uombe mgao wake uliosawa kama ulivyochangia
hii tabia ya kubebana kwa nguvu za jasho la wengine iishie hili tu lisjirudie tena eti kwa kigezo cha koti la muungano ni bora ungepewa mkoa wowote asilimia 50 ya pato lote la taifa maana watakuwa na uhalali kwa sababu wanachangia hilo pato