Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio dhuluma, wale watu wameathiriwa na imani ya dini wanayoiamini na kuiabudu. Ile dini hufanya ufahamu wao uone kuwa imani hiyo ndiyo inayotawala nyanja zote za maisha yao. Hata wakiwa na baraza lao la mitihani dini hiyo haitawabadili mitazamo kuthamini mifumo ya elimu isiyoegemea dini. Kupata baraza lao la mitihani itakuwa ni muendelezo wa kujitoa kwenye muungano, maana imebaki kidogo wawe na kila kitu chao. Wana serikali kamili inayojitegemea kwa mambo yao nje na mambo ya muungano. Wapatiwe tu hilo baraza watakuwa wanajitoa kwenye muungano kiulaini bila mnyukano wa hoja. Wale wakijitoa kwenye muungano watabadili vitu vingi vyenye sura ya muungano ikiwemo alama ya bendera ya muungano ndani ya bendera yao ambayo tayari walishapata. Wapewe tu maana shule zao zitaendele kuburuza mkia nyuma ya shule za bara
Kwani nimesema wasisome?Alisikika aliye kimbia shule so wasipo soma madaktari watatoka wapi?
baraza la maulamaa ni kichaka cha kuendeleza ujinga. Ni siasa tu zenye itikadi za kidini, kuweka imani za kidini kwenye mambo ya elimu ni sawa na kutia giza kwenye nuru. Wasiingize dini kwenye mambo ya kisayansiTazama maksi walizopata kwenye somo lao la dini .
Baraza la maulamaa hili nalo mkalitazame
Combination zao ndio balaa, unaweza kumaliza form four Haina tofauti na aliyesoma madrasa. Kiswahili, Islamic na elimu ya dini. Sijui kwenye solo la ajira wanaandaliwa kuwa nani
Kwa sasa hawana wanatumia huduma toka NECTA huku bara. Majuzi tu ndo nao wamepata Zanzibar Revenue Authority (ZRA).Wanayo baraza Lao la mtihani tayari
kisheniNi wakati sasa Zanzibar iwe na Baraza Kamili la Mitihani kuliko ulivyo Sasa kukasimu madaraka Kwa NECTA (Bara). Hii itasaidia kuepuka dhuluma hizi za Sasa.
nishweSIJUI KWA NINI JK NYERERE HAKUWA NA WAZO LA KUFANYA HIVI VISIWA KUWA SEHEMU YA TANGA.
VISIWA VINA UTAJIRI MKUBWA WA WATU WALIO:
WAVIVU WA AKILI
WAVIVU WA MWILI
Ofisi za qadhi zinahitaji watendaji.Combination zao ndio balaa, unaweza kumaliza form four Haina tofauti na aliyesoma madrasa. Kiswahili, Islamic na elimu ya dini. Sijui kwenye solo la ajira wanaandaliwa kuwa nani
Zanzibar ikiachiwa ijitawale kuna ujinga mwingi utafanyika huko. Soon kakisiwa katageuka kichaka cha wahuni wanaoisumbua dunia kwa mgongo wa. Dini.Ofisi za qadhi zinahitaji watendaji.
Hayo si yanafundishwa huko madrasa kwenye juzuu. Kwa nini msumbie BARAZA wakati ninyi Mna ilimu?Ofisi za qadhi zinahitaji watendaji.
kutokana na Muungano haitafaaNi wakati sasa Zanzibar iwe na Baraza Kamili la Mitihani kuliko ulivyo Sasa kukasimu madaraka Kwa NECTA (Bara). Hii itasaidia kuepuka dhuluma hizi za Sasa.