Zanzibar inastahili Baraza lao la Mitihani

Zanzibar inastahili Baraza lao la Mitihani

Mjnga ni wewe hujui mfumo wa maisha wa watu halafu unaleta upumbavu wako hapa.

Mambo ya Kadhi kama huyajui wewe nyamaza tu nyinyi kaeni na makanisa yenu muozeshane na mashoga huko.

Nitajie kanisa hapa tz liliofungisha ndoa ya mashoga?kama sio upuzi umewajaa,ukiona mtu anaongelea ushoga kila pahala ujue anazibuliwa mtaro.
 
Makazini kuwa na watu wenye uwezo mdogo sababu ni sera zao za ajira. Vipaumbele ni kwa wanaotoka kwenye familia za CCM tena wa Unguja. Kuna Idara rasmi inayoidhinisha nani aajiriwe baada ya vigezo vya kitaaluma kupitisha majina ya wanaoomba kazi. Kitu cha mwanzo kinachoulizwa ni kadi za CCM za muombaji na wazazi wake. Idara inaitwa GSO.
Duh!!,Hatari sana.
 
Kwani nyinyi si munakomaa na mafuta ya upako?
Nibwajinga wanao pambania mafuta. Na hiyo haiondoi ujinga wenu wa kung'an'ana na mambo ya mahakama za kidini ktk dunia zilizo staarabika
 
Wakati wazenji ndo wanaongoza kwa michezo ya kuzibuana mitaro unakuta binti kajitanda ushungi na mibaibui kumbe hana marinda na Sala tano anasali daah so sad
ILE KUSALI KWA MASAA NI UTAMADUNI SIO UTAKATIFU.
WANAPATA SHIDA SANA MANESI KUZALISHA WANAWAKE WA PANDE ZILE.
MAANA LAZIMA WANYE, NA UROJO ULE !
 
Nibwajinga wanao pambania mafuta. Na hiyo haiondoi ujinga wenu wa kung'an'ana na mambo ya mahakama za kidini ktk dunia zilizo staarabika
Dunia iliyostaarabika ni ipi? Au lazima utumie mfumo kristo ndiyo uone watu wamestaarabika?

Endelea na kupambana na mafuta ya upako wewe ukadanganywe huko.
 
Nitajie kanisa hapa tz liliofungisha ndoa ya mashoga?kama sio upuzi umewajaa,ukiona mtu anaongelea ushoga kila pahala ujue anazibuliwa mtaro.
kwani huo ukristo wenu asili yake ni Tz, nyinyi si munaletewa tu maelekezo na mabosi wenu wa kutoka ulaya? Hamna amri yo yote juu ya maamuzi ya kubadilisha mambo ya kanisa.

Hata juzi tu Pope ameanza kujisemesha kuhusu ushoga.
 
Kwani TZ ni nchi ya kidini ? Sas hawa wanaodai mahakama ya kadhi cjui ya kadhi wana maana gani sa kila dini ikiwa na mahakama yake si itakua fujo
 
Sasa kama mwanafunzi anaingia form two keshafundwa aje kuwa mke, ataelewa nini darasani? Wale watu bwana anyways acha ninyamaze. Ila ndo hivyo.

Kichwani😮‍💨
Sasa wangetangaza shule bora na zilizofeli si wangemuaibisha bi mkubwa
 
Deen imejitosheleza; ni complete way of life. Haijabakiza kitu kuhusiana na ulimwengu na jinsi mwanadamu anavopaswa kuishi.
Hiyo dini wanafata baadhi ya vitu tu, vingine vingi hawafuati.
 
kwani huo ukristo wenu asili yake ni Tz, nyinyi si munaletewa tu maelekezo na mabosi wenu wa kutoka ulaya? Hamna amri yo yote juu ya maamuzi ya kubadilisha mambo ya kanisa.

Hata juzi tu Pope ameanza kujisemesha kuhusu ushoga.

Kwahiyo waturuki wanaozibua mitaro ndio wana wakilisha waislamu wote duniani?
 
kwani huo ukristo wenu asili yake ni Tz, nyinyi si munaletewa tu maelekezo na mabosi wenu wa kutoka ulaya? Hamna amri yo yote juu ya maamuzi ya kubadilisha mambo ya kanisa.

Hata juzi tu Pope ameanza kujisemesha kuhusu ushoga.

Ausemee ushoga asi usemee hiyo ni dhambi na itabaki kuwa dhambi,pia usemee usi usemee washoga hawawezi kuisha.
 
Nyinyi pateni hizo division one zenu, tunawasubiri kariakoo tuje tuwabebeshe boksi kwa elfu nne kwa siku.
Na sisi tutakuja kuwaingizia vidole wake zenu ni ninyi wenyewe pindi mnapojiungua au kuwapima tezi dume, Pia wengi wenu ni masikini tu kulinganisha na idadi ya matajiri ambao pia huku bara wapo wengi tu huko kwenye madini na kilimo.
 
Mi ni mbara, Advanced mathematics enzi hizo nimefundishwa na bwana mmoja anaitwa haruna yahya ni mpemba ana uwezo mkubwa siwezi hata kuulezea, pia ni developer kwa sasa.....nimekutana na developers wana uwezo mkubwa sana pengine Mimi ni robo ya robo ya uwezo wao, wana uwezo mkubwa kuliko unavyofikiria pia ni watu kutoka huko Zanzibar...... Usikalili maisha ndugu

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Tofautisha mpemba na muunguja ndugu yangu wao wenyewe haziivi iwe makazini au wapi, wapemba wako vizuri kibiashara ama kimasomo ila waunguja duuuh
 
Back
Top Bottom