Macbook pro
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 722
- 1,030
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Amiii weyeeeeKule wakiwa na baraza maswali yatahusu bwana mtume tu
Bwana we maswalah ya chemstry yachosha akili amii[emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Amiii weyeeeeKule wakiwa na baraza maswali yatahusu bwana mtume tu
Bwana we maswalah ya chemstry yachosha akili amii[emoji16]
Makazini kuwa na watu wenye uwezo mdogo sababu ni sera zao za ajira. Vipaumbele ni kwa wanaotoka kwenye familia za CCM tena wa Unguja. Kuna Idara rasmi inayoidhinisha nani aajiriwe baada ya vigezo vya kitaaluma kupitisha majina ya wanaoomba kazi. Kitu cha mwanzo kinachoulizwa ni kadi za CCM za muombaji na wazazi wake. Idara inaitwa GSO.Niko Zanzibar now mwaka na nusu..hawa wazanzibar wanahitaji kazi ya ziada kuwabadilisha.
Wana akili kama wakiwa serious ila like naona elimu sio kipaumbele Chao..wenye uwezo wengi watoto wao wanawasomesha huku bara.
Hata product zao ukikutana nazo kazini unasikitika..sijapata kuona watu wavivu kama wazanzibar.Muda pekee utakapowaona wanakimbizana ni muda wa ibada.
Wavivu
Wanapenda rushwa kupita maelezo
Mwinyi anajitahidi kuwabadilisha ila sidhani kama atafanikiwa ni watu wa hovyo sana
NECTA hawaonei. Angalia matokeo ya Lumumba na Fidel Castro.Hakuna haja kuanzisha baraza lao, Mitaala inayotumika Tanzania Bara na Tanzania visiwani ni ile ile. Kufaulu au kufeli kupo pande zote na hilo linafahamika utofauto ni kiwango tu..
Na inajulikana kila mahali usiposoma lazima ufeli, na ukisoma na kuelewa utafaulu vizuri..Je, Kwa nini wawe na baraza lao?? Necta wanawaonea Zanzibar?? Wakiunda Baraza lao ufaulu utaongezeka?
Deen imejitosheleza; ni complete way of life. Haijabakiza kitu kuhusiana na ulimwengu na jinsi mwanadamu anavopaswa kuishi.Zanzibar ikiachiwa ijitawale kuna ujinga mwingi utafanyika huko. Soon kakisiwa katageuka kichaka cha wahuni wanaoisumbua dunia kwa mgongo wa. Dini.
Sasa mambo ya kadhi dunia hii ya leo ya nini? Mahakama za kidini na mashauri kuamuliwa kidini ni ujinga
Hivyo kabla ya muungabo bajeti ya matumizi ya Zanzibar mulikuwa munatoa nyinyi bara?Hakikisheni pia mnajitegemea Ki-bajeti na sio kudai uhuru ilhali hamna bajeti ya kuendesha mambo.
kisheni
Mjnga ni wewe hujui mfumo wa maisha wa watu halafu unaleta upumbavu wako hapa.Zanzibar ikiachiwa ijitawale kuna ujinga mwingi utafanyika huko. Soon kakisiwa katageuka kichaka cha wahuni wanaoisumbua dunia kwa mgongo wa. Dini.
Sasa mambo ya kadhi dunia hii ya leo ya nini? Mahakama za kidini na mashauri kuamuliwa kidini ni ujinga
Sheikh hawa jamaa mbona wanaleta dharau?Mjnga ni wewe hujui mfumo wa maisha wa watu halafu unaleta upumbavu wako hapa.
Mambo ya Kadhi kama huyajui wewe nyamaza tu nyinyi kaeni na makanisa yenu muozeshane na mashoga huko.
hata yakuhusu mtume we mshenzi si utabaka na huo ushenzi wakoKule wakiwa na baraza maswali yatahusu bwana mtume tu
Bwana we maswalah ya chemstry yachosha akili amii[emoji16]
Mi ni mbara, Advanced mathematics enzi hizo nimefundishwa na bwana mmoja anaitwa haruna yahya ni mpemba ana uwezo mkubwa siwezi hata kuulezea, pia ni developer kwa sasa.....nimekutana na developers wana uwezo mkubwa sana pengine Mimi ni robo ya robo ya uwezo wao, wana uwezo mkubwa kuliko unavyofikiria pia ni watu kutoka huko Zanzibar...... Usikalili maisha nduguKule wakiwa na baraza maswali yatahusu bwana mtume tu
Bwana we maswalah ya chemstry yachosha akili amii[emoji16]
You don't know the history, I'm pretty sure of my wordsHujakosea...hata somo la Historia linapigwa vita kisa tu linawavua nguo vipenzi vyao waarabu kwa kufanya biashara ya watumwa
Visiwa vile taabu tupu
Walio waletea dini ya kiarabu wenyewe wanajivua gamba siku hizi lakini vijitu vyeusi ndio kwanza vinang'an'ania. Hufuatilii hata vyombo vya habari maandamano huko arabuni wanawake wenzenu wakidai kuondolewa kwenye vifungo kwa mgongo wa dini? We mwanamke wa kiunguja ndio unajua sana hayo maswala?Mjnga ni wewe hujui mfumo wa maisha wa watu halafu unaleta upumbavu wako hapa.
Mambo ya Kadhi kama huyajui wewe nyamaza tu nyinyi kaeni na makanisa yenu muozeshane na mashoga huko.
Angefanyaje visiwa viwe sehemu ya tanga haliyakuwa visiwa havikuwa sehemu ya Tanganyika????SIJUI KWA NINI JK NYERERE HAKUWA NA WAZO LA KUFANYA HIVI VISIWA KUWA SEHEMU YA TANGA.
VISIWA VINA UTAJIRI MKUBWA WA WATU WALIO:
WAVIVU WA AKILI
WAVIVU WA MWILI
Wavivu wakati baadhi yao wana miliki uchumi mkubwa tu kariakoo hapo?? Kuhusu kazi za serikali wengi wetu huwa ni wavivu tu wala hatujitoi sana kuzifanya isipokuwa kutizima majukumu yetu tu....Niko Zanzibar now mwaka na nusu..hawa wazanzibar wanahitaji kazi ya ziada kuwabadilisha.
Wana akili kama wakiwa serious ila like naona elimu sio kipaumbele Chao..wenye uwezo wengi watoto wao wanawasomesha huku bara.
Hata product zao ukikutana nazo kazini unasikitika..sijapata kuona watu wavivu kama wazanzibar.Muda pekee utakapowaona wanakimbizana ni muda wa ibada.
Wavivu
Wanapenda rushwa kupita maelezo
Mwinyi anajitahidi kuwabadilisha ila sidhani kama atafanikiwa ni watu wa hovyo sana
Hakuna haja kuanzisha baraza lao, Mitaala inayotumika Tanzania Bara na Tanzania visiwani ni ile ile. Kufaulu au kufeli kupo pande zote na hilo linafahamika utofauto ni kiwango tu..
Na inajulikana kila mahali usiposoma lazima ufeli, na ukisoma na kuelewa utafaulu vizuri..Je, Kwa nini wawe na baraza lao?? Necta wanawaonea Zanzibar?? Wakiunda Baraza lao ufaulu utaongezeka?
Tazama maksi walizopata kwenye somo lao la dini .
Baraza la maulamaa hili nalo mkalitazame
Kwani nyinyi si munakomaa na mafuta ya upako?Walio waletea dini ya kiarabu wenyewe wanajivua gamba siku hizi lakini vijitu vyeusi ndio kwanza vinang'an'ania.
Hawajui hata maana ya huyo Kadhi wao wapo ku-critisize tuSheikh hawa jamaa mbona wanaleta dharau?