Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Naunga mkono. Hawa jamaa ni vilaza sana bora wawe na baraza lao wawe wanapeana maswali urojo unahitaji sukari vijiko vingapi.Ni wakati sasa Zanzibar iwe na Baraza Kamili la Mitihani kuliko ulivyo Sasa kukasimu madaraka Kwa NECTA (Bara). Hii itasaidia kuepuka dhuluma hizi za Sasa.