Naunga mkono. Hawa jamaa ni vilaza sana bora wawe na baraza lao wawe wanapeana maswali urojo unahitaji sukari vijiko vingapi.Ni wakati sasa Zanzibar iwe na Baraza Kamili la Mitihani kuliko ulivyo Sasa kukasimu madaraka Kwa NECTA (Bara). Hii itasaidia kuepuka dhuluma hizi za Sasa.
Mtizamo wako Ila sio uhalisia..Tofautisha mpemba na muunguja ndugu yangu wao wenyewe haziivi iwe makazini au wapi, wapemba wako vizuri kibiashara ama kimasomo ila waunguja duuuh
Wa-Unguja ndo Hawa tupo nao hapa Ihumwa?Tofautisha mpemba na muunguja ndugu yangu wao wenyewe haziivi iwe makazini au wapi, wapemba wako vizuri kibiashara ama kimasomo ila waunguja duuuh
Dhuluma gani labda? Embu weka in details?Ni wakati sasa Zanzibar iwe na Baraza Kamili la Mitihani kuliko ulivyo Sasa kukasimu madaraka Kwa NECTA (Bara). Hii itasaidia kuepuka dhuluma hizi za Sasa.