nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Basi shekh, yaishe hahaha.Alaa kumbee eeeh midomo juu roho mbaya tu zimejaa ukurutu.Kajenge basi mutakufa nacho kijiba cha Moyoo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi shekh, yaishe hahaha.Alaa kumbee eeeh midomo juu roho mbaya tu zimejaa ukurutu.Kajenge basi mutakufa nacho kijiba cha Moyoo.
Ukipiga jicho kusini hadi pretoria kwa Mandela,kaskazini hadi Cairo kwa Assisi. Zaidi ya Kilimanjaro.Unaiona hsdi Burundi bwashee!
Unaweza kukuta na wewe Pia una familiaMchanga hawana, sijui watajengea nini?
Huku tanganyika bado tunapambana na ugaidi!Ukipiga jicho kusini hadi pretoria kwa Mandela,kaskazini hadi Cairo kwa Assisi. Zaidi ya Kilimanjaro.
Majengo mengi hayajengewi mchanga yanatumia vyuma zaidi steel structures sio matofali na mchangaHapo nahisi jengo litakamilika 2100 labda waje tuwauzie mchanga.
Wamesema chini wataweka mchanga sasa huo mchanga ndo tutawauzia maana wa kujengea tu huwa wanatoa huku bara.Majengo mengi hayajengewi mchanga yanatumia vyuma zaidi steel structures sio matofali na mchanga
Wakati unataka kujibu kitu kuwa na facts, hebu soma hiyo link ndio utajua nasema niniUnaweza kukuta na wewe Pia una familia
eishhh
Allah aniepushe na watu shallow kama wewe
Dubai pia mchanga hawana sijui wamejengea nini?
Mswahili lazima ufikirie vikwazo kwanza!
Uhaba Kiwango cha shein siyo uwezo Kiwango cha multi billion dollar investorsWakati unataka kujibu kitu kuwa na facts, hebu soma hiyo link ndio utajua nasema nini
Dk.Shein,kuna uhaba mkubwa wa mchanga hivi sasa. | Presidents Office Zanzibar
Katika ziara hiyo ambapo Makamo wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Idd na Mama Mwanamwema Shein walishiriki kikamilifu, Rais Dk. Shein aliwataka wananchi wajue uhaba uliopo wa rasilimali hiyo ya mchanga.Akiwa katika eneo la Pangatupu na Chechele, Rais Dk. Shein alieleza kuwa rasilimali ya mchanga...www.ikuluzanzibar.go.tz
![]()
Uhaba wa mchanga Zanzibar, Balozi Seif atoa agizo kwa Wizara
Uhaba wa mchanga Zanzibar, Balozi Seif atoa agizo kwa Wizarawww.muungwana.co.tz
Fikra za 47yrs backMchanga hawana, sijui watajengea nini?
hiyo picha ya ilo jengo ni copy na paste ya jengo la Ha long huko nchi veitanam