Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni

Ujio wa Sultan Zanzibar uende sambamba na kufutwa neno MAPINDUZI kwenye utambulisho wa serikali ya Zanzibar, badala yake ibakia kutamkwa tu Serikali ya Zanzibar.
Kama tumeamua kuwa na mshikamano basi tuonyeshe kwa vitendo.
 
Ujio wa Sultan Zanzibar uende sambamba na kufutwa neno MAPINDUZI kwenye utambulisho wa serikali ya Zanzibar, badala yake ibakia kutamkwa tu Serikali ya Zanzibar.
Kama tumeamua kuwa na mshikamano basi tuonyeshe kwa vitendo.
kabisa, iitwe serikali ya umoja wa kitaifa (SUK) hii iambatane na kufuta siasa za vyama, vyama vibaki kwenye kampeni tu na baada ya uchaguzi serikali iundwe kutoka wajumbe vyama vyote
 
Wataje hao wanaoishi na trauma!! Kinyume cha hapo ni hisia zako tu
 
Ukitaka kujua huyo mama hana akili, ngoja siku huyo Jamsheed atue Zanzibar ndio aelewe.

Jinsi wazanzibari huko alipotoka walivyogawanyika; hata siasa za kwao hazijui.

Watch this space, akili hana kabisa huyo mama.
Wewe ni mhafidhina tu, hakuna jema lolote unaliona kwa Serikali ya Samia
 
Ni vyema aalikwe sasa....
 
Huo auwezi kuwa ushauri wa CCM halisi Zanzibar hata chembe.

Mama ni wa hovyo kweli, hana akili hata kidogo.

God knows Kafikaje hapo halipo (ndio Kudra zenyewe za mungu).

The woman is kaput (kichwani zero).
Hana akili lakini anatawala watu 61 milioni na wewe ukiwapo. Wewe Mayor Quimby ni kiazi mbatata kweli.

Yaani unamuogopa mzee mwenye miaka 95 analiyeomba kurudi kuja kumaliza maisha yake ya mwisho mahali alipozaliwa.

Makaburu walibagua, walitesa , waliua na kuwafunga akina Mandela vifungo vya maisha.
Mwisho blacks under Mandela walitokomeza ubaguzi, wakasamehe kwani walichopigania ni Africa Kusini yenye kuheshimu haki sawa kwa watu wote . Alihamasisha msamaha kwa makaburu bila kulipiza kisasi.
Hivyo kusahau mabaya ya waarabu na kumkubali Sultani arudi ni jambo la afya saana.
 
Unazungumziaje watumwa aliowauza uarabuni
Hata akina Mirambo, Mkwawa, Abushiri waliuza watumwa.

Msiwalaumu waarabu kwa kuuza watumwa, waalaumu waliowauzia waarabu watumwa
 
Ukweli ni kwamba wa Zanzibar wengi wanapenda kujiona Waarabu hasa Bi.Ushungi maana alishawahi sena ujombani kwake ni Oman.
Wakati walio wengi asili yao ni Wamatumbi, Wanyamwezi, Wayao n.k waliokuwa wanachukuliwa utumwani.
Wivu tu. Ukitaka wawe wajomba zako wewe
 
Ile ni roho ,itawatafuna wazanzibari na watangayika muda sio mrefu.

Mungu alimtimua shetani kwenye utawala wake na kukiondoa kabisa kiti chake na nafasi yake kule mbinguni .

Roho ya utumwa imerejea rasmi na itapata nguvu kupitia dini.
Wacha kuhubiri ulokole hapa, hili siyo jukwaa la Mwamposa. Njoo na substance
 
Well put, naamini system wanachukua notes
 
Wewe ni tabular rasa kabisa. Hamna namna ya kukusaidia, labda tukuwekee akili bandia
 
Well put, naamini system wanachukua notes
nilikuuliza source ya hii habari sio fake news?。Mapendekezo 10 Muhimu, Ujio Sultan wa Zanzibar, apewe Ving'ora, Kasri, atangaze Utalii,Mshindi wa Kweli Zanzibar 2025 Atangazwe To Heal Zanzibar!。kwasababu nime cross check na Msemaji wa SMZ, Charles Hillary, wao hawana taarifa za ugeni huu, labda kama anakuja Zanzibar on a private visit kama mtalii tuu, then hahitaji kutoa taarifa popote bali kugongewa tuu visa na kuingia Zanzibar。

P
 
Naona waarabu wa Zanzibar (bara la watu weusi) wanayo furaha kubwa sana kumkaribisha mkoloni wao na aliyewaketea dini.
 
Maneno ya busara sana haya。
P
 
Muislamu mwenzangu nimuangalie akipigwa na maadui kisha nikuangalie tu hahaa😄 patachimbika mzee

hahah mbona somalia 99% “waislamu wenzako” wanapigwa kila siku na guess who? saudi arabia, anayefund al shabaab kuuwa waislamu somalia ni saudi arabia “muislamu mwenzako”, anayeuwa na kutesa waislamu yemeni ni saudia na emir wa emitate pia “ waislamu wenzanko” mbona hapachimbiki? mashehe kibao walifungwa wakati wa awamu ya 4 na “muislamu mwenzako” mbona haukupachimba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…