gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Nani alihodhi madaraka?..wakati wa mapinduzi waziri mkuu alikua mohammed shamte,mweusi tii na ndiye mkuu wa serikaliSo Zanzibar ya leo wakazi wa mwanzo kabisa walikuwa ni waoman au kuna namna walifanya wakaonekana wao zaidi wakahodhi madaraka?
Alimtesa nani?Sisi Waafrika buana, kwahiyo tunampokea kwa bashasha mtesi wetu 😀😀
Mkoa 😀Afikapo ajulishwe kuwa sasa Zanzibar sio nchi bali sehemu ndogo ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Naomba acha nijifunze kwa taratibu,nimeandika hivyo kwa sababu kuna swali niliuliza ambalo limeleta hii hoja so ngoja muhusika anayejua hii conv anijibu.Nani alihodhi madaraka?..wakati wa mapinduzi waziri mkuu alikua mohammed shamte,mweusi tii na ndiye mkuu wa serikali
Kama hutaki kujibiwa toka humuNaomba acha nijifunze kwa taratibu,nimeandika hivyo kwa sababu kuna swali niliuliza ambalo limeleta hilo swali so ngoja muhusika anayejua hii conv anijibu.
Yote uliyoandika hapo mimi sikuyazungumza wala sikutaka kuyajua na siyo lazima kujibu kila post humu kumbuka hakuna anayekulipa.
Musolini mweusi wa karne gani huyo?uko sahihi, musolini alikuwa mtu mweusi alitawala kiharamia, hakuna mzungu hata mmoja anaelaumu uduni wake wa maisha ulisababishwa na utawala wa musolini, sie miaka miasita tangu mwarabu apite bado tunamlaumu, sina ushahidi wala ufahamu kama sultan kwa namna yeyote alisababisha dhahama, lakini madhila ya okello na genge lake hadi leo yapo yanaonekana kwa macho
😄😄😄😄😄Unaweza mtoa nyani porini lakini huwezi litoa pori kwenye kichwa Cha nyani
Eh! labda Uhuru day. Umesahau yale mabango ya UVCCM Zanzibar!。
- Decemba 10 iwe ni siku ya mapumziko ya uhuru wa Zanzibar,sio lazima iadhimishwe kwa shamra shamra,inaweza kubadili jina ikaitwa Sultan Day。
ACT Wazalendo watakuwa na kicheko! Wee Paskali unataka kutibua nyongo! Wapo wenye mapinduzi yao.
- Neno Matukufu kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,lisiendelee kutumika,yaitwe tuu Mapinduzi ya Zanzibar na vibwagizo Mapinduzi Daima, na Tutayalinda kwa gharama yoyote, tuachane nayo ili kuponya wapinga mapinduzi
Source ya habari hii ni ya kutia shaka,SMZ haina taarifa yoyote juu ya ujio huu,hivyo this could be fake news!ila mimi nilimuombea kwanza kwa Mama Dear Mama, Can you Offer An Unconditional Amnesty to All Zanzibaris Waliokimbia After Revolution, Incl Sultan, Be Free to Return & Start Afresh? kisha kwa dada mtu na kaka mtu, Voices From Within: Sultan Jamshid bin Abdullah Al Said atafurahi zaidi kama atarudi Zanzibar. Rais Samia, Rais Mwinyi, sameheni, utabarikiwa sana!Eh! labda Uhuru day. Umesahau yale mabango ya UVCCM Zanzibar!
ACT Wazalendo watakuwa na kicheko! Wee Paskali unataka kutibua nyongo! Wapo wenye mapinduzi yao.
Sijui kama ni kweli, lakini hi ziara italeta matatizo sana Zanzibar! Narudia tena, kuna tatizo linakuja.
Kuna watu waliokuwa na mashaka '' Huyu si mwenzetu- Boni yai'' . Bahari ikitibuka nani atakuwa msuluhishi?
Hata alipokuwa akiishi uingereza alijitambulisha kama sultani bado . Sasa ni rasmi sultanate of zanzibar ..na wazanzibar wanavyowashwa kwa waarabu ni hatariSasa mapinduzi yatakaaje waungwana, je atatmbulishwa kama Sultani Jamshid au kama Bw. Jamshid?
Wataalamu muongozo wenu muhimu hapa.
Kama Ali Hassan Mwinyi, alipewa tu uraisKumbe bado anaishi!!! Ana miaka mingapi kwa sasa? Alipokuwa akiitawala zanzibar alikuwa na miaka mingapi?
Waliomtoa yeye madarakani vijana wa Umma Party wengi wa viongozi wake walishatangulia mbele za haki.
Karume ana bahati sana. Mapinduzi wafanye wengine uraisi akapewa yeye. Wakati hakushiriki kwenye mapinduzi hata kidogo.
Kwa hiyo neno Mapinduuuuzi, Daima litafutwa! Mapinduzi Matukufu mwisho, Baraza la Mapinduzi mwisho??apewe pia hadhi ya Rais mstaafu ikiwemo gari nyumba na ulinzi, pia arudishiwe mali zake
Wanakunywa kahawaNaam,
Wakati mapinduzi yakitekelezwa chini ya uongozi shupavu wa JOHN GIDEON OKELLO, Karume na mwenzie Hanga walikuwa wamejificha Dar es Salaam, Tanganyika
Sijawahi kusikia hilo la kudai awe Rais lakini kama alithubutu kutaka urais wa Idd Amin nadhani alipewa haki yake!Hii mifumo ya kimaisha na shule zenu inalemaza sana watu akili.
Just imagine, Okello ametoka huko Kijijini kwao, tena miaka hiyo, akaenda Kampala, akajifunza mambo kadhaa, akaamua kwenda Zanzibar akiwa na miaka 22 akaenda kuwasaidia kupambana na Sultan hadi kumuondoa. Akakabidhi madaraka kwa raia wa pale, then akafukuzwa.
Leo kijana gani katika umri huo anaweza akafanya hayo.
Ila Iddi Amin alikuwa mtu mzuri sema makosa yake yalikuwa ni 'deadly/grave'. Okello alitengwa na akateseka sana nchini Uganda kiasi cha kukosa hata hela ya kula, akalazimika kurudi kijijini. Iddi Amin alipoingia alimfuata Okello na kumuahidi uwaziri ili waiongoze Uganda, lakini Okello akachomoa, Iddi Amin hakukata tamaa, akamuahidi umakamo wa rais, lakini Okelleo akachomoa, akabembelezwa sana, akakubali kwa masharti apewe urais, Iddi Ammin ndiye awe Makamo...hapo ndiyo story ilipoanzia na kuishia
Huyo jamaa Jamshed aanze kwa kuomba radhi kwa babu zake kuuza watanganyika kama watumwa.Aje na fidia kwa watu weusi waliowafanyia unyama vinginevyo tutamgawana