Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni

Tito Okello hakumuita Mseveni kuja kutawala. Mseveni na wapiganaji wake walikuwa wanasonga mbele kutoka msituni kutaka kumuondoa Obote madarakani. Tito akampindua Obote na kuanza mazungumzo na Mseveni huko Nairobi, wakati wakiendelea na mazungumzo Mseveni akawa anasomga mbele na kuikamata Kampala na Tito akakimbilia Kenya.
 

Majumba yake ya zamani tena? Na nimesoma kuwa anarudi kwenye pwani zake?

Kwa hiyo sultan bado anatambulika kama mtawala au? Na hayo majumba yake bado yanatambulika kama
Mali zake.. basi msiishie kwenye majumba tu mrudishien na milki yake

Huo upatanisho unaosema hiyo ziara itasaidia kurejeshwa ni upatanisho upi yaani mnataka kusema mapinduzi yalikosewa hakutendewa haki.. ikiwa hata huko alikokimbilia (oman) he was nobody kiasi kwamba alifukuzwa huko na akapigwa ban asirudi akakimbilia UK wakamsitiri akawa anaishi portsmouth na familia yake kama mtu wa kawaida hadi mwaka 2020 ambapo ombi lake la kurudi nchini mwake Oman lilikubaliwa kwa shart kuwa hatambuliki kama Sultan bali raia wa kawaida sasa huku mnakomleta kama sultani mnataka mfikishe ujumbe upi.. kwa wanzanzibar na watu wa Oman kuwa je nyie bado mnamtambua kuwa ni Sultan wa Zanzibar au?
 
Tunepatwa time hiiπŸ€”
 
Mkuu, Tito Okello akishirikiana na Bazilio Olara-Okello, walimpindua Obote wakati wote wakiwa Jeshini, Museveni akiwa porini.
Bazilio ndiye alikuwa kiongozi wa mapinduzi hayo na ni kama alikuwa rais ingawa kwa muda mfupi sana wa mwezi mmoja tu, akamkabidhi Tito Okelle, Tito aakaongoza Uganda kwa miezi 6 na kufanya makubaliano na Museven, akafanya power transfer kwenda kwa NRA Chama ambacho kilikuwa kikiongozwa na Musevenihalafu yeye akarudi Jeshini.
Museveni alipoingia tu akaanza kumlia timing Tito Okello hapo ndipo Tito akatorokea Kenya.
So makabidhian yao yamadaraka yalifanyika kwa makubaliano na amani ili baada ya power transfer mambo yakabadilika
 
Hiyo yenu na nyie mnaiita nchi. This time Oman wanajitanua kwa style ya tofauti. Mkiji kustuka mmeshauzwa
 
Uwezo wa watanzania wengi ni mdogo sana umeongea facts tupu
 
kwanini ukristo tunaufungamanisha na wazungu?
 
Historia inaonyesha Nyerere hakuhusika Kwa namna yoyote ile kwenye mapinduzi
 
Wife havai ushungi na kapiga kimini!
na hakukimbilia oman alienda UK, this man is absolutely inocent. huyu jamaa angeweza kuomba msaada kutoka jeshi la uk kwani kulikuwa na batallion iliyokuwa kwenye merikebu na angeweza kunyonga watu wengi, lakini hakutaka kuchuma dhambi

pia angeweza kuomba msaada kutoka KAR tanganyika kwani jeshi lilikuwa bado chini ya comand ya wazungu
 
Mtu amesha ondolewa madarakani, asiendekezwe, ama sivyo aliyemleta litamtokea puani.
Huyu Jamshe si sultani tena na hana madaraka yoyote kiutawala.
Kuendekeza kumrudisha ktaamsha hasira zilizolala za tarehe 12/1/1964 na maumivu ya utumwa, ubaguzi na maonevu yote.
 
aliyeondolewa madarakani ni waziri mkuu Shamte, na wala nafasi ya sultan hakuna ilipofutwa na hata wakati wa mkoloni hakuwa na mamlaka ya kidola alisafiri tu kama watu wengine wanavyosafiri, na haji kutawala anakuja kuwa ceremonial leader kama chifu wa wahehe au kabaka mutesa wa uganda
 
Niambie , kuna sultani Zanzibar?
 
Kwa hiyo neno Mapinduuuuzi, Daima litafutwa! Mapinduzi Matukufu mwisho, Baraza la Mapinduzi mwisho??
Mkuu wazanzibari huwa ni watu wepesi wa kusahau.
Huyo jamaa wanaye mualika kama ngamia, ataingiza kichwa , halafu baadaye watashitukia hela ya mwarabu inawatoa madarakani waafrika,
Believe you me.
 
Anakuja kuchukua Ukoloni lake πŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…