Hapo nyuma km miezi miwili au mitatu pia iliwahi kutoka taarifa kuwa kafa, kumbe sio kweli. Haraka watu wakafuta posts zao.taarifa hii ya kurejea Sultan isije kuwa ni fake story,kwasababu nime cross check na Msemaji wa SMZ, Charles Hillary, wao hawana taarifa za ugeni huu, labda kama anakuja Zanzibar on a private visit kama mtalii tuu, then hahitaji kutoa taarifa popote bali kugongewa tuu visa na kuingia Zanzibar。
P
Heh, huyo Mohamed Shamte keshakufa decades agoKama sikosei na Dr. Salmin Amour rais wa tano wa Zanzibar ndiye aliyetoa msamaha kwa Sultan Jamsheed arudi nyumbani toka ukimbizini. OK, arudi tu maana hana madhara kwa utawala uliopo. CUF ya Maalim Seif ingeshinda 1995 sultan angeisharudi siku nyingi pamoja na waziri mkuu wake Mohamed Shamte
Atatambulishwa kama mjomba.Sasa mapinduzi yatakaaje waungwana, je atatmbulishwa kama Sultani Jamshid au kama Bw. Jamshid?
Wataalamu muongozo wenu muhimu hapa.
Kwanza mufahamu kuwa Serikali Ya Tanganyika na Ile ya Zanzibar ilikuwa mfumo mmoja.View attachment 3186808
Mnamo Januari 9, 2025, Zanzibar itashuhudia tukio la kihistoria itakapompokea Sultan Jamshid bin Abdullah kurejea kwenye pwani zake. Hili ni tukio muhimu sana kihistoria, kwani mtawala wa zamani wa Zanzibar anarudi baada ya miongo sita ya uhamisho nchini Uingereza na Oman, kufuatia kuondolewa kwake madarakani wakati wa mapinduzi ya 1964.
Cc Pascal Mayalla
Maelezo kuhusu jinsi ziara hii ilivyopangwa bado hayajafahamika, lakini umuhimu wake hauwezi kupuuzwa. Kurudi kwa Sultan Jamshid kunawakilisha ishara ya upatanisho wa kipekee kutoka kwa serikali ya Zanzibar. Ziara yake inaweza kuwa daraja kati ya enzi za kabla na baada ya mapinduzi, ikichochea mshikamano na uponyaji wa kitaifa.
Zanzibar inaweza kuchukua nafasi hii kumwalika Sultan kuishi katika mojawapo ya majumba yake ya zamani kama raia wa kawaida. Hatua kama hiyo haitaimarisha tu taswira ya Zanzibar kimataifa bali pia inaweza kuinua sekta yake ya utalii, kwani uwepo wake utavutia shauku kubwa. Zaidi ya hayo, inaweza kuashiria sura mpya ya upatanisho kati ya Sultan na serikali ya mapinduzi, ikitoa mfano wa maendeleo na mshikamano.
Dunia inaposhuhudia tukio hili la kihistoria, Zanzibar inasimama katika nafasi ya kubadilisha urithi wake kuwa simulizi ya mshikamano na heshima ya pande zote.
Issa AlHarthy.
haha kwa hiyo utasimama katikati kuchukuwa bullet kumlinda ?
🤣🤣🤗Kwa hiyo huyu Sultan Freeman ni sultan uchwara!
aliyepinduliwa na khafiri okello ni shamte, sultan alikimbia kwa taharuki tuKama sikosei na Dr. Salmin Amour rais wa tano wa Zanzibar ndiye aliyetoa msamaha kwa Sultan Jamsheed arudi nyumbani toka ukimbizini. OK, arudi tu maana hana madhara kwa utawala uliopo. CUF ya Maalim Seif ingeshinda 1995 sultan angeisharudi siku nyingi pamoja na waziri mkuu wake Mohamed Shamte
john okelo, mkatoliki fulani hivi ndio aliwaokoa hawa wavaa misuli,bila huyo wao walikuwa hata kukimbia hawawezi, misuli ingedondoka. walivyo katili,hawajawahi kumwekea hata siku ya kumbukumbu.Kwenye hiyo ziara, na John Okello naye alitakiwa kualikwa. Ni vile tu Idd Amini Dada alimtanguliza mbele ya haki.
View attachment 3186808
Mnamo Januari 9, 2025, Zanzibar itashuhudia tukio la kihistoria itakapompokea Sultan Jamshid bin Abdullah kurejea kwenye pwani zake. Hili ni tukio muhimu sana kihistoria, kwani mtawala wa zamani wa Zanzibar anarudi baada ya miongo sita ya uhamisho nchini Uingereza na Oman, kufuatia kuondolewa kwake madarakani wakati wa mapinduzi ya 1964.
Cc Pascal Mayalla
Maelezo kuhusu jinsi ziara hii ilivyopangwa bado hayajafahamika, lakini umuhimu wake hauwezi kupuuzwa. Kurudi kwa Sultan Jamshid kunawakilisha ishara ya upatanisho wa kipekee kutoka kwa serikali ya Zanzibar. Ziara yake inaweza kuwa daraja kati ya enzi za kabla na baada ya mapinduzi, ikichochea mshikamano na uponyaji wa kitaifa.
Zanzibar inaweza kuchukua nafasi hii kumwalika Sultan kuishi katika mojawapo ya majumba yake ya zamani kama raia wa kawaida. Hatua kama hiyo haitaimarisha tu taswira ya Zanzibar kimataifa bali pia inaweza kuinua sekta yake ya utalii, kwani uwepo wake utavutia shauku kubwa. Zaidi ya hayo, inaweza kuashiria sura mpya ya upatanisho kati ya Sultan na serikali ya mapinduzi, ikitoa mfano wa maendeleo na mshikamano.
Dunia inaposhuhudia tukio hili la kihistoria, Zanzibar inasimama katika nafasi ya kubadilisha urithi wake kuwa simulizi ya mshikamano na heshima ya pande zote.
Issa AlHarthy.
Tafuta nafasi na siku utufafanulie vizuri hii habari , mkuu 'Ziroseventytwo', kwani ni habari muhimu hii. Nami huwa nashindwa kuelewa vizuri matukio ya wakati huo hapo visiwani.Kumbe bado anaishi!!! Ana miaka mingapi kwa sasa? Alipokuwa akiitawala zanzibar alikuwa na miaka mingapi?
Waliomtoa yeye madarakani vijana wa Umma Party wengi wa viongozi wake walishatangulia mbele za haki.
Karume ana bahati sana. Mapinduzi wafanye wengine uraisi akapewa yeye. Wakati hakushiriki kwenye mapinduzi hata kidogo.
john okelo, mkatoliki fulani hivi ndio aliwaokoa hawa wavaa misuli,bila huyo wao walikuwa hata kukimbia hawawezi, misuli ingedondoka. walivyo katili,hawajawahi kumwekea hata siku ya kumbukumbu.
Kwanza kabisa mimi sio mzanzibari, mimi pia sio mbaguzi wala chuki, elewa hivyo.Suala si ninyi kuwa ndugu, bali ni inferiority complex yenu kwa waarabu.
Waarabu wamewadominate kwenye kila angle ya maisha.
Kiufupi, waarabu ni superior race kwa waislamu wote wa Zanzibar na Tanganyika, na ninyi wabantu mmesalia kwenye nafasi ya utumwa.
- Hapa mnatamani warudi kuwatawala hapo Zanzibar, lakini wao hawawezi kuwaruhusu mkawatawala na wanawabagua weusi wote, uwe muislamu au la.
- Mnaitwa majina yao, mnafuata imani na matendo yao, meanwhile, hamna chenu wanachofuata.