Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni

Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni

Kama sikosei na Dr. Salmin Amour rais wa tano wa Zanzibar ndiye aliyetoa msamaha kwa Sultan Jamsheed arudi nyumbani toka ukimbizini. OK, arudi tu maana hana madhara kwa utawala uliopo. CUF ya Maalim Seif ingeshinda 1995 sultan angeisharudi siku nyingi pamoja na waziri mkuu wake Mohamed Shamte
 
taarifa hii ya kurejea Sultan isije kuwa ni fake story,kwasababu nime cross check na Msemaji wa SMZ, Charles Hillary, wao hawana taarifa za ugeni huu, labda kama anakuja Zanzibar on a private visit kama mtalii tuu, then hahitaji kutoa taarifa popote bali kugongewa tuu visa na kuingia Zanzibar。

P
Hapo nyuma km miezi miwili au mitatu pia iliwahi kutoka taarifa kuwa kafa, kumbe sio kweli. Haraka watu wakafuta posts zao.
Angekuwa anakuja kweli hata jamaa wa makachu forodhani wangekuwa washatengeneza clip zamani sn ya kumkaribisha
 
Kama sikosei na Dr. Salmin Amour rais wa tano wa Zanzibar ndiye aliyetoa msamaha kwa Sultan Jamsheed arudi nyumbani toka ukimbizini. OK, arudi tu maana hana madhara kwa utawala uliopo. CUF ya Maalim Seif ingeshinda 1995 sultan angeisharudi siku nyingi pamoja na waziri mkuu wake Mohamed Shamte
Heh, huyo Mohamed Shamte keshakufa decades ago
 
Sasa mapinduzi yatakaaje waungwana, je atatmbulishwa kama Sultani Jamshid au kama Bw. Jamshid?

Wataalamu muongozo wenu muhimu hapa.
Atatambulishwa kama mjomba.

Samia anao wajomba Oman.

Siku mkimzingua ana pa kukimbilia na kupata hifadhi ya kudumu.
Screenshot_20220614_173349.jpg
 
View attachment 3186808

Mnamo Januari 9, 2025, Zanzibar itashuhudia tukio la kihistoria itakapompokea Sultan Jamshid bin Abdullah kurejea kwenye pwani zake. Hili ni tukio muhimu sana kihistoria, kwani mtawala wa zamani wa Zanzibar anarudi baada ya miongo sita ya uhamisho nchini Uingereza na Oman, kufuatia kuondolewa kwake madarakani wakati wa mapinduzi ya 1964.

Cc Pascal Mayalla

Maelezo kuhusu jinsi ziara hii ilivyopangwa bado hayajafahamika, lakini umuhimu wake hauwezi kupuuzwa. Kurudi kwa Sultan Jamshid kunawakilisha ishara ya upatanisho wa kipekee kutoka kwa serikali ya Zanzibar. Ziara yake inaweza kuwa daraja kati ya enzi za kabla na baada ya mapinduzi, ikichochea mshikamano na uponyaji wa kitaifa.

Zanzibar inaweza kuchukua nafasi hii kumwalika Sultan kuishi katika mojawapo ya majumba yake ya zamani kama raia wa kawaida. Hatua kama hiyo haitaimarisha tu taswira ya Zanzibar kimataifa bali pia inaweza kuinua sekta yake ya utalii, kwani uwepo wake utavutia shauku kubwa. Zaidi ya hayo, inaweza kuashiria sura mpya ya upatanisho kati ya Sultan na serikali ya mapinduzi, ikitoa mfano wa maendeleo na mshikamano.

Dunia inaposhuhudia tukio hili la kihistoria, Zanzibar inasimama katika nafasi ya kubadilisha urithi wake kuwa simulizi ya mshikamano na heshima ya pande zote.
Issa AlHarthy.
Kwanza mufahamu kuwa Serikali Ya Tanganyika na Ile ya Zanzibar ilikuwa mfumo mmoja.
Chini ya Ufalme.

Serikali ya Tanganyika ilikuwa chini ya Malkia wa Uingereza
Serikali ya Zanzibar ilikuwa Chini ya Sultan Wa Zanzibar.

Mapinduzi hakupinduliwa Mfalme ila Serikali halali ilo kuwa ya wananchi.

Alotawala Zanzibar ni Mngereza British na aktowa uhuru tarehe 10 Dec 1963.
Serikali mpya ilikuwa mwezi mmoja tuu na ikaondoshwa madarakani.

Unyonyaji , Dhulma na mateso yalkuwa chini ya Brtish sio serikali ya mwezi mmoja.

Tanganyiak waliamua kujitowa kwenye mfumo wa usultani kwa diplomasia.
Na zanzibar ingeweza kukukana ufalme kwa njia hiyo hiyo lakini Nyerere hakutaka na kushawishi kutumika nguvu.
 
Kama sikosei na Dr. Salmin Amour rais wa tano wa Zanzibar ndiye aliyetoa msamaha kwa Sultan Jamsheed arudi nyumbani toka ukimbizini. OK, arudi tu maana hana madhara kwa utawala uliopo. CUF ya Maalim Seif ingeshinda 1995 sultan angeisharudi siku nyingi pamoja na waziri mkuu wake Mohamed Shamte
aliyepinduliwa na khafiri okello ni shamte, sultan alikimbia kwa taharuki tu
 
Kwenye hiyo ziara, na John Okello naye alitakiwa kualikwa. Ni vile tu Idd Amini Dada alimtanguliza mbele ya haki.
john okelo, mkatoliki fulani hivi ndio aliwaokoa hawa wavaa misuli,bila huyo wao walikuwa hata kukimbia hawawezi, misuli ingedondoka. walivyo katili,hawajawahi kumwekea hata siku ya kumbukumbu.
 
View attachment 3186808

Mnamo Januari 9, 2025, Zanzibar itashuhudia tukio la kihistoria itakapompokea Sultan Jamshid bin Abdullah kurejea kwenye pwani zake. Hili ni tukio muhimu sana kihistoria, kwani mtawala wa zamani wa Zanzibar anarudi baada ya miongo sita ya uhamisho nchini Uingereza na Oman, kufuatia kuondolewa kwake madarakani wakati wa mapinduzi ya 1964.

Cc Pascal Mayalla

Maelezo kuhusu jinsi ziara hii ilivyopangwa bado hayajafahamika, lakini umuhimu wake hauwezi kupuuzwa. Kurudi kwa Sultan Jamshid kunawakilisha ishara ya upatanisho wa kipekee kutoka kwa serikali ya Zanzibar. Ziara yake inaweza kuwa daraja kati ya enzi za kabla na baada ya mapinduzi, ikichochea mshikamano na uponyaji wa kitaifa.

Zanzibar inaweza kuchukua nafasi hii kumwalika Sultan kuishi katika mojawapo ya majumba yake ya zamani kama raia wa kawaida. Hatua kama hiyo haitaimarisha tu taswira ya Zanzibar kimataifa bali pia inaweza kuinua sekta yake ya utalii, kwani uwepo wake utavutia shauku kubwa. Zaidi ya hayo, inaweza kuashiria sura mpya ya upatanisho kati ya Sultan na serikali ya mapinduzi, ikitoa mfano wa maendeleo na mshikamano.

Dunia inaposhuhudia tukio hili la kihistoria, Zanzibar inasimama katika nafasi ya kubadilisha urithi wake kuwa simulizi ya mshikamano na heshima ya pande zote.
Issa AlHarthy.

Pande zote ni zipi😂
 
Kumbe bado anaishi!!! Ana miaka mingapi kwa sasa? Alipokuwa akiitawala zanzibar alikuwa na miaka mingapi?
Waliomtoa yeye madarakani vijana wa Umma Party wengi wa viongozi wake walishatangulia mbele za haki.

Karume ana bahati sana. Mapinduzi wafanye wengine uraisi akapewa yeye. Wakati hakushiriki kwenye mapinduzi hata kidogo.
Tafuta nafasi na siku utufafanulie vizuri hii habari , mkuu 'Ziroseventytwo', kwani ni habari muhimu hii. Nami huwa nashindwa kuelewa vizuri matukio ya wakati huo hapo visiwani.
 
Hili ni tukio la kipekee; bila shaka linayo maana kubwa siyo kwa maswala ya huko visiwani pekee; bali kwa Tanzania nzima.

Ni ishara muhimu sana hii kwa mstakabari wa Tanzania.
 
john okelo, mkatoliki fulani hivi ndio aliwaokoa hawa wavaa misuli,bila huyo wao walikuwa hata kukimbia hawawezi, misuli ingedondoka. walivyo katili,hawajawahi kumwekea hata siku ya kumbukumbu.

Waislamu wengi wakiwemo waarabu, waafrika n.k wameuawa dhidi ya kafiri okello, na wengine inasemekana walitupwa baharini, sasa huyo okello wako aliwaokoa wakina nani!! Yani nyie msio na dini mnatabu sana
 
Suala si ninyi kuwa ndugu, bali ni inferiority complex yenu kwa waarabu.
Waarabu wamewadominate kwenye kila angle ya maisha.
  • Hapa mnatamani warudi kuwatawala hapo Zanzibar, lakini wao hawawezi kuwaruhusu mkawatawala na wanawabagua weusi wote, uwe muislamu au la.
  • Mnaitwa majina yao, mnafuata imani na matendo yao, meanwhile, hamna chenu wanachofuata.
Kiufupi, waarabu ni superior race kwa waislamu wote wa Zanzibar na Tanganyika, na ninyi wabantu mmesalia kwenye nafasi ya utumwa.
Kwanza kabisa mimi sio mzanzibari, mimi pia sio mbaguzi wala chuki, elewa hivyo.
 
Back
Top Bottom