Siyo hawapend kujionyesha tatitizo hawajielewi, ndiyo maana huwezi kumtofautisha mkuu wa mkoa, katibu mkuu wa wizara na wauza nazi sokoni, mkurugenzi wa Zec Zanzibar ana panda boti ya elfu 25000, kwenda kwenye kikao, Una zani mkurugenzi wa NEC utampandisha boat ya elfu 25000 kwenda kwenye kikao Zanzibar, kwa kifupi wa Zanzibar hawajui kutumia hela
Daah...nimecheka sanaKuna kipindi nilicheka saana yaani nimekutana na Mkuu wa mkoa huku Zanzibar kwenye uzinduzi wa Zahanati analetewa msosi na jamaa kashika sahani ya chakula mkononi na sahani ya mchuzi mkono mwingine huku kidole kimedumbukia kwenye mchuzi na maji ya Mia tano kayaweka mfuko wa nyuma. Afu akamwekea mkuu wa mkoa na Mkuu akala.
Honestly Mimi siwezi kula kile chakula Ni kibovu afu mbebaji kabeba kwa Nia ya hatari na Hana hygiene wala usafi wowote isitoshe kidole kimedumbukia kwenye mchuzi na jamaa alilamba kidole baada ya kukabidhi msosi. Nilishangaa saana. [emoji15]
Mleta mada anamaanisha miundombinu inayoletwa na serekali mfano barabaraUnaongea kama kichwani kwako kumefungwa nati badala ya ubongo. Umeshafika maeneo ya Mbweni, Mwambasa, Mazizini, ukajionea hayo maeneo yaliyopangika au hapo ulipofika ndio unaona umefika?
Kuhusu five star hotel nenda maeneo ya shamba huko Matemwe, Kiwengwa, Pwani Mchangani, Nungwi Jambiani, Paje kisha uje na mrejesho hapa.
bara wanajali maendeleo ya vitu,Visiwani wanajali maendeleo ya watu. Yaani wakati bara tunaishi ili tufanyekazi Visiwani wanafanyakazi ili waishi...kwa hiyo hatuwezi kujilinganisha na wao kwasababu tunamitazamo tofauti.
Mkuu Ahsante sana kwa kuliona hili, kwa kweli nchi yetu ya Zanzibar inaendeshwa kienyeji mno, mji wa Zanzibar ndio Aibu, barabara hazina lami, mavumbi kila pahala, ujanja ujanja tu. Yaani kuendesha chombo mjini ni sawa sawa na kuendesha safina katika gharika.
Mji upo ovyo utasema hakuna serekali. Hapo Malindi kwenye mataaa kuna barabara ya bwawani ni mbovu hatari, ajabu barabara hii inatumiwa sana na Shirika la bandari lakini wameshindwa kuiboresha. Pia kuna jengo la Benki ya PBZ la ghorofa moja tu lakini tunaambiwa limetumia billion 4 , pia na wao wameshindwa kutoa milioni 200 kutengeneza hii njia ya bwawani.
Kwa ujumla mji wa Zanzibar upo ovyo kwa kweli. Decision making zinafanywa na watu incompetent ambao wanajali matumbo yao tu
Mleta mada anamaanisha miundombinu inayoletwa na serekali mfano barabara
Kama ile barabara pale darajani ya enzi na enzi
Mfano kutoka shangani Hadi airport hiyo barabara yaaje mkuu
Alafu zile paka kule Stone Town nyingi kushinda mchanga
Hilo lipo nje ya uwezo wao hawawezi kulifanyia kazi.Kuna jambo umelisahau sehemu nyingi watu wamefanana sura halafu sura zenyewe mbaya mbaya tu
Zanzibar ni nchi sio mji... Unguja na pemba ndio mijiNimetembelea huu mji, kwa kweli ni mji ambao bado watu wamelala, migahawa ya kumulika kwa tochi vyakula havieleweki, nimeenda hadi forodhani yaani nyama za pale bei juu alafu hazina mvuto yaani rafu rafu tu.
Barabara za lami kama wamemwaga zege yaani , mainjinia sijui wameajriwa kwa kazi gani, nimehisi nimerudi Dar es Salaam ya mwaka 2000 ,or ndio mji wa kitalii labda.
Labda nipewe chimbo huenda nimeenda sehem sio lakini kwaweli ni majanga sana hapa.
Kwarara,Kiembesamaki,Mwembenjugu,Kajificheni,Saaten, Mwembemakumbi,Kwamchina.... Yapo mengi mkuu hatuwezi kuyamaliza, usisahau ile ni nchi na hayo ni majina ya mitaa tu, bado vijiji,kata,tarafa,wilaya, na hata mikoa yote yanatafakarisha hivyohivyo.Endelea mkuu, nikienda Zanzibar nataka nikatafute asili ya hayo majina
Hilo nalo tatizo!? Hapa Daresalam mbona pia tunasafirinao tena kwenye Costa na hais katikati ya jiji!? Heri wao wanaosafiri nao kwenye Chai maharage.Siku za sikukuu wanapanda kwenye daladala na bata, kuku
Pamoja mkuuKwarara,Kiembesamaki,Mwembenjugu,Kajificheni,Saaten, Mwembemakumbi,Kwamchina.... Yapo mengi mkuu hatuwezi kuyamaliza, usisahau ile ni nchi na hayo ni majina ya mitaa tu, bado vijiji,kata,tarafa,wilaya, na hata mikoa yote yanatafakarisha hivyohivyo.
Sahihi.Kama Bagamoyo sio?
Hakuna kitu kama hicho Kwa dar Abiria wapande kwenye mwendokas na bata, kukuHilo nalo tatizo!? Hapa Daresalam mbona pia tunasafirinao tena kwenye Costa na hais katikati ya jiji!? Heri wao wanaosafiri nao kwenye Chai maharage.
Hoteli za wenye za matajiri..sio wote matajiri..lodge muhimu.Hotel zipo...
Hahahaa we jamaa muongo Sana aiseeMimi nilienda huko nikapanda daladala namcheck konda eti kapaka uwanja aah..sikumweka nikamuuliza ...eti ananiambia ni sunah hiyo ...eeh nikabaki nashanga hawa watu wanaishi maisha ya Karne gani sijui .
Mmenifugua akili. Hivi kumbe Zanzibar kuna maeneo ya shamba? Siku zote nilijua Zanzibar ni town tupu!Unaongea kama kichwani kwako kumefungwa nati badala ya ubongo. Umeshafika maeneo ya Mbweni, Mwambasa, Mazizini, ukajionea hayo maeneo yaliyopangika au hapo ulipofika ndio unaona umefika?
Kuhusu five star hotel nenda maeneo ya shamba huko Matemwe, Kiwengwa, Pwani Mchangani, Nungwi Jambiani, Paje kisha uje na mrejesho hapa.
ACHA UONGO NA UZUSHI, HUYO MUME LABDA WA DADAAKO. KAMA USHIRIKINA USHAWAHI KUSIKIA ALBINO KAULIWA HUKU?Tatizo wanapenda kufuga majini kila nyumba kuna fugwa jini, kingine wanahamin Sana ushirikina utakuta Mume hajaonekana nyumban siku mbili mke anaenda Kwa mganga ili amsaidie, baadala aende kutoa taarifa polisi na kwenda hospital kumtafuta , chakushangaza wanaenda kwa waganga.
Very True, ndio maana wanalindana sana wanafanya ubadhirifu halafu wanaachiana tu. Fikiria CAG katoa ripoti ya ufisadi, Mwakilishi wa CCM anasema CAG hana mamlaka kwa vile hajachaguliwa kisheria. BullshitKinachoitesa Zanzibar ni CCM. CCM ni laana ndani ya nchi
yote tisa msosi zanzibar kiukweli mbaya sijapata ona afadhali kidogo pale sijui panaitwa lukumai.Nikwel nyumba zao ni duni kabisa Yani, Jambo la kushangaza utakuta pesa wanazo lakini wanaishi maisha duni sijui pesa zao za majini, maana hawajui kutumia pesa. Utakuta mtu pesa anazo lakini Wana Kula vyakula vya ovyo, Yani wazanzibar hawajui kuvaa, Kula na kuishi maisha Bora, Hussein Mwinyi ana kazi kubwa ya kuwabadilisha kifikra.
Kimgawanyo, kuna eneo la mjini ambalo lipo katiko mkoa wa Mjini Magharibi na ni wilaya ya Mjini, maeneo ya shamba ni Mkoa wa Kaskazini na Mkoa wa Kusini.Mmenifugua akili. Hivi kumbe Zanzibar kuna maeneo ya shamba? Siku zote nilijua Zanzibar ni town tupu!