Unajidanganya mchana hii deen haiuhusu![emoji116][emoji116]Basi tulia uoneshwe, ww unadhani waislam wa Zanzibar wana tofauti na wa Dar, Tanga, Moro au Mtwara, au Tabora na Kigoma? Jichanganye maana huna akili kichwani.
Usichokijua Waislam wote mlengo wao huwa ni mmoja, we jaribu hata huko uliko chana tu Msahafu, hata kama uko Mbeya we jaribu kuchana ndio utajua hao Waislam wanafanana na wamejaa Zaidi hapa Tanzania.
Shida yako umesahau kwenye uislam dini yao ndio ya haki, na bora, na kwamba kwa wao hakuna Dini nyingine ya Mwenyezi Mungu isipokuwa Uislam.
Muislam hata awe mlevi wa kiwango gani, ila mbele yake jaribu kuchana Ukurasa hata wa Juzuu utakuja kuleta mrejesho hapa.
Unaingiza siasa kwenye Uislam? Mkuu utaumia, we jiheshimu, heshimu taratibu zao, huwezi wapigiza kelele usiku kucha eti unaabudu, Zanzibar ni nchi kama ilivyo, ENGLAND, WALES, SCOTLAND ndani ya UK.
Usiwaletee vitu vyako vya kipumbavu eti haki, haki, haki. Haki unaijua wewe?
Kama Zanzibar wanakubana hamia MBINGA huko, NGURUWE anafugwa kama kuku wa mtaani, yaan anaachwa ajitafutie chakula na huko hata Msikiti unaweza usiuone kabisa kwa maeneo hasa ya Vijijini.
Broh wakati Mudi anapewa kitabu nani alishuhudia?Kitabu chao kinawaagiza waumini!
[emoji116][emoji116]
قَاتِلُوا الَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ بِاللَّهِ وَلَا بِالْيَوْمِ الْآخِرِ وَلَا يُحَرِّمُونَ مَا حَرَّمَ اللَّهُ وَرَسُولُهُ وَلَا يَدِينُونَ دِينَ الْحَقِّ مِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ حَتَّىٰ يُعْطُوا الْجِزْيَةَ عَن يَدٍ وَهُمْ صَاغِرُونَ
[ AT-TAWBA - 29 ]
Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii.
Hakupewa kitabu kama kitabu ila aliyempa mafunuo amemwambìa aseme!Broh wakati Mudi anapewa kitabu nani alishuhudia?
Kama alimpa mafunuo vipi kile kitabu alichopokonywa na shetani😅😅😅😅Hakupewa kitabu kama kitabu ila aliyempa mafunuo amemwambìa aseme!
[emoji116][emoji116]
قُلْ مَن كَانَ عَدُوًّا لِّجِبْرِيلَ فَإِنَّهُ نَزَّلَهُ عَلَىٰ قَلْبِكَ بِإِذْنِ اللَّهِ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَهُدًى وَبُشْرَىٰ لِلْمُؤْمِنِينَ
[ AL - BAQARA - 97 ]
Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini
Bila shaka wewe unatafuta usawa adhana ya subuhi ni dakika 5 mchana 5 saa kumi 5 saa moja 5 saa mbili pia dakika 5 tukichanganya tupata dakika 25 kutwa basi na nyie muwe mnalia na kupiga mayoe na miziki yenu hizo dakika 25 kwa siku tuone nani atakae lalamika,ukweli ulivio makanisaTena siku hizi wanaacha maspika wazi kusikie mpaka wanachoswali nadhani hii si sawa Kwa sababu kuna watu hayawahusu
Kale na mavi yako basi au watoto wako si kawaumba Mungu!!Aliyemuumba nguruwe na aliyekuumba wewe ni Nani, si huyo huyo? Uamuzi wa Kula au kutokula kitu ni wako binafsi!
Mnamfanya kama Mungu hana akili kwa kuumba viumbe wake. Kama nguruwe ni haramu kiasi hicho, kwa nini aliumbwa? Uharamu wa nguruwe unauzidi uharamu wa binadamu? Kama huu unaotokea huko Zanzibar?
Umeanzia wapi? soma wagaratia utajua ukirito ulipo anziaUkristu haujaanzia ulaya shehe
Sio kweli hizo DK 5 hamzifati nahisi mnapambana na makanisa ya kilokole kwa sababu hamna tofauti nayo sisi mambo yenu ya mtume nani sijui yanatuhusu nini myazungumzie kwenye mapaza sauti????????hakika ni kero kuuBila shaka wewe unatafuta usawa adhana ya subuhi ni dakika 5 mchana 5 saa kumi 5 saa moja 5 saa mbili pia dakika 5 tukichanganya tupata dakika 25 kutwa basi na nyie muwe mnalia na kupiga mayoe na miziki yenu hizo dakika 25 kwa siku tuone nani atakae lalamika,ukweli ulivio makanisa
Ya kirokore haya fai kabisa ndio maana kagame aliyafutilia mbali nchini mwake lakini msikiti na makanisa ya Kiroma na kisabato hakuyagusa
Uwezi ukakesha unalia kwa kuomboleza na mayoe kwa sauti ya juu mchana kutwa miziki tena katikati ya majumba ya watu bila kujali kuwa kuna wagonjwa wazee watoto hata watu kupumzika mkiambiwa mnakuwa na majibu ya shombo
Kwani mkimuadu huyu yesu kama wenzenu waroma kuna ubaya gani? au hana masikio ndio maana mnapayuku usiku kucha
Hii yote inasababishwa na baadhi ya warokole walioko serikalini hasa aridhi wanao wapa vibali kujenga makanisa bila kufuata utaratibu mfano kujenga kalibu na misikiti heti mpige kelele mpaka msikiti ihame mtahama wenyewe na nihizo chuki zenu na hao wenzenu walioko serikalini wanao wabeba tangu lini kanisa likajengwa karibu na msikiti
Zanzibar iendelee tu kuwa sehemu ya tanzania, vinginevyo kutakuwa na upuuzi wa kidini kwa kuita nchi ya kiislam. Na hawatakuwa pamoja watavurugana na kujikuta jamhuri mbili za kiislam unguja na pemba, itakuwa aibu sana kama kule somalia dini moja lakini kuna ushenzi mwingi wa kujigawa
Ni kero aiseee..... Hili nalo huwa sisi wengine linatukwaza. Alarm itabaki alarm na kelele za kufukuza swala zitabaki hivyo. Watoto hawalali...Asubuhi adhana hutumika Kama alarm,adhana haitumiwi na waislam tu,halafu haizidi dk 2,walokole ijumaa wanafungulia muziki mpaka jumapili
Watoto hawalali alfajiri!?..Wana asili ya ulevi hao,wenzao wanalala mbonaNi kero aiseee..... Hili nalo huwa sisi wengine linatukwaza. Alarm itabaki alarm na kelele za kufukuza swala zitabaki hivyo. Watoto hawalali...
vatican ni nchi ya kikatoliki.Nimeoana malalamiko kama haya ya waislam waishio VATICAN.
Wanaolala sasa nadhani wanakuwa wamelewa ndo maana hawasikii kelele. Wale ambao wana akili fresh wanaamshwa na makelele ya kufukuza swala....Watoto hawalali alfajiri!?..Wana asili ya ulevi hao,wenzao wanalala mbona
Anza yako au wa kwako, si unayo?Kale na mavi yako basi au watoto wako si kawaumba Mungu!!
Syria ilikuwa ni miongoni mwa mataifa ya mwanzoni kabisa kuupokea ukristu na walikuwa wakiitwa na wayahudi "watu wa mataifa"Umeanzia wapi? soma wagaratia utajua ukirito ulipo anzia