Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wewe kwani lazima uende zanzibarSuala sio kuteseka, suala ni je katiba ya Zanzibar haiwatambui wakristu???
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu amewahi kunukuliwa akisemaSasa wewe kwani lazima uende zanzibar
Kalpana ni jina la kike la kihindi na Hindu...tafuta maana yake mkuu 😆 😆 😆Kuna muvi moja ya Amir Khan naikumbuka kutokana na id yako sijui inaitwaje kifuani alijiandika "Kalpana was killed" maana yeye alikuwa na tatizo la kusahau sahau alivoigiza mle
Muda Sana nilipoangalia sijui 2006
😁😁😁
Sio wapentekoste kaka ni wacoptic ila nao wanaonekana kama raia daraja la pili na makanisa yao yalikua yanashambuliwa sana na Muslim brotherhood mpaka alipoingia madarakani Hosni Mubarak ndio hali ikatulia kidogo!!!!Misri Ina waislamu lukuki ila hao wapentekoste pia wamejaa
Unamaanisha wale wauslamu kule China na myanmar wanapaswa kuondoka?Wagalatia wawanateseka sana na uislamu. hivi unatesekaje nchini kwa watu? Ukiona hupaelewi si rudi nyumbani tu.
Labda wanafanana lakini matukio ya ubaguzi wa kidini zanzibar huwezi kulinganisha na ya mikoa iliyopo bara. Sio mara ya kwanza na kesi nyingi zimeelemea kwa waislamu kukereketwa na uwepo wa wakristo zanzibar.Laiti kama wakristo wangekuwa wanarudisha hii nchi pasingekalika. #Tujifunze kupendana amani ni bora zaidi kuliko vingine vyote.Kwa kuongezea, unapitaka kuvunja basi na mikoa ya TANGA, DAR, LINDI, MTWARA, MOROGORO, MANYARA, PWANI, DODOMA, SINGIDA YOTE IWEKWE UPANDE WA ZANZIBAR. Hiyo mikoa ina karibu tabia za huko Zenji pia.
Muslims ni wabaguzi mnoAmini tu mkuu japo sio wote, ila kwa asilimia kubwa
Ila hicho chombo kimeundwa na mkristo.. Sasa Imani yenu hapo huwa inawaza nini?..Mwenye chombo Cha usafiri ni MUISLAMU hivyo hutakiwi kumkwaza
Unamaanisha wale wauslamu kule China na myanmar wanapaswa kuondoka?
Suala sio kuteseka, suala ni je katiba ya Zanzibar haiwatambui wakristu???
Hakuna wazanzibari wakristo?wale ni kwao mkuu wana haki kupata uhuru wao, Lakini mtanganyika Analeta shobo za nini kule visiwani?
Hakuna wazanzibari wakristo?
Siyo kuvunja Muungano hao wanatakiwa wafanyiwe assimilation ili kuua utaifa ndani yao.Mimi naona ifikie wakati tuuvunje tu huu Muungano, ili kila upande ushinde mechi zake.
Tanga kuna watu wenye akili timamu ndiyo tofauti iliyopo.Aliyekuambia Zanzibar hawana akili timamu ni nani? Dharau zenu ndio maana mnamwagiwa tindikali boya wewe. Kwahiyo tofauti ya TANGA na ZANZIBAR ni nini?
Hauna akili.umewahi sikia wapi wakristo wazanzibari wakilalamika ovyo? always unapoona malalamiko ni watanganyika
Waaarabu hawa hawa walioongoza biashara ya utumwa kwa ukatili mkubwa ndio waalimu wa Allah?وَلَن تَرْضَىٰ عَنكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّـهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُم بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّـهِ مِن وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ ﴿١٢٠﴾
120. Na hawatoridhika nawe Mayahudi wala Manaswara(wakristo) mpaka ufuate mila zao. Sema: “Hakika mwongozo wa Allaah ndio mwongozo (pekee).” Na ukifuata hawaa zao baada ya yale ambayo yaliyokujia katika elimu, basi hutopata kutoka kwa Allaah mlinzi yeyote wala mwenye kunusuru.
Watanganyika hawaruhusiwi kufanya mila zao wakiwa Zanzibar? Hata kama hazileti madhara?Wanatambulikana vizuri tu, Ila tatizo ni kuwa hao wakristo wanaolalamika sio Wazanzibari ni watanganyika. huwezi kwenda kwenye nchi za watu halafu ukalazimisha mila zako zienee kwa uanavyotaka wewe.