Zanzibar: Ndani ya Maji Marefu ya Mateso ya Wakristo

Zanzibar: Ndani ya Maji Marefu ya Mateso ya Wakristo

Sasa wewe kwani lazima uende zanzibar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu amewahi kunukuliwa akisema
"...Hatuwezi kuishi Kama kisiwa..." Akiwa na maana kwamba sehemu yoyote haiwezi kuendesha shughuli zake kipekee inahitaji muingiliano wa watu, YEYE ni mzanzibari kwa asili na amebukuliwa hivi, Tafsiri yake pia ni kuwa hata Zanzibar inahitaji watu awe MKRISTU, mpaganiau hata myunani
 
Kuna muvi moja ya Amir Khan naikumbuka kutokana na id yako sijui inaitwaje kifuani alijiandika "Kalpana was killed" maana yeye alikuwa na tatizo la kusahau sahau alivoigiza mle
Muda Sana nilipoangalia sijui 2006
😁😁😁
 
Kuna muvi moja ya Amir Khan naikumbuka kutokana na id yako sijui inaitwaje kifuani alijiandika "Kalpana was killed" maana yeye alikuwa na tatizo la kusahau sahau alivoigiza mle
Muda Sana nilipoangalia sijui 2006
😁😁😁
Kalpana ni jina la kike la kihindi na Hindu...tafuta maana yake mkuu 😆 😆 😆
 
Misri Ina waislamu lukuki ila hao wapentekoste pia wamejaa
Sio wapentekoste kaka ni wacoptic ila nao wanaonekana kama raia daraja la pili na makanisa yao yalikua yanashambuliwa sana na Muslim brotherhood mpaka alipoingia madarakani Hosni Mubarak ndio hali ikatulia kidogo!!!!
 
Kwa kuongezea, unapitaka kuvunja basi na mikoa ya TANGA, DAR, LINDI, MTWARA, MOROGORO, MANYARA, PWANI, DODOMA, SINGIDA YOTE IWEKWE UPANDE WA ZANZIBAR. Hiyo mikoa ina karibu tabia za huko Zenji pia.
Labda wanafanana lakini matukio ya ubaguzi wa kidini zanzibar huwezi kulinganisha na ya mikoa iliyopo bara. Sio mara ya kwanza na kesi nyingi zimeelemea kwa waislamu kukereketwa na uwepo wa wakristo zanzibar.Laiti kama wakristo wangekuwa wanarudisha hii nchi pasingekalika. #Tujifunze kupendana amani ni bora zaidi kuliko vingine vyote.
 
Mwenye chombo Cha usafiri ni MUISLAMU hivyo hutakiwi kumkwaza
Ila hicho chombo kimeundwa na mkristo.. Sasa Imani yenu hapo huwa inawaza nini?..

Niliwahi zozana na jamaa mmoja kwenye Ile Sea link alikuwa anapakia mizigo mingine juu ya mzigo wangu ambao unaweza kuvunjika..(jina simfahamu ila Ana asuri ya uarabu hivi kimo chake ni kama futi 5.2-5.5).. Nikamuambia gharama za mzigo wangu ni kama laki 8 hivi so ukivunjika ni hasara kubwa kwangu..

Mseng** alinijibu hiyo laki nane Zanzibar unanunua mqundu wa mwanaume vizuri tu.. Huku akitishia kushusha mzigo wangu aisee.. Ibidi mwenzangu aendelee nae maana mimi binafsi nilijikuta na hasira kiasi cha kushindwa kuongea yani.. [emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi binafsi sioni faida za Muungano Hawa jamaa wanatunyonya tuu.. Na olewao Muungano uvunjike wajifanye wanawapa hifadhi alshabab.. Wataichora chini laleq
 
Suala sio kuteseka, suala ni je katiba ya Zanzibar haiwatambui wakristu???

Wanatambulikana vizuri tu, Ila tatizo ni kuwa hao wakristo wanaolalamika sio Wazanzibari ni watanganyika. huwezi kwenda kwenye nchi za watu halafu ukalazimisha mila zako zienee kwa uanavyotaka wewe.
 
Tatizo walokole nao kwa yale makelele wanakera mno. Walokole kwenda kupiga makelele maeneo yenye waislamu wengi ni uchokozi wa wazi. Tuheshimu mila na desturi za maeneo ya watu pia tutumie ushawishi sio kulazimisha. Kwa mfano Zambia ni nchi ya kikristo ambapo huwezi kuta waislamu wanalazimisha kujenga msikiti sehemu ambazo wanajua kuna wakristo tupu.
 
Aliyekuambia Zanzibar hawana akili timamu ni nani? Dharau zenu ndio maana mnamwagiwa tindikali boya wewe. Kwahiyo tofauti ya TANGA na ZANZIBAR ni nini?
Tanga kuna watu wenye akili timamu ndiyo tofauti iliyopo.
 
وَلَن تَرْضَىٰ عَنكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّـهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُم بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّـهِ مِن وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ ﴿١٢٠﴾

120. Na hawatoridhika nawe Mayahudi wala Manaswara(wakristo) mpaka ufuate mila zao. Sema: “Hakika mwongozo wa Allaah ndio mwongozo (pekee).” Na ukifuata hawaa zao baada ya yale ambayo yaliyokujia katika elimu, basi hutopata kutoka kwa Allaah mlinzi yeyote wala mwenye kunusuru.
Waaarabu hawa hawa walioongoza biashara ya utumwa kwa ukatili mkubwa ndio waalimu wa Allah?

Waarabu hawa hawa waliopinga kwa nguvu ndoa za mabinti wa Kiarabu na Weusi kisiwani Zanzibar mpaka Hayawani Abed Karume alipoozesha watu kwa nguvu?
 
Wanatambulikana vizuri tu, Ila tatizo ni kuwa hao wakristo wanaolalamika sio Wazanzibari ni watanganyika. huwezi kwenda kwenye nchi za watu halafu ukalazimisha mila zako zienee kwa uanavyotaka wewe.
Watanganyika hawaruhusiwi kufanya mila zao wakiwa Zanzibar? Hata kama hazileti madhara?
 
Back
Top Bottom