Zanzibar: Ndani ya Maji Marefu ya Mateso ya Wakristo

Zanzibar: Ndani ya Maji Marefu ya Mateso ya Wakristo

Muhimu na lazima ni UVUMILIVU WA KIDINI!
Mbona Mabaniani Wanatuvumilia??
Wao ng'ombe ni Kitakatifu kwao! Kwetu sisi ni mboga Tunapo mchinja ng'ombe!
Huoni wala kusikia Baniani Anamfunya mtu au kulalamika kwa kuchinjwa ng'ombe!
Wana Amini baada ya maisha hata duniani ng'ombe Anao uwezo wa kuwaadhibu woote waovu wanao mchinja!
BANIANI ANAWASHINDA IMANI![emoji56][emoji15][emoji27]
 
Kwani suala la Imani ni la uzanzibari na utanganyika??

Tanganyika hakuna huo ushamba wa ubaguzi wa kidini huku waislamu na wakristu wote hukaa pamoja na kwa utulivu, nimekaa tabora kwenye waislamu wengi sana kwa muda tu lakini sijawahi ona waislamu wa pale wawalalamikie wakristu na ibada zao

Yaani wazanzibari mna ushamba mwingi Sana ni kama vile uislamu ulianzia huko na mkaueneza nyie mahali pengine

Kweli shule muhimu

Hapo suala ni watanganyika mana ndio wanaolalamika, Umeshwahi sikia wakristo wa Zanzibar wakilalamika?
 
Unataka wawe radhi mnapo wapiga kisha muwatoze kodi??
[emoji116][emoji116]
قَاتِلُوا الَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ بِاللَّهِ وَلَا بِالْيَوْمِ الْآخِرِ وَلَا يُحَرِّمُونَ مَا حَرَّمَ اللَّهُ وَرَسُولُهُ وَلَا يَدِينُونَ دِينَ الْحَقِّ مِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ حَتَّىٰ يُعْطُوا الْجِزْيَةَ عَن يَدٍ وَهُمْ صَاغِرُونَ

[ AT-TAWBA - 29 ]
Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii.
Rudi kwa askofu wako ukasome maana ya waliopewa kitabu ili uje ufute coment yako.au soma sherehe/mafahiimu ya Neno Waliopewa kitabu.
 
Rudi kwa askofu wako ukasome maana ya waliopewa kitabu ili uje ufute coment yako.au soma sherehe/mafahiimu ya Neno Waliopewa kitabu.
Wakristo walipewa Kitabu??[emoji101]
 
Hapo suala ni watanganyika mana ndio wanaolalamika, Umeshwahi sikia wakristo wa Zanzibar wakilalamika?
Wakristu wazanzibari si mnawafinya kisirisiri! Na wala hawana sauti huko na ndo maana wakija Tanganyika huanzisha vuguvugu tokea huku ili nao wapewe haki yao

Kuna Siri juu ya uteuzi wa mwakilishi Anna Paulo kuwa waziri kwenye baraza la wawakilishi

Tafuta
 
Wakristu wazanzibari si mnawafinya kisirisiri! Na wala hawana sauti huko na ndo maana wakija Tanganyika huanzisha vuguvugu tokea huku ili nao wapewe haki yao

Kuna Siri juu ya uteuzi wa mwakilishi Anna Paulo kuwa waziri kwenye baraza la wawakilishi

Tafuta

vuguvugu gani lilowahi kuanzishwa?
 
Angalau we umekuwa mkweli, hiyo ndo hali halisi kwa wakristo wengi......chuki kali kama hiyo ndo waliyonayo sema wanajificha kwelikweli.

Ila ndg yangu kama hupendi kuwaona waislamu nchi hii au dunia hii basi ni bora tu ukajirestisha in peace kwa sababu they are there and they will always be there.......whatever, whenever, nigga, fuc%k you gon' do!!
Mkifa mnakamuliwa mavi MUINGIE PEPONI MKIWA WASAFI. Pathetic relion. Thats why you hate and like killing each others.
 
Mnamo Machi 19, 2020, Mchungaji James* aliamka kama kawaida na kuondoka kwenda kufanya maombi katika kanisa lake katika kisiwa cha Zanzibar, kilicho karibu na pwani ya Afrika mashariki mwa Tanzania. Lakini alipofika, kwa mshtuko wake, alikuta kanisa lake lilikuwa limeboreshwa. Kabla hajaelewa kilichotokea, kundi la Waislamu wenye itikadi kali lilimshukia wakiwa na mapanga.

"Nilienda kufungua na kupanga viti kwa ajili ya maandalizi ya maombi yetu ya asubuhi nilipopata kuta zimebomolewa na paa ikiwa juu ya vifusi," Mchungaji James aliambia ICC. "Ghafla, kundi la Waislamu (wenye siasa kali) walitokea kutoka kwenye majengo ya karibu na kanisa letu na kuanza kunipiga ... walisema kwamba kanisa halihitajiki katika eneo hilo."

Kilichofuata ni mfululizo wa mashambulizi ya kikatili yaliyopelekea Mchungaji James kupoteza sio tu kanisa lake bali hata nyumba yake na mali zake zote.

“Walinikata mara kadhaa kichwani na mikononi na kuondoka kuelekea nyumbani kwangu. Waliamuru mke wangu na watoto watoke nje ya nyumba na kuichoma moto. Tulipoteza kila kitu ndani ya nyumba, kuanzia mali ya kibinafsi, nguo, na vitabu vya shule vya watoto wangu hadi Biblia na vitabu vya nyimbo. Waumini wa kwanza walifika dakika kumi na tano baadaye na kunikuta nimelala kando ya kanisa letu lililobomolewa. Walinikimbiza hospitalini.”

Kubomolewa kwa kanisa la Mchungaji James sio kisa pekee cha mateso katika Kisiwa chenye uhuru cha Zanzibar, ambako Waislamu wengi wanaendelea kukandamiza Ukristo. Mnamo mwaka wa 2019, Kanisa la Kipentekoste lilifungwa kwa mwaka mmoja baada ya Sheikh kutoka msikiti wa karibu kulalamika kwamba ibada ilikuwa kubwa sana.

Katika kesi nyingine, kanisa moja liliamriwa na mahakama kusitisha ujenzi baada ya malalamiko ya ardhi yaliyowasilishwa na mfanyabiashara tajiri Mwislamu.

Kwa upande wa Mchungaji James, anaendelea kusubiri haki itendeke, ingawa anajua kuwa fidia kutoka kwa serikali haiwezekani.

“Tuliripoti suala hilo kwa mamlaka na kutoa taarifa. Hadi sasa, hakuna kilichofanyika. Ombi letu ni kwamba tusiamke hata siku moja na kukuta kiwanja chetu cha kanisa kimezungushiwa uzio na mkandarasi anayeweka msikiti.”

Huku hayo yakijiri, kanisa lake limelazimika kukataa kukutana kila Jumapili kwa hofu ya kushambuliwa.

Askofu Dan* amekuwa sauti muhimu kwa uhuru wa ibada ya Kikristo kisiwani humo. Ingawa ameona baadhi ya mafanikio kwa mwaka mzima, aliiambia ICC kuwa kuna kazi nyingi zaidi ambayo inahitaji kufanywa.

"Kikwazo kikubwa zaidi katika kufikia usawa wa kimahakama ya kidini ni msongamano wa maafisa wa mahakama wa Kiislamu ambao hawachukui hatua zozote dhidi ya ghasia za kidini zinazofanywa dhidi ya Kanisa," alisema. "Kesi za wahalifu Waislamu kuchoma makanisa zimepungua, lakini tuna kesi za hivi sasa ambapo makanisa yanahusika katika mabishano mahakamani kuhusu ardhi na kesi za ubakaji zinazoendeshwa na vijana wa Kiislamu."

Akitafakari kuhusu hali ya mateso Zanzibar hivi sasa, mchungaji Adam* wa Kanisa la Evangelical Assemblies of God atoa maoni kwamba:

“Zanzibar bado iko kwenye kina kirefu cha ubaguzi wa kidini na kutengwa unaowahusu Wakristo, kwa kuwa ni kundi la watu wachache. Kanisa la Zanzibar limejaribu kuiomba serikali kuingilia kati na kuweka usawa ambapo imani na maeneo ya ibada tofauti yanaheshimiwa na kulindwa na sheria. Hii bado ni ndoto na dua yetu ya kila siku, na hatutakata tamaa kuziomba mamlaka za Zanzibar kuwalinda waumini dhidi ya mashambulizi yanayoratibiwa na waasi wa Kiarabu.”

Kwa mahojiano, tafadhali wasiliana na press@persecution.org.

C&P
Mahotel yenye ufuska na usodoma kwao si shida shida ni ukristo tuu
 
Uliwai sikia waisilamu msikitini wanalia na kuomboleza na kusakata rumba tena kwa sauti ya kukela mpaka majirani kushindwa kulala?hili huwe mrokole razima utokwe akili kwanaza
Hivi kuna watu wapiga kelele kama waislam😕
 
Kwa mahitaji ya bidhaa za solar

Tunapatikana kariakoo dar es salaam

Karibu

0712082916l5
Whatsappp
0684942062

Mkuu kwa mutumizi ya vifaa vya solar ni lazima pafanyiwe miondo mbinu kwenye nyumba au unaweza kununua na kutumia tu?


Na jengine munauzaje Taa zile zinazokaa kwenye kuta za fence za nyumba.
 
Back
Top Bottom