Zanzibar: Ndani ya Maji Marefu ya Mateso ya Wakristo

Dini isiyoheshimu uwepo wa dini zingine lazima ilete machafuko na hata vita.
Ukienda sehemu ambayo wanamuabudu Allah lazima ukute machafuko kwasabb haeshimu uwepo wa dini zingine, Nigeria, Mali, Somalia, Sudan, Pakistan, Iran. Yaani vurugu tu.
Dini ni imani kama imani zingine na haina tofauti budha n.k ingekuwa hivyo
Muhamad angejua kusoma na kuandika, nchi za Uarabuni zingekuwa superpower na watu wake wangekuwa na upendo sana lkn ndiyo kwanza wanaongoza kwa machafuko
Ndiyo maana China haitaki kbsa hata kuwaona maana hawachelewi kuleta vita.
 
Umenena kila kitu, shida ya waislamu ni hiyo tu kukosa Heshima juu ya wengine
 
Tanga wako timamu
Zanzibar Wana usonji

Tanga hakuna mambo ya kumwagiana tindikali ndugu
Basi tulia uoneshwe, ww unadhani waislam wa Zanzibar wana tofauti na wa Dar, Tanga, Moro au Mtwara, au Tabora na Kigoma? Jichanganye maana huna akili kichwani.

Usichokijua Waislam wote mlengo wao huwa ni mmoja, we jaribu hata huko uliko chana tu Msahafu, hata kama uko Mbeya we jaribu kuchana ndio utajua hao Waislam wanafanana na wamejaa Zaidi hapa Tanzania.

Shida yako umesahau kwenye uislam dini yao ndio ya haki, na bora, na kwamba kwa wao hakuna Dini nyingine ya Mwenyezi Mungu isipokuwa Uislam.

Muislam hata awe mlevi wa kiwango gani, ila mbele yake jaribu kuchana Ukurasa hata wa Juzuu utakuja kuleta mrejesho hapa.

Unaingiza siasa kwenye Uislam? Mkuu utaumia, we jiheshimu, heshimu taratibu zao, huwezi wapigiza kelele usiku kucha eti unaabudu, Zanzibar ni nchi kama ilivyo, ENGLAND, WALES, SCOTLAND ndani ya UK.

Usiwaletee vitu vyako vya kipumbavu eti haki, haki, haki. Haki unaijua wewe?

Kama Zanzibar wanakubana hamia MBINGA huko, NGURUWE anafugwa kama kuku wa mtaani, yaan anaachwa ajitafutie chakula na huko hata Msikiti unaweza usiuone kabisa kwa maeneo hasa ya Vijijini.
 
Jamani Walokole ni too much miaka ya 2018/2019 kuna nyumba nilihama kwasababu ya Walokole, yes kwasababu ya walokole kanisa lao lilikua karibu sana na ninapoishi basi ni full makelele kuanzia ijumaa jioni hadi jumapili
Nadhani hata kama walokole wana shida mahalo suluhu sio kubomoa nyumba zao za ibada na makazi na kuzichoma pia kuwapiga na mapanga

Ziko njia sahihi na rafiki
 
Kama nitachana msahafu Mimi ndiyo nitakuwa mgomvi na napaswa kuadhibiwa vikali maana nimedharau imani ya watu

Nimekaa kondoa asilimi 80 no waislamu kweli nimekutana na baadhi ya changamoto ila sikutishiwa uhai na mamlaka za kiuobgozi ziko thabiti tofauti na Zanzibar
 
Zanzibar iendelee tu kuwa sehemu ya tanzania, vinginevyo kutakuwa na upuuzi wa kidini kwa kuita nchi ya kiislam. Na hawatakuwa pamoja watavurugana na kujikuta jamhuri mbili za kiislam unguja na pemba, itakuwa aibu sana kama kule somalia dini moja lakini kuna ushenzi mwingi wa kujigawa
 
Uhuru wa kidini ni muhimu kuwepo ila pia tuepuke kubugudhi watu na makelele, mimi nipo upande huu, ila suala la kupiga mziki ya kidini kwa sauti ya juu asubuhi mpaka asubuhi siliafiki kabisa, tuwe na kiasi katika ibada zetu
Na kuamshana kwa lazma kila saa 11 moja asubuhi na maadha yenu huo nao sio usumbufu. Tena hii misikiti ipo katika kila baada ya nyumba kumi
 
Lazima uheshimu uwepo dini zingine. Kitendo cha kuchana utakuwa umewakosea na hairusiwi. Hapa tunaongelea kila mtu asali bila kumbughuzi mwingine.
Tunaishi na watu wenye imani tofauti na wengine hawana imani kbsa. Kwa vile mimi ni dini fulani namuona fulani anakula nguruwe, tunakusanyika tunaenda kumpiga hiyo hairusiwi. Wewe kula nguruwe yako na mwingine abaki na dini yake. Umefunga kula, funga kivyako ukimuona jirani anakula muache usiende kumbughuzi.
 
Kwanini wafanye hivyo wakati wapo kwenye dini ya haki?
 
Awali niliwahi kuwaza hivi ila baadaye nikasema mchuma janga hula na wa kwao
 
Sasa kukesha unasali kwa makelele huoni unawabughudhi wengine? Tumia kipaza sauti wakati wa unaita watu au unasali, lkn usiku wote, mchana wote wewe Ni nyimbo, na makelele?

Lazima mjitafakari pia.
 
Hizo nchi ulizozitaja, Nani amesababisha machafuko
 
Dini zinawapumbaza sana waafrika, imekua kama kilevi kikali.
Religion is the opium of the people- Karl Max
Ukiwa mjinga utapumbazwa maana ukristu unaonya "kutumia akili kumpenda Mungu na kufuata Imani"

LUKA 10:27
Akamjibu, “Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote
 
Hizo nchi ulizozitaja, Nani amesababisha machafuko
Rudi kwenye mada mbona hamkimbilii nchi za kiislam au za kiarabu?
Kwaio makundi ya kigaidi ya kiislam yameanzishwa na westerners ili kupigana na waislamu wenzao?
 
Sasa kukesha unasali kwa makelele huoni unawabughudhi wengine? Tumia kipaza sauti wakati wa unaita watu au unasali, lkn usiku wote, mchana wote wewe Ni nyimbo, na makelele?

Lazima mjitafakari pia.
Kutumia kipaza sauti nazo ni kelele zile zile. Kwani waumini hawajui muda wa kusali mpka uwe na kipaza sauti?
Hata kama wanapiga kelele ndyo ubebe mapanga, ukabomoe nyumba na kuchoma moto? Mbona hii machafuko tayari.
Ningetegemea ungemuita mhusika ukamwambia kama amekaidi kuna balozi, mwenyekiti, polisi na mahakama ingefanya kazi.
 
inasikitisha sana manake mtume muhammad,wakati wa harakati zake za kuuneza uislam kwa jihad alilazimika kukimbilia ethiopia{chini ya kanisa la orthodx } na wakamsitiri lakini wafuasi wake sasa!!...ujue mimi huwa siwashangaai MAYAHUDI wanavowashuhulikia palestine kikatili,why?..kwa sababu ukiwapa nafasi hawa jamaa,,,wakajiorganise wanakuwa makatili maradufu....kajenge kanisa SOMALIA uone!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…