Zanzibar: Ndani ya Maji Marefu ya Mateso ya Wakristo

Wewe unaona hiyo iko sawa??kutopenda wabara na kuwatenga je ndio mafundisho ya dini yenu hayo?
Dini yetu wapi ilisema kuhusu wabara? Tambua shobo zinawagharimu ..Hamtakiwi ila shobo kibao kaeni kwenu.
Mtakuja kuuliwa na upumbavu wenu.
 
Yule afisa biashara kule morogoro mbona alichana hadharani?
 
Tatizo ni pale mnapolazimisha kujenga Makanisa pasipo na wahitaji
 
Jesuit + VATCAN + Mohamed + shetani + Mapepo + Majini = ISLAM.....


Kile kitabu kilichoshushwa kimeandikwa VATCAN.
Kimeandikwa na Jesuit.

Mmeingizwa chaka
 
payback kwa wazungu waliokuwa wamewatawala na kuchukuwa resources zao. Hao walibya na Afghanistan yote wamesababishiwa na wazungu, hebu kasome tena historia ya hayo mataifa.
kwani hhap walibya wanapigana na wazungu?
 
Muongo huyo, Kuna jamaa morogoro kule tena ni afisa biashara alichana korani hadharani ilikua 2020, na video alirekodi na ikasambaa mtandaoni.
 

Hata ulichoandika hukielewi kuna watu wanapigania dini hapo? Kwanini uhuru wa dini uwe haki kwa waislamu na usiwe haki kwa wakristo zenji? Ukiachilia mbali hayo masuala ya ardhi n.k

Hoja hapa ni wazenji waislamu kukosa ustaarabh na uvumilivu wa kidini hili ndilo tatizo kuu,hasa kwa nchi inayoheshimu misingi ya haki za binadamu hasa haki ya kuabudu.

Unasema na kutetea hivyo kwa sababu wewe sio mkristo na hauko zenji ila uko bara na unaishi na unaabudu utakavyo.

Ila fahamu haya yana mwisho wake
 
Zanzibar ni Islamic State, nilipita kipindi fulani kule ni mateso,ila huku kwetu wao wanajiachia tu.......
 
Hivi ile boat ya Azam unaeza panda na nguruwe

Nataka enda na panga Kali na kundi la watu 20 hivi tukamfunge sehemu kwnye mti ole wake wake watageuka nyama au nikaanze fuga nguruwe zanzibar
😀😀😀Ila kitimoto rosti huwa inasafirishwa vizuri Kuna mtu huwa namwagizia akiimiss via Azam marine
 
Nani anawasababishia hebu tufungue macho
Kasemo history ya Libya, Iraq, Tunisia, Sudan, Somalia, Nigeria, utaelewa Nini namaanisha. Libya walikuwa wanataka mafuta, nchi ilitulia tu, wakawavuruga, Iraq walikuwa wanataka mafuta, wakawavuruga, Sudan mpaka zikavunjika, kisa wachukue mafuta Sudan Kusini, Nigeria Biafra walitaka kujitenga, hawakupewa sapoti kisa hawana interest napo, Saudi Arabia, Kuwait, Qatar, hakuna matatizo kwasababu wanapata wanachokitaka. Jielimishe ya Dunia upate maarifa
 
Hizo nchi hawana akili hadi wanasababishiwa machafuko na wengine? Russia ni adui wa westerners, China ni adui wa westerners Ila mbona wao hawasababishiwi hayo machafuko? Au ndio unasema waarabu akili hawana?
Russia na China umeona Kuna mfumo wa vyama vingi kwenye Urais. Wanatumia hizo njia
 
Hiki kifungu akina Faidha Foxy wamekikariri sana.

Unajiuliza huyo Allah ni nani , je ni MUNGU au mungu!?.

Upendo uko wapi hapo!?

Mbona anaeneza chuki dhidi ya wengine!? hasa mayahudi na manaswara!?

Inatafakarisha sana!
 
Kule myanmar mbona hamkuungana ili muwaumize baada ya kuwaua waislamu wengi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…