Zanzibar ni nchi huru au ni sehemu ya Tanzania?

Hiyo Katiba ianze kufuatwa na hao walioiandika . Chaguzi zote zinafanywa kwa kuzivunja katiba na kanuni Za uchaguzi. Tuanzie hapo kwanza
Kwa hiyo mnataka Rais wa Zanzibar asiye kibaraka awe wa namna gani atakayeivunja Katiba?.
 
Mimi siongei na watoto , maswali hayo kawaulize watoto wenzako
Kumbe huwezi kumruhusu mtu mwingine alale na mkeo vivyo hivyo serikali ya ccm haiwezi kumuweka mtu mwenye fikra na mtazamo kama wako lazima wamuweke mtu wao.
 
Kumbe huwezi kumruhusu mtu mwingine alale na mkeo vivyo hivyo serikali ya ccm haiwezi kumuweka mtu mwenye fikra na mtazamo kama wako lazima wamuweke mtu wao.
Sawaaa, saasaaaaa kalale
 
Sawaaa, saasaaaaa kalale
Kama una uwezo fanya wewe ambavyo unataka kiongozi wa Zanzinzibar asiyeburuzwa na ndiyo maana nimekwambia hivi hata angetawala Malaika Zanzinzibar lazima angetii Katiba maana Zanzinzibar ni sehemu ya muungano kinyume na hapo ukubali kupotezwa wewe jambo ambalo ni vigumu kulikubali.
 
Sawa vizuri kalale
 
Ndugu yangu angalia usije kufa kwa ugonjwa wa moyo, huu Muungano hakuna wa kuuvunja hayupo hajazaliwa na hatozaliwa wee umia vumilia mpaka mwisho wa dahari.
 
Mkuu sijui mm nilikuwa wapi sijaona bandiko lako huwa nikiona koment yako mahali popote Happ jf nafurahi mno na Kisha natulia kukufatiliza wew unasemaje au unamuelekeo gani hvyo nakuaminigi Sana chochote usemacho ,wee Ni member mmoja wapo nakukubali Sana Sana na sijui kwanin ??nitatatafuta siku moja nikione live live mnk navutiwa Sana na wew. Hapa ktk jamvi


Embu ona elimu uliyoshusha Happ jamvini kwa koment yako mmoja tu na nzito na kumfunika Hadi mleta mada


We w nadhani ccm ccm wakutumie vzr kwenye ishu hi ya muungano Kuna kitu ,vitu unavijuwa kwa uelewa mpana Sana

Happ awali nilidhani muungano ni muhimu kwetu cc kumbee unatunyonya cc watanganyika Ni kheri kubakia na jina bovu la tanganyika kuliko upuuzi huu wa Sasa HV

Ubarikiwe Sana mkuu kwa elimu ya bure uliyo nipa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Anapatikana mtaa wa Tandamti na Congo Kariakoo location namba nitafute.
 
Wanzanzibar pamoja na uchache wao wanajitambua kuliko sisi Watangsnyika. Kwa kiasi kikubwa wametuonyesha njia ya kuboresha Muungano wetu kupitia Mabadiliko ya kumi ya Katiba ya Zanzibar yaliyofanyika mwaka 2010. Kwa sasa Katiba hiyo inatambua kuwa Zanzibar ni Nchi, Rais wa Wanzibar ana madaraka ya kugawa Mikoa na Wilaya, inatambua uwepo wa Mnzanzibar, nk.

Ibara ya 80 ya Katiba hiyo inazuia chombo chochote kujadili au kurekebisha sehemu ya kwanza ya sura ya kwanza ya Katiba hiyo, ambayo ndio iliyobeba niliyoyaandika hapo juu, hadi kufanyike kura ya maoni itakayowahusisha Wanzanzibar wote wenye haki ya kushiriki
 
Na sasa hivi wameanza kufukuzwa watanganyika taratiibu kwa kisingizio cha umalaya na omba omba
Kwani wewe hulioni SASA hivi nijambo la kawaida kukuta majiani mapaka Wenda wazimu toka Tanganyika wanazurura katika Mitaa na viunga vya miji ya Zanzibar mpka washangaa kabisa hao omba omba ndio USISEME hao Malaya ndio Mtihani wauza njugu balaa hivi Tanganyika hakuna sehemu za kuuza njugu? Au korosho mpaka mujazane kwetu??
 
Ndugu yangu angalia usije kufa kwa ugonjwa wa moyo, huu Muungano hakuna wa kuuvunja hayupo hajazaliwa na hatozaliwa wee umia vumilia mpaka mwisho wa dahari.
Hakuna aliyefikiria Karume kuondoka kiulaini au Magufuli na hata Baba yenu Nyerere aliyedai kuishi miaka mingi.
Ilivunjika Soviet union yenye Nuclear itakuwa Uvamizi huu uliobaki wa akina Makamba na genge lake ??
 
Kwenye ..kuwa mkoa.. naomba ushikirie hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…