Zanzibar ni nchi huru au ni sehemu ya Tanzania?

Ni sehemu ya Tanzania Bali ni autonomy region
 

Concern yangu hapa ni kuwa bado Watanganyika tunabanwa sana kwenye hili la ajira, while sisi tunaruhusiwa kufanya kazi kule kwenye mambo yanayohusu muungano tu wao wanaruhusiwa kwenye kila kona na siku hizi naona kwenye kila ajira za bara wao wanapewa asilimia 21.

Sio kuwa napinga ulichoeleza
 
Mkuu umetoa somo murua kabisa
 
Muungano una nchi moja tu, ambayo ni Zanzibar.

Watanganyika hawaitaki nchi yao!

Kinachofanyika sasa ni nchi isiyotambulika kuikalia kimabavu na kuidumaza Zanzibar!!
Zanzibar imedumazwa katika eneo lipi?
 
Kuwa na bendera sio ishu maana hata Jimbo la Texas marekani inabendera yake but yet bendera ya USA ni yake pia. ......mtazamo tu
 
Nimekuelewa sana mkuuu maana umetoa ufafanuzi wa hali ya juuu.
 

Tatizo nchi yenu mmeiyeyusha hamuitaki mnaukumbatia u Tanzania ambao mna share Na Zanzibar . Mnapokuja Zanzibar mnakuja kwenye nchi ambayo nyinyi Kama wa Tanzania haiwahusu. Isipokuwa mambo ya muungano ya kitanzania

 
Zanzibar siyo dola huru kwa sababu:

Haina kiti UN na haitambuliki Kimataifa kama dola yaani state. Vigezo vingine vya kuwa dola vipo ila kimojawapo pekee cha uhuru wa Kimataifa yaani external sovereignty haina.
 
Wakati mwingine huwa unachemka sana Pascal Mayalla .
Muungano wa Union ndiyo nini ?!.

Muungano wetu ni utapeli wa wanasiasa hasa walioko madarakani . Nothing more
Kuna miungano ya aina mbili,
Union na Federation.
Union ni nchi mbili zinaungana na kuunda nchi moja mpya. Zile nchi zote mbili zinapoteza utaifa wake, soverenity, na kuukabidhi kwa nchi mpya. Hivyo Muungano wetu ni Union. Jamhuri ya Tanganyika na Peoples Republic of Zanzibar, ile April 1964 ziliungana kwa Union na kuunda taifa jipya la Tanzania. Tanganyika ikapoteza utaifa wake wote, ikaukabidhi kwa Tanzania. Zanzibar nayo ikapoteza utaifa wake wa Kimataifa na kuukabidhi Tanzania, hivyo kukawa hakuna tena nchi au Taifa la Tanganyika wala Zanzibar, kilichopo ni JMT.

Japo Muungano wetu Kimataifa ni Muungano wa Union nchi mbili kuungana na kugeuka nchi moja, ya JMT yenye rais mmoja, rais wa JMT, yenye serikali moja, serikali ya JMT inayotambulika kimataifa, ikiwemo UN. Lakini kitaifa, Muungano wetu ni Federation ya nchi mbili, zenye marais wawili, serikali mbili zinazojitegemea.

Hivyo Muungano wetu ni unique, ni Muungano wa Union kwa upande mmoja, at the same time ni Muungano wa Federation kwa upande mwingine.
P
 
Nyinyi mnaouwa watu mnaupa sida Uislamu ?
Hapa Duniani kuna watu wanauana wenyewe kwa wenyewe kama waislamu?

Yemen, Iraq, Libya, Sudan, Taliban, Syria nk wote hao ni mashehk, sasa mkiongeza na hayo mambo yenu itakuwaje?
 
Hapa Duniani kuna watu wanauana wenyewe kwa wenyewe kama waislamu?

Yemen, Iraq, Libya, Sudan, Taliban, Syria nk wote hao ni mashehk, sasa mkiongeza na hayo mambo yenu itakuwaje?
Mbona hujibu swali ?

Mnapotuuwa mnaupa sifa Uislamu ?
 
Baada ya nchi ya Zanzibar ambayo inajulikana na kila mtu kwa kuwa ina serekali yake inayoongozwa na Rais wake ndugu HUSSEIN MWINYI nchi ya pili ni nchi gani na Rais wake ni nani?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…