Zanzibar ni nchi huru au ni sehemu ya Tanzania?

Zanzibar ni nchi huru au ni sehemu ya Tanzania?

Hoja ya kutokuwa na kiti UN au kutotambulika ni hoja mufilisi kabisa na zimekaa kisiasa.
Vigezo vikuu vya dola ni hivi ambavyo Zanzibar imekidhi:
1. Government
2. Population
3. Territory
4. Sovereignty (Both Internal and External Sovereignty)
Mkuu MALCOM LUMUMBA , kwanza asante for this.
Sifa za nchi ni hizi
1. People- Watu wanaotambulika Kimataifa. Japo Zanzibar inao watu waitwao Wazanzibari, watu hawa hawatambuliki Kimataifa, Kimataifa hakuna mtu anayeitwa Mzanzibari, aliyepo ni Mtanzania tuu, Wazanzibari hawana passport hivyo hawana utambulisho wa Kimataifa.
2. Land. A defined area with international recognized boundaries. Zanzibar ina land, teritory, lakini haina international boundaries. Mipaka ya Kimataifa ni ya Tanzania tuu.
3. Government. A institution that works on creating and enforcing laws using state organs. Zanzibar ins serikali yake, SMZ, lakini haina vyombo vya dola, Jeshi, polisi, na Usalama, hivyo Zanzibar ni nchi kwa maana ya eneo lakini sio dola kwasababu haina vyombo vya dola!. Vyombo vya dola viko chini ya Amir Jeshi Mkuu ambaye ni mmoja tuu, rais wa JMT. Katiba ya JMT inaitambua Tanzania kama ni nchi moja ya JMT na Zanzibar ni sehemu ya JMT. Lakini katika kujifariji kwa kujidanganya, marekebisho ya katiba ya Zanzibar ya 2010 yaliyoanzisha GNU, yakaitambulisha Zanzibar kama ni nchi, ni moja ya nchi mbili zinazounda JMT. Ikaitaja mipaka ya nchi ya Zanzibar. Ikamtaja rais wa Zanzibar kama Amir Jeshi wa JKU, KMKM na vikosi vya SMZ. Kwenye set up ya Muungano, JKU, KMKM na Vikosi vya SMZ sio vyombo vya dola, hivi ni para military, yaani Jeshi Usu, ni migambo tuu kama Auxlary Police, askari wa Tanapa, Ultmate securiy au Group 4. Hivyo Zanzibar haina vyombo vya dola, ila ina mahakama yake inayohudumiwa na polisi wa JMT.
4. Sovereignty. The right to rule give by other nations, Zanzibar haina sovereignty. Sovereignty ni moja tuu, ila leo ndio na mimi nimejifunza humu kumbe kuna sovereignty 2, yaani internal na external sovereignty. Ni kweli Zanzibar ina mamlaka yake ya ndani, lakini sovereignty tunamaanisha sovereignty ya kimataifa. Kwa taarifa tuu, hata hoja ya sovereignty ya ndani, Zanzibar haina!. Mnakikumbuka kisa cha Abdu Jumbe?. Baadhi ya maamuzi muhimu ya mustakabali wa Zanzibar yanafanyika Dodoma. The intenal sovereignty ya Zanzibar mwisho Chumbe. Unaweza usiamini hata mabadiliko ya katiba ya Zanzibar, hayatambuliki na Katiba ya JMT!.
5.International recognition- Zanzibar haina international recognition, haitambuliki UN, ila kwenye baadhi ya nchi za Kiislamu na Kiarabu, Zanzibar inatambulika, na kwavile 98% ya Wanzibari ni Muslims, Zanzibar ilijiunga na OIC kama Zanzibar, lakini kwa vile Kimataifa hakuna Zanzibar, zilipigwa kelele hadi Zanzibar kulazimishwa kujitoa OIC kwa kudanganyiwa pipi, kuwa ijitoe halafu Tanzania itajiunga OIC, na baada ya Zanzibar kujitoa, hadithi ikaishia hapo!. Mpaka leo, mpaka kesho, Zanzibar haiwezi kukopa na kuingia mikataba ya Kimataifa bila udhamini wa JMT!.
6. Sarafu: Zanzibar haina sarafu yake, sarafu ni ya JMT.

Hivyo Zanzibar ni nchi jina tuu but in reality, Zanzibar sio nchi, bali ni sehemu ya JMT. Nchi ni Tanzania.
P
 
Zanzibar siyo nchi (Country), bali ni dola(State) inayounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Huu muungano uliwekwa kimkataba na hati idhini (Union Charter/Articles of the Union). Hivyo Zanzibar ilipunguza sehemu ya uhuru wake kujiwala (National Sovereignty) kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Zanzibar kwanza ni taifa, a nation (a large group of people who inhabit a specific territory and are connected by history, culture, or another commonality). Wanzanzibari wana historia, wana utamaduni. Wazanzibari popote walipo duniani wanajitambua kama Wazanzibari na wanatambulika kama Wazanzibari. Asili ya Wazanzibari haipotei. Zanzibar ilivamiwa na Nyerere na jeshi lake ikapoteza uhuru. Siyo kupungua, ilipoteza kabisa. Lakini kutokana kuwa Zanzibar ni taifa, lazima kuna siku uhuru utarudi.

Tanganyika haikuwa taifa, ilikuwa ni mkusanyiko wa makabila uliowekwa pamoja na serikali ya Uingereza wakaita Tanganyika. Tanganyika ilikuwa haina historia, haina utamaduni wake. Ni nchi bandia (artificial country). Nyerere alilijua hili na ndiyo maana kwake ilikuwa rahisi kuiua Tanganyika, kuvamia Zanzibar na kuunda nchi mpya aliyoita Tanzania ambayo nayo ni batili (artificial country). Nchi ya kweli ambayo ilipoteza uhuru wake ni Zanzibar pekee kwa sababu Zanzibar ni taifa kwanza.
 
Zanzibar kwanza ni taifa, a nation (a large group of people who inhabit a specific territory and are connected by history, culture, or another commonality). Wanzanzibari wana historia, wana utamaduni. Wazanzibari popote walipo duniani wanajitambua kama Wazanzibari na wanatambulika kama Wazanzibari. Asili ya Wazanzibari haipotei. Zanzibar ilivamiwa na Nyerere na jeshi lake ikapoteza uhuru. Siyo kupungua, ilipoteza kabisa. Lakini kutokana kuwa Zanzibar ni taifa, lazima kuna siku uhuru utarudi.

Tanganyika haikuwa taifa, ilikuwa ni mkusanyiko wa makabila uliowekwa pamoja na serikali ya Uingereza wakaita Tanganyika. Tanganyika ilikuwa haina historia, haina utamaduni wake. Ni nchi bandia (artificial country). Nyerere alilijua hili na ndiyo maana kwake ilikuwa rahisi kuiua Tanganyika, kuvamia Zanzibar na kuunda nchi mpya aliyoita Tanzania ambayo nayo ni batili (artificial country). Nchi ya kweli ambayo ilipoteza uhuru wake ni Zanzibar pekee kwa sababu Zanzibar ni taifa kwanza.
Ongea yote lakini Karume aliingizwa mkenge na Nyerere mtoto wa mjini akagawa nchi kupitia Hati Idhini ya Muungano (Articles of the Union). Zanzibar siyo nchi bali dola, nchi Tanzania. Hutaki unaacha, lakini ukweli ndiyo huo. Nchi kama Scotland na Ireland zilivamiwa na Uingereza na mpaka leo hii, zimebakia kuwa madola yanayounda Umoja wa Nchi za Kifalme (The United Kingdom), sembuse Zanzibar ??

Hata Waskoti na Waairishi wakienda duniani hujitambulisha kama Waskoti na Waairishi, lakini ukweli mchungu ni kwamba nchi ni Umoja wa Nchi za Kifalme (The United Kingdom). Wako na tamaduni zao za kuvaa magauni, lakini ukweli ni kwamba Scotland na Northern Ireland siyo nchi bali ni madola yanayounda The United Kingdom. Huu ndiyo ukweli, kama hutaki unaacha.

Halafu unavyozungumzia Tanganyika, yenye wabantu asilimia 80% ambao wamefanana kivinasaba, kilugha na kitamaduni kama Artificial State ukidhani ni hoja ya msingi, napata shida sana na uelewa wako. Duniani mataifa Artificial yako mangapi lakini bado maisha yanaenda ??? Marekani ni Artificial State, lakini sidhani kama kuna kitu ambacho ninyi Wazanzibari mmewapita, kama kipo niambie hapa.

Kuhusu Zanzibari kujitoa kwenye Muungano: Binafsi nasema hata leo usiku wakitaka watoke tu. Mbali na Zanzibar kuwa A Maritime-Security Buffer Zone (A Mere Appendage) to Tanganyika's Territory, sioni umuhimu mwingine. Kama upo nitajie. Ilivyokuwa Zanzibar kwa Tanganyika kipindi chote cha vita baridi, ni sawa na ilivyokuwa Poland kwa Urusi kipindi chote cha vita baridi: A Mere Appendage.
 
Kwa kweli Swala la mkopo haswa juzi Zanzibar kuchukua asilimia 37 yamkopo wa bilion 704 eti zanzibar wakachukua bilion 207,yaan mpaka leo sija elewa kabisa huyu Mama anataka kuifanya Tanganyika shamba la bibi au bunge halioni watu wanogopa ku question wakitaka kupewa vyeo.. hii si sawa kabisa.
 
Mkuu MALCOM LUMUMBA , kwanza asante for this.
Sifa za nchi ni hizi
1. People- Watu wanaotambulika Kimataifa. Japo Zanzibar inao watu waitwao Wazanzibari, watu hawa hawatambuliki Kimataifa, Kimataifa hakuna mtu anayeitwa Mzanzibari, aliyepo ni Mtanzania tuu, Wazanzibari hawana passport hivyo hawana utambulisho wa Kimataifa.
2. Land. A defined area with international recognized boundaries. Zanzibar ina land, teritory, lakini haina international boundaries. Mipaka ya Kimataifa ni ya Tanzania tuu.
3. Government. A institution that works on creating and enforcing laws using state organs. Zanzibar ins serikali yake, SMZ, lakini haina vyombo vya dola, Jeshi, polisi, na Usalama, hivyo Zanzibar ni nchi kwa maana ya eneo lakini sio dola kwasababu haina vyombo vya dola!. Vyombo vya dola viko chini ya Amir Jeshi Mkuu ambaye ni mmoja tuu, rais wa JMT. Katiba ya JMT inaitambua Tanzania kama ni nchi moja ya JMT na Zanzibar ni sehemu ya JMT. Lakini katika kujifariji kwa kujidanganya, marekebisho ya katiba ya Zanzibar ya 2010 yaliyoanzisha GNU, yakaitambulisha Zanzibar kama ni nchi, ni moja ya nchi mbili zinazounda JMT. Ikaitaja mipaka ya nchi ya Zanzibar. Ikamtaja rais wa Zanzibar kama Amir Jeshi wa JKU, KMKM na vikosi vya SMZ. Kwenye set up ya Muungano, JKU, KMKM na Vikosi vya SMZ sio vyombo vya dola, hivi ni para military, yaani Jeshi Usu, ni migambo tuu kama Auxlary Police, askari wa Tanapa, Ultmate securiy au Group 4. Hivyo Zanzibar haina vyombo vya dola, ila ina mahakama yake inayohudumiwa na polisi wa JMT.
4. Sovereignty. The right to rule give by other nations, Zanzibar haina sovereignty. Sovereignty ni moja tuu, ila leo ndio na mimi nimejifunza humu kumbe kuna sovereignty 2, yaani internal na external sovereignty. Ni kweli Zanzibar ina mamlaka yake ya ndani, lakini sovereignty tunamaanisha sovereignty ya kimataifa. Kwa taarifa tuu, hata hoja ya sovereignty ya ndani, Zanzibar haina!. Mnakikumbuka kisa cha Abdu Jumbe?. Baadhi ya maamuzi muhimu ya mustakabali wa Zanzibar yanafanyika Dodoma. The intenal sovereignty ya Zanzibar mwisho Chumbe. Unaweza usiamini hata mabadiliko ya katiba ya Zanzibar, hayatambuliki na Katiba ya JMT!.
5.International recognition- Zanzibar haina international recognition, haitambuliki UN, ila kwenye baadhi ya nchi za Kiislamu na Kiarabu, Zanzibar inatambulika, na kwavile 98% ya Wanzibari ni Muslims, Zanzibar ilijiunga na OIC kama Zanzibar, lakini kwa vile Kimataifa hakuna Zanzibar, zilipigwa kelele hadi Zanzibar kulazimishwa kujitoa OIC kwa kudanganyiwa pipi, kuwa ijitoe halafu Tanzania itajiunga OIC, na baada ya Zanzibar kujitoa, hadithi ikaishia hapo!. Mpaka leo, mpaka kesho, Zanzibar haiwezi kukopa na kuingia mikataba ya Kimataifa bila udhamini wa JMT!.
6. Sarafu: Zanzibar haina sarafu yake, sarafu ni ya JMT.

Hivyo Zanzibar ni nchi jina tuu but in reality, Zanzibar sio nchi, bali ni sehemu ya JMT. Nchi ni Tanzania.
P
Tanganyika iko wapi hapo?...au ndio hiyo Tanzania?
 
Internal sovereignty ipo nusu maana Zanzibar inaweza kusimamia sheria zake ila kwa upande mwingine haiwezi kusimamia usalama wake.

External sovereignty haina kwa sababu haiwezi kujihusisha naa masuala ya Kimataifa na pia haitambuliki kama dola na Taifa huru
Uchina ya kikomunisti (Peoples Republic of China) haikuwa na kiti Umoja wa Mataifa na haikutambuliwa na mataifa ya magharibi hadi mwaka 1979. Unataka kuniambia kwamba Uchina haikuwa dola ???

Kuhusu kusimamia usalama wake: Nchi kama Vatican na Andorra zinasimamiaje Usalama wake ilhali hazina hata majeshi ???
 
Mkuu MALCOM LUMUMBA , kwanza asante for this.
Sifa za nchi ni hizi
1. People- Watu wanaotambulika Kimataifa. Japo Zanzibar inao watu waitwao Wazanzibari, watu hawa hawatambuliki Kimataifa, Kimataifa hakuna mtu anayeitwa Mzanzibari, aliyepo ni Mtanzania tuu, Wazanzibari hawana passport hivyo hawana utambulisho wa Kimataifa.
2. Land. A defined area with international recognized boundaries. Zanzibar ina land, teritory, lakini haina international boundaries. Mipaka ya Kimataifa ni ya Tanzania tuu.
3. Government. A institution that works on creating and enforcing laws using state organs. Zanzibar ins serikali yake, SMZ, lakini haina vyombo vya dola, Jeshi, polisi, na Usalama, hivyo Zanzibar ni nchi kwa maana ya eneo lakini sio dola kwasababu haina vyombo vya dola!. Vyombo vya dola viko chini ya Amir Jeshi Mkuu ambaye ni mmoja tuu, rais wa JMT. Katiba ya JMT inaitambua Tanzania kama ni nchi moja ya JMT na Zanzibar ni sehemu ya JMT. Lakini katika kujifariji kwa kujidanganya, marekebisho ya katiba ya Zanzibar ya 2010 yaliyoanzisha GNU, yakaitambulisha Zanzibar kama ni nchi, ni moja ya nchi mbili zinazounda JMT. Ikaitaja mipaka ya nchi ya Zanzibar. Ikamtaja rais wa Zanzibar kama Amir Jeshi wa JKU, KMKM na vikosi vya SMZ. Kwenye set up ya Muungano, JKU, KMKM na Vikosi vya SMZ sio vyombo vya dola, hivi ni para military, yaani Jeshi Usu, ni migambo tuu kama Auxlary Police, askari wa Tanapa, Ultmate securiy au Group 4. Hivyo Zanzibar haina vyombo vya dola, ila ina mahakama yake inayohudumiwa na polisi wa JMT.
4. Sovereignty. The right to rule give by other nations, Zanzibar haina sovereignty. Sovereignty ni moja tuu, ila leo ndio na mimi nimejifunza humu kumbe kuna sovereignty 2, yaani internal na external sovereignty. Ni kweli Zanzibar ina mamlaka yake ya ndani, lakini sovereignty tunamaanisha sovereignty ya kimataifa. Kwa taarifa tuu, hata hoja ya sovereignty ya ndani, Zanzibar haina!. Mnakikumbuka kisa cha Abdu Jumbe?. Baadhi ya maamuzi muhimu ya mustakabali wa Zanzibar yanafanyika Dodoma. The intenal sovereignty ya Zanzibar mwisho Chumbe. Unaweza usiamini hata mabadiliko ya katiba ya Zanzibar, hayatambuliki na Katiba ya JMT!.
5.International recognition- Zanzibar haina international recognition, haitambuliki UN, ila kwenye baadhi ya nchi za Kiislamu na Kiarabu, Zanzibar inatambulika, na kwavile 98% ya Wanzibari ni Muslims, Zanzibar ilijiunga na OIC kama Zanzibar, lakini kwa vile Kimataifa hakuna Zanzibar, zilipigwa kelele hadi Zanzibar kulazimishwa kujitoa OIC kwa kudanganyiwa pipi, kuwa ijitoe halafu Tanzania itajiunga OIC, na baada ya Zanzibar kujitoa, hadithi ikaishia hapo!. Mpaka leo, mpaka kesho, Zanzibar haiwezi kukopa na kuingia mikataba ya Kimataifa bila udhamini wa JMT!.
6. Sarafu: Zanzibar haina sarafu yake, sarafu ni ya JMT.

Hivyo Zanzibar ni nchi jina tuu but in reality, Zanzibar sio nchi, bali ni sehemu ya JMT. Nchi ni Tanzania.
P
Mbona kama ni sehemu ya JMT..mbona wabaguzi sana kwa watanzania wenzao..hata ardhi wahataki watanzania wenzao wamiliki...je hawa ni wenzetu kweli?

#MaendeleoHayanaChama
 
Tanganyika iko wapi hapo?...au ndio hiyo Tanzania?
Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, zote mbili zilikufa ile April 26, 1964 kwa kupoteta sovereignty zake, na kuzikabidhi kwa Taifa jipya la Tanzania. Tanganyika ikalifuta hadi jina na kugeuka Tanzania Bara. Zanzibar ili maintain jina lake.
P
 
Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, zote mbili zilikufa ile April 26, 1964 kwa kupoteta sovereignty zake, na kuzikabidhi kwa Taifa jipya la Tanzania. Tanganyika ikalifuta hadi jina na kugeuka Tanzania Bara. Zanzibar ili maintain jina lake.
P
Mbona Zanzibar ina Rais na serikali huku Tanganyika ikikosa vyote hivyo?......huku si kuwanyima haki raia wa Tanganyika?
 
Mkuu MALCOM LUMUMBA , kwanza asante for this.
Sifa za nchi ni hizi
1. People- Watu wanaotambulika Kimataifa. Japo Zanzibar inao watu waitwao Wazanzibari, watu hawa hawatambuliki Kimataifa, Kimataifa hakuna mtu anayeitwa Mzanzibari, aliyepo ni Mtanzania tuu, Wazanzibari hawana passport hivyo hawana utambulisho wa Kimataifa.
2. Land. A defined area with international recognized boundaries. Zanzibar ina land, teritory, lakini haina international boundaries. Mipaka ya Kimataifa ni ya Tanzania tuu.
3. Government. A institution that works on creating and enforcing laws using state organs. Zanzibar ins serikali yake, SMZ, lakini haina vyombo vya dola, Jeshi, polisi, na Usalama, hivyo Zanzibar ni nchi kwa maana ya eneo lakini sio dola kwasababu haina vyombo vya dola!. Vyombo vya dola viko chini ya Amir Jeshi Mkuu ambaye ni mmoja tuu, rais wa JMT. Katiba ya JMT inaitambua Tanzania kama ni nchi moja ya JMT na Zanzibar ni sehemu ya JMT. Lakini katika kujifariji kwa kujidanganya, marekebisho ya katiba ya Zanzibar ya 2010 yaliyoanzisha GNU, yakaitambulisha Zanzibar kama ni nchi, ni moja ya nchi mbili zinazounda JMT. Ikaitaja mipaka ya nchi ya Zanzibar. Ikamtaja rais wa Zanzibar kama Amir Jeshi wa JKU, KMKM na vikosi vya SMZ. Kwenye set up ya Muungano, JKU, KMKM na Vikosi vya SMZ sio vyombo vya dola, hivi ni para military, yaani Jeshi Usu, ni migambo tuu kama Auxlary Police, askari wa Tanapa, Ultmate securiy au Group 4. Hivyo Zanzibar haina vyombo vya dola, ila ina mahakama yake inayohudumiwa na polisi wa JMT.
4. Sovereignty. The right to rule give by other nations, Zanzibar haina sovereignty. Sovereignty ni moja tuu, ila leo ndio na mimi nimejifunza humu kumbe kuna sovereignty 2, yaani internal na external sovereignty. Ni kweli Zanzibar ina mamlaka yake ya ndani, lakini sovereignty tunamaanisha sovereignty ya kimataifa. Kwa taarifa tuu, hata hoja ya sovereignty ya ndani, Zanzibar haina!. Mnakikumbuka kisa cha Abdu Jumbe?. Baadhi ya maamuzi muhimu ya mustakabali wa Zanzibar yanafanyika Dodoma. The intenal sovereignty ya Zanzibar mwisho Chumbe. Unaweza usiamini hata mabadiliko ya katiba ya Zanzibar, hayatambuliki na Katiba ya JMT!.
5.International recognition- Zanzibar haina international recognition, haitambuliki UN, ila kwenye baadhi ya nchi za Kiislamu na Kiarabu, Zanzibar inatambulika, na kwavile 98% ya Wanzibari ni Muslims, Zanzibar ilijiunga na OIC kama Zanzibar, lakini kwa vile Kimataifa hakuna Zanzibar, zilipigwa kelele hadi Zanzibar kulazimishwa kujitoa OIC kwa kudanganyiwa pipi, kuwa ijitoe halafu Tanzania itajiunga OIC, na baada ya Zanzibar kujitoa, hadithi ikaishia hapo!. Mpaka leo, mpaka kesho, Zanzibar haiwezi kukopa na kuingia mikataba ya Kimataifa bila udhamini wa JMT!.
6. Sarafu: Zanzibar haina sarafu yake, sarafu ni ya JMT.

Hivyo Zanzibar ni nchi jina tuu but in reality, Zanzibar sio nchi, bali ni sehemu ya JMT. Nchi ni Tanzania.
P
Very complicated indeed! Huwa najiuliza tutabaki hapo kwenye huo mtego mpaka lini? Dawa sahihi ya hili jambo ni kukubali tu kuunganisha kiuhalisia kuwe na nchi moja tuuu. Zanzibar iwe Mkoa. Kinyume chake ni kuunda serikali tatu, which is a waste of resources!
 
Mbona kama ni sehemu ya JMT..mbona wabaguzi sana kwa watanzania wenzao..hata ardhi wahataki watanzania wenzao wamiliki...je hawa ni wenzetu kweli?

#MaendeleoHayanaChama
Kwenye Muungano wetu, kuna mmoja ni the majority, Tanganyika, ana eneo kubwa, na mwingine ni minority, Zanzibar ana eneo kiduchu, hivyo ardhi ya JMT ndio ardhi ya wote, lakini ardhi ya Zanzibar sio ardhi ya Muungano, ni kwa ajili ya Wazanzibari only. Ingekuwa free wabara kumiliki ardhi Zanzibar, visiwa vile vingezama!.
P
 
Zanzibar kwanza ni taifa, a nation (a large group of people who inhabit a specific territory and are connected by history, culture, or another commonality). Wanzanzibari wana historia, wana utamaduni. Wazanzibari popote walipo duniani wanajitambua kama Wazanzibari na wanatambulika kama Wazanzibari. Asili ya Wazanzibari haipotei. Zanzibar ilivamiwa na Nyerere na jeshi lake ikapoteza uhuru. Siyo kupungua, ilipoteza kabisa. Lakini kutokana kuwa Zanzibar ni taifa, lazima kuna siku uhuru utarudi.

Tanganyika haikuwa taifa, ilikuwa ni mkusanyiko wa makabila uliowekwa pamoja na serikali ya Uingereza wakaita Tanganyika. Tanganyika ilikuwa haina historia, haina utamaduni wake. Ni nchi bandia (artificial country). Nyerere alilijua hili na ndiyo maana kwake ilikuwa rahisi kuiua Tanganyika, kuvamia Zanzibar na kuunda nchi mpya aliyoita Tanzania ambayo nayo ni batili (artificial country). Nchi ya kweli ambayo ilipoteza uhuru wake ni Zanzibar pekee kwa sababu Zanzibar ni taifa kwanza.
Kujenga hoja kunahitaji uangalifu zaidi
 
Mbona Zanzibar ina Rais na serikali huku Tanganyika ikikosa vyote hivyo?......huku si kuwanyima haki raia wa Tanganyika?
No sio kuwanyima haki, bali ni Tanganyika ndio tumefaidika zaidi, kabla ya Muungano, Tanganyika ilikuwa ni eneo la Tanganyika tuu, baada ya Muungano, Tanganyika ikabadili jina kuwa Tanzania na sasa eneo lote la JMT ni letu Zanzibar inclusive!. Serikali ya JMT ndani yake ndio kuna serikali ya Tanzania Bara kwa mambo ambayo sio ya Muungano.
P
 
Kwenye Muungano wetu, kuna mmoja ni the majority, Tanganyika, ana eneo kubwa, na mwingine ni minority, Zanzibar ana eneo kiduchu, hivyo ardhi ya JMT ndio ardhi ya wote, lakini ardhi ya Zanzibar sio ardhi ya Muungano, ni kwa ajili ya Wazanzibari only. Ingekuwa free wabara kumiliki ardhi Zanzibar, visiwa vile vingezama!.
P
Hahaaaa..hii hoja haiko sawa kabisa..cha msingi SMZ iuliwe haina mana uwepo wake..kama zote Tanganyika na Zanzi ziliamua kuuunda Tanzania why kuwepo serikali ya smz..ambayo kila uchwao inaonyesha dalili ya kujifanya taifa huru.?

Suala la ardhi hoja ya kuwa visiwa ni vidogo sidhani kama inamashiko mana hii ni nchi moja na katiba inaruhusu mtu yoyote kuishi mahali popote ndani ya JMT huoni zenj ni wabinafsi.

Sambamba na hilo..hivi SMZ inachangia kiasi gani kwenye pato la the so called JMT.?

#MaendeleoHayanaChama
 
Ongea yote lakini Karume aliingizwa mkenge na Nyerere mtoto wa mjini akagawa nchi kupitia Hati Idhini ya Muungano (Articles of the Union). Zanzibar siyo nchi bali dola, nchi Tanzania. Hutaki unaacha, lakini ukweli ndiyo huo. Nchi kama Scotland na Ireland zilivamiwa na Uingereza na mpaka leo hii, zimebakia kuwa madola yanayounda Umoja wa Nchi za Kifalme (The United Kingdom), sembuse Zanzibar ??

Hata Waskoti na Waairishi wakienda duniani hujitambulisha kama Waskoti na Waairishi, lakini ukweli mchungu ni kwamba nchi ni Umoja wa Nchi za Kifalme (The United Kingdom). Wako na tamaduni zao za kuvaa magauni, lakini ukweli ni kwamba Scotland na Northern Ireland siyo nchi bali ni madola yanayounda The United Kingdom. Huu ndiyo ukweli, kama hutaki unaacha.

Halafu unavyozungumzia Tanganyika, yenye wabantu asilimia 80% ambao wamefanana kivinasaba, kilugha na kitamaduni kama Artificial State ukidhani ni hoja ya msingi, napata shida sana na uelewa wako. Duniani mataifa Artificial yako mangapi lakini bado maisha yanaenda ??? Marekani ni Artificial State, lakini sidhani kama kuna kitu ambacho ninyi Wazanzibari mmewapita, kama kipo niambie hapa.

Kuhusu Zanzibari kujitoa kwenye Muungano: Binafsi nasema hata leo usiku wakitaka watoke tu. Mbali na Zanzibar kuwa A Maritime-Security Buffer Zone (A Mere Appendage) to Tanganyika's Territory, sioni umuhimu mwingine. Kama upo nitajie. Ilivyokuwa Zanzibar kwa Tanganyika kipindi chote cha vita baridi, ni sawa na ilivyokuwa Poland kwa Urusi kipindi chote cha vita baridi: A Mere Appendage.
Pia kuna namna fulani Marekani ilihusika kwenye kumlazimisha Karume kuukubali muungano, kama kumbukumbu zangu zitakuwa sahihi wakati huo Raisi wa marekani alikuwa Kennedy na walikuwa na maelewano na Nyerere kisiasa.
 
Very complicated indeed! Huwa najiuliza tutabaki hapo kwenye huo mtego mpaka lini? Dawa sahihi ya hili jambo ni kukubali tu kuunganisha kiuhalisia kuwe na nchi moja tuuu. Zanzibar iwe Mkoa. Kinyume chake ni kuunda serikali tatu, which is a waste of resources!
There you are!, hata tulipounganisha vyama vya TANU na ASP, tuliendelea na serikali mbili kuelekea serikali moja.
P
 
Back
Top Bottom