MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Naam, siku hawa wakubwa wakiamua kufukua makaburi panaweza pasikalike hapa.Pia kuna namna fulani Marekani ilihusika kwenye kumlazimisha Karume kuukubali muungano, kama kumbukumbu zangu zitakuwa sahihi wakati huo Raisi wa marekani alikuwa Kennedy na walikuwa na maelewano na Nyerere kisiasa.
Zanzibar haichangii hata ndururu kwenye Muungano.
PKama kweli nia ya dhati ni kuimarisha Muungano, then "Twende kwenye Serikali Moja!"
Wanabodi, Wakati mchakato wa Bunge la Katiba unaendelea, kumezidi kuibuka mijadala mikali, kuhusu serikali 3 zilizopendekezwa na Tume ya Warioba au kushikilia serikali mbili ambayo ndio sera ya chama tawala, Chama cha Mapinduzi, na tayari wachunguzi wa hesabu za uwiano wa kuwianika...www.jamiiforums.com
Sio sahihiUsiwadanganye eti wakitaka watoke!. It's very unfortunately zile artcles of Union sio contract ni aggreement, tumeungana for life, hakuna kipengele cha kuvunja Muungano, hivyo huu muungano wetu adhimu, tutaulinda kwa gharama yoyote!.
P
Kwenye Muungano wetu, kuna mmoja ni the majority, Tanganyika, ana eneo kubwa, na mwingine ni minority, Zanzibar ana eneo kiduchu, hivyo ardhi ya JMT ndio ardhi ya wote, lakini ardhi ya Zanzibar sio ardhi ya Muungano, ni kwa ajili ya Wazanzibari only. Ingekuwa free wabara kumiliki ardhi Zanzibar, visiwa vile vingezama!.
P
Umeona ulivyo unazungumza vitu kwa kukaririshwa: The Vatican City na The Holly See ni viti viwili tofauti. Tena ukizungumza hivi mbele ya watu wasomi utadharaurika sana. The Vatican City na The Holy See ni kitu kimoja tokea lini ???
Haya sikiliza sasa: The Vatican ni nchi na dola ambayo ni makao makuu ya kanisa takatifu la mitume la Katoliki, huku The Holly See ni serikali inayoongoza kanisa takatifu la mitume la kikatoliki. The Vatican City na The Holly See kisheria tunasema vyote ni watu (The both have legal personality).
Sasa iko hivi, kabla ya kuzaliwa The Vatican City mwaka 1929 kupitia The Lateran Pacts, The Holly See ilikuwepo na ndiyo imeendesha kanisa la Katoliki tangu kuanguka kwa dola la kipapa kipindi cha Mfalme Napoleon Bonaparte mwaka 1809. Vatican kama nchi na dola imezaliwa mwaka 1929.
The Vatican IS NOT The Holly See, let this sink within depths of your cranium. Nakushauri mkuu, uandike hoja baada ya kufanya tafiti za kina.
Umejichanganya sana. Wewe siyo raia wa Vatican wewe ni raia wa Tanzania, ambaye yuko chini ya sheria za nchi ya Tanzania: Sheria za Vatican ambazo zinakuongoza wewe ni zile kidini (Canon and Ecclesiastical Laws), tena kwenye mambo machache kama ndoa, talaka na ubatizo wa watoto. Ukienda Vatican ndiyo utabanwa na sheria za huko.
Sasa hivyo vigezo vya dola ambavyo umeniwekea hapa, navyo umevichanganya sana. Vimetolewa na mkataba wa monte-video (The Monte-Video Convention of 1933) ambao ulitoa vigezo vya taifa au dola ambavyo ni: Permanent Population, Government, Defined Territory and Sovereignty.
Sasa The Vatican haina idadi ya watu ya kudumu (Permanent Population) watu wa pale huja na kuondoka baada ya kumaliza utumishi wao na kurudi nchini kwao. Ndiyo maana nakwambia hivi, kukosekana kwa kigezo kimoja haimaanishi kwamba dola siyo huru.
Kama kigezo ni SOVEREIGNTY, kuna nchi kama The Sovereign Military Order of Malta (SMOM) ambayo haina Sovereignty lakini bado inatambulika kama nchi na ina ushawishi mkubwa sana kimataifa. Haya mambo inabidi yafanyiwe tafiti sana kabla ya kukimbilia kuwasikiliza wanasiasa kama Tundu Lissu.
Northern Ireland imechanganyika, kuna wenye asili ya Britain na kuna wenye asili ya Ireland. Northern Ireland siyo taifa hilo. Taifa ni Ireland na taifa ni Britain. Scotland ni taifa na sitoshangaa kama ikipata uhuru siku zijazo. Walipiga kura ya maoni 2014 matokeo yakawa 55.3% walipinga, 44.7% walitaka.Ongea yote lakini Karume aliingizwa mkenge na Nyerere mtoto wa mjini akagawa nchi kupitia Hati Idhini ya Muungano (Articles of the Union). Zanzibar siyo nchi bali dola, nchi Tanzania. Hutaki unaacha, lakini ukweli ndiyo huo. Nchi kama Scotland na Ireland zilivamiwa na Uingereza na mpaka leo hii, zimebakia kuwa madola yanayounda Umoja wa Nchi za Kifalme (The United Kingdom), sembuse Zanzibar ??
Hata Waskoti na Waairishi wakienda duniani hujitambulisha kama Waskoti na Waairishi, lakini ukweli mchungu ni kwamba nchi ni Umoja wa Nchi za Kifalme (The United Kingdom). Wako na tamaduni zao za kuvaa magauni, lakini ukweli ni kwamba Scotland na Northern Ireland siyo nchi bali ni madola yanayounda The United Kingdom. Huu ndiyo ukweli, kama hutaki unaacha.
Halafu unavyozungumzia Tanganyika, yenye wabantu asilimia 80% ambao wamefanana kivinasaba, kilugha na kitamaduni kama Artificial State ukidhani ni hoja ya msingi, napata shida sana na uelewa wako. Duniani mataifa Artificial yako mangapi lakini bado maisha yanaenda ??? Marekani ni Artificial State, lakini sidhani kama kuna kitu ambacho ninyi Wazanzibari mmewapita, kama kipo niambie hapa.
Kuhusu Zanzibari kujitoa kwenye Muungano: Binafsi nasema hata leo usiku wakitaka watoke tu. Mbali na Zanzibar kuwa A Maritime-Security Buffer Zone (A Mere Appendage) to Tanganyika's Territory, sioni umuhimu mwingine. Kama upo nitajie. Ilivyokuwa Zanzibar kwa Tanganyika kipindi chote cha vita baridi, ni sawa na ilivyokuwa Poland kwa Urusi kipindi chote cha vita baridi: A Mere Appendage.
Historia ya Tanganyika ni kuanza kuwa koloni la Uingereza 1922, kupata uhuru 1961, na kuuliwa na mwaka 1964. Nje ya hapo hakuna Tanganyika wala haina historia. Ni sehemu tuu Mwingereza alichora mstari kwenye ramani akapaita Tanganyika. Siyo taifa hilo.Wewe ni muongo tena. Muongo mkubwa. Zanzibar iwe na history halafu Tanganyika ikose history ?! Mbona umeikuza mno zanzibar na kuidunisha Tanganyika. Kwa lipi hasa ?!.
Muungano hata mimi siukubali achilia mbali kuupenda. Lakini si kwa kuidunisha Tanganyika. Zanzibar haina kitu Tanganyika ikikaa pembeni. Zaidi zaidi kutegemea misaada .
Zanzibar kwanza ni taifa, a nation (a large group of people who inhabit a specific territory and are connected by history, culture, or another commonality). Wanzanzibari wana historia, wana utamaduni. Wazanzibari popote walipo duniani wanajitambua kama Wazanzibari na wanatambulika kama Wazanzibari.
,.........................
Unàfahamu tofauti ya 'taifa', 'nchi' na 'dola'?
...............
Asili ya Wazanzibari haipotei. Zanzibar ilivamiwa na Nyerere na jeshi lake ikapoteza uhuru.
..................
Nyerere 'alivamia' Taifa la Zanzibar au Nchi ya Zanzibar?
Siyo kupungua, ilipoteza kabisa. Lakini kutokana kuwa Zanzibar ni taifa, lazima kuna siku uhuru utarudi.
......................
Taifa ni watu, kwani Wazanzibari hawapo huru? Unachanganya kati ya nation, state, na country
Tanganyika haikuwa taifa, ilikuwa ni mkusanyiko wa makabila uliowekwa pamoja na serikali ya Uingereza wakaita Tanganyika. Tanganyika ilikuwa haina historia, haina utamaduni wake. Ni nchi bandia (artificial country).
................
Unaona. Umeanza kusema Tanganyika ilikuwa Taifa, halafu ukasema tena Tanganyika ilikuwa nchi ......Kuna tofauti. Unachanganya.
Nyerere alilijua hili na ndiyo maana kwake ilikuwa rahisi kuiua Tanganyika, kuvamia Zanzibar na kuunda nchi mpya aliyoita Tanzania ambayo nayo ni batili (artificial country).
...................
Haya
Nchi ya kweli ambayo ilipoteza uhuru wake ni Zanzibar pekee kwa sababu Zanzibar ni taifa kwanza.
..........'
Hoja zinajengwa juu ya msingi wa ukweli (facts). Ukweli haupingiki nje ya propaganda. Nachokiongea ni ukweli na historia ya nchi.Kujenga hoja kunahitaji uangalifu zaidi
Hii siyo kweli. Zanzibar haiwezi kwenda kinyume na katiba ya JMT. Mfano mzuri ni Nyerere kupinga Zanzibar kujiunga naNiende mbali zaidi na kusema kwamba, Zanzibar ina External Sovereignty kwasababu ina uwezo wa kuingia makubaliano ya kimataifa (Treaties, Pacts, Covenants and Concessions) peke yake bila kuingiliwa au kuathiriwa na Serikali ya Muungano na Tanganyika. Hapa utasemaje Zanzibar haina Sovereignty wewe ???
Mkuu Bepari2020, kwenye mijadala ya kuhusu maslahi ya Taifa kama hoja hii, ni vema tuwe wakweli toka ndani ya nafsi zetu kwa kwanza kuukubali ukweli uliopo hata kama hatukubaliani nao .Tanzania hata kuuzungumzia huo mnaouita muungano unaonekana kama adui sembuse kupiga kura ya maoni kuuliza je bado pande zote mbili wanautaka? Usilinganishe muungano wa UK na hili vamizi la Zanzibar alilofanya Nyerere.
Wewe binafsi uko tayari Zanzibar ijitoe kwenye huo unaouita muungano lakini CCM haikubali na wapo tayari kuulinda kwa gharama yoyote. Wako tayari kumwaga damu, kufunga watu, kufilisika ili kuulinda huo unaouita muungano. Sera hiyo haiwezi kuendelea siku zote.
Kwani kilichoungana na Tanganyika ni 'dola la Zanzibar', 'nchi ya Zanzibar' , 'serikali ya Zanzibar' au 'taifa la Zanzibar'?Nimesema Zanzibar ni taifa. Zanzibar is a nation. Sijachanganya chochote na maana ya taifa/nation nimeshaiweka. Zanzibar ilipovamiwa na Nyerere ilipoteza sovereignity, ilipoteza uhuru ila haijapoteza utaifa.
Tanganyika huwezi kuita taifa. Haikuwa na hadhi hiyo ukifuata maana ya utaifa. Ilikuwa ni nchi bandia (artificial state) iliyoundwa na Uingereza na ikavunjwa au kuuliwa na Nyerere. Huwezi kulinganisha Zanzibar na Tanganyika hata siku moja.
😀 Nimeshangazwa na aya👆 yako ya mwisho.Hoja ya kutokuwa na kiti UN au kutotambulika ni hoja mufilisi kabisa na zimekaa kisiasa.
Vigezo vikuu vya dola ni hivi ambavyo Zanzibar imekidhi:
1. Government
2. Population
3. Territory
4. Sovereignty (Both Internal and External Sovereignty)
Ambacho Advocate Tundu Lissu amewapotosha watanzania wengi ni lile la kusema kwamba Zanzibar haina External Sovereignty. Hili siyo kweli, Zanzibar ina External Sovereignty kwasababu imewahi kuwa nchi huru hapo awali, lakini External Sovereignty yake inaendeshwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano ambayo Zanzibar ni nchi mshirika.
Niende mbali zaidi na kusema kwamba, Zanzibar ina External Sovereignty kwasababu ina uwezo wa kuingia makubaliano ya kimataifa (Treaties, Pacts, Covenants and Concessions) peke yake bila kuingiliwa au kuathiriwa na Serikali ya Muungano na Tanganyika. Hapa utasemaje Zanzibar haina Sovereignty wewe ???
Bandiko lililotangulia nimesisitiza hili jambo tulijadili kwa kuwa wakweli na kutanguliza mbele maslahi ya Taifa.1.Tanganyika inachangia kiasi gani ?
Nielimishe kwa ushahidi
2.nini maana ya neno TanZania?
3. TRA ni nini?
4.Tanganyika bado ipo?
Naomba kujuzwa
Kwani Zanzibar inayo history ipi zaidi ya ukoloni huo wa mwarabu ? Mataifa yetu haya ya Africa kwa sehemu kubwa , waliishi jamii za watu waliokuepo kipindi hicho wakizungumza lugha zao na tamaduni zao, Zanzibarikiwemo .Historia ya Tanganyika ni kuanza kuwa koloni la Uingereza 1922, kupata uhuru 1961, na kuuliwa na mwaka 1964. Nje ya hapo hakuna Tanganyika wala haina historia. Ni sehemu tuu Mwingereza alichora mstari kwenye ramani akapaita Tanganyika. Siyo taifa hilo.
Haipo!Sarafu yao iko wapi?
Unajikweza mno na Zanzibar yako. Ambayo hata asili ya jina lake ni wakoloni wenu wa ki Arabs . Huu utaifa unayoipa zanzibar kuinyima Tanganyika umeitoa wapi ?!. Bila Tanganyika, Zanzibar is nothing. Bahati mbaya kwa Tanganyika na nzuri Zanzibar ni kukuta viongozi wa Tanganyika wasiojielewa . Wenye mapenzi na jina Tanzania kuliko nchi yaoNimesema Zanzibar ni taifa. Zanzibar is a nation. Sijachanganya chochote na maana ya taifa/nation nimeshaiweka. Zanzibar ilipovamiwa na Nyerere ilipoteza sovereignity, ilipoteza uhuru ila haijapoteza utaifa.
Tanganyika huwezi kuita taifa. Haikuwa na hadhi hiyo ukifuata maana ya utaifa. Ilikuwa ni nchi bandia (artificial state) iliyoundwa na Uingereza na ikavunjwa au kuuliwa na Nyerere. Huwezi kulinganisha Zanzibar na Tanganyika hata siku moja.
Mkuu Bepari2020, naomba nikurejeshe kwenye historia kwa kifupiZanzibar kwanza ni taifa, a nation (a large group of people who inhabit a specific territory and are connected by history, culture, or another commonality). Wanzanzibari wana historia, wana utamaduni. Wazanzibari popote walipo duniani wanajitambua kama Wazanzibari na wanatambulika kama Wazanzibari. Asili ya Wazanzibari haipotei. Zanzibar ilivamiwa na Nyerere na jeshi lake ikapoteza uhuru. Siyo kupungua, ilipoteza kabisa. Lakini kutokana kuwa Zanzibar ni taifa, lazima kuna siku uhuru utarudi.
Tanganyika haikuwa taifa, ilikuwa ni mkusanyiko wa makabila uliowekwa pamoja na serikali ya Uingereza wakaita Tanganyika. Tanganyika ilikuwa haina historia, haina utamaduni wake. Ni nchi bandia (artificial country). Nyerere alilijua hili na ndiyo maana kwake ilikuwa rahisi kuiua Tanganyika, kuvamia Zanzibar na kuunda nchi mpya aliyoita Tanzania ambayo nayo ni batili (artificial country). Nchi ya kweli ambayo ilipoteza uhuru wake ni Zanzibar pekee kwa sababu Zanzibar ni taifa kwanza.
Watu waliofika Zanzibar 1734 kwa maneno yako Unawaita watu wa kuja tu Yaani ilipofika 1964 waliokua na miaka 230.Mkuu Bepari2020, naomba nikurejeshe kwenye historia kwa kifupi
1. Naanza na Physical Geography da Formation ya Visiwa vyote vya bahari ya Hindi vilikuwa sehemu ya nchi kavu, vikamegeka, vikazungukwa na maji. Hivyo Zanzibar, Pemba Mafia ilikuwa ni sehemu ya Bara. Uthibitisho wa hoja hii ni mchoro huu View attachment 2125554
2. Visiwa vya Zanzibar vilikuwa ni sehemu ya bara miaka milioni nyuma!, vikamegeka na eneo la kati likasombwa na mmomonyoko!,
3. Baada ya miaka mingi watu wa bara ndio wakaazi asili wa visiwa vya Zanzibar na Pemba, simulizi za kale za Fumo Liongo Karne 8 na Ibin Batuta karne ya 12 zilieleza. Kiongozi wao aliitwa Mwinyi Mkuu.
4. Karne ya 15, Mreno Vasco Da Gama alipopita ndipo akapeleka Ureno sifa ya visiwa vya Zanzibar na Pemba.
5. Karne ya 16, Ureno ikaivamia Zanzibar, ndipo mtawala wa asili wa Zanzibar, MwinyiMkuu kuwaomba Waarabu wa Oman wamsaidie kuwatimua Wareno.
6. Baada ya kazi ya kuwatimua Wareno kukamimika, Karne ya 17, hakuna anayekijua kilichomkuta Mwinyimkuu maana hakijaandikwa popote, ila mara ghafla mwaka 1734, Sultan Sayyed Said, akaihamisha Sultanet yake kutoka Oman na kuihamishia Zanzibar kwa
kuvivamia visiwa hivyo na kuvitwaa as if havina wenyewe, wakakulia, wakazaliana, wakalowea na sasa baadhi yao wameanza kujisahau kwa kudhania visiwa hivyo ni mali yao ilhali wao ni watu wa kuja tuu!.
7. Mkutano wa Berlin wa mwaka 1884, ukamtambua rasmi Sultan wa Zanzibar kama mtawala na mmiliki halali wa visiwa vya Zanzibar na akapewa a 10 miles za costal stip ya Bara ilikuwa chini ya himaya ya Sultan wa Zanzibar.
8. Tanganyika ilikuwa koloni la Ujerumani, Kenya ilikuwa Koloni la Uingereza, nchi hizi zote mbili hazikuwa na access ya bahari kwasababu a 10 miles ya costal stipe ya pwani yote ya Africa Mashariki ilikuwa chini ya himaya ya Sultan, ila Zanzibar ilikuwa chini ya uangalizi wa Uingereza, ndipo mwaka 1890, Waingereza na Wajerumani
wakaingia mkataba, wa Hellingoland, (The Zanzibar Treaty) Sultan wa Zanzibar aziachie zile 10 miles kwa matumizi ya German East Africa.
9. Tarehe 10 Desemba, 1963, Uingereza ikatoa uhuru wa bandia kwa Zanzibar kuendelea kuwa chini Sultan na serikali kibaraka wa Sultan.
10. Ndipo tarehe 12 January 1964 wanaume wakaingia kazini wakafanya yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya 1964, vilirudisha heshima ya visiwa hiyo iliyoporwa na madhalimu wale na muungano ukavirudisha visiwa hivyo kwa wenyewe halisi.
Mapinduzi Daima!
Muungano Udumishwe!
Mungu ibariki Tanzania.
P.
Mkuu Bepari2020, naomba nikurejeshe kwenye historia kwa kifupi
1. Naanza na Physical Geography da Formation ya Visiwa vyote vya bahari ya Hindi vilikuwa sehemu ya nchi kavu, vikamegeka, vikazungukwa na maji. Hivyo Zanzibar, Pemba Mafia ilikuwa ni sehemu ya Bara. Uthibitisho wa hoja hii ni mchoro huu View attachment 2125554
2. Visiwa vya Zanzibar vilikuwa ni sehemu ya bara miaka milioni nyuma!, vikamegeka na eneo la kati likasombwa na mmomonyoko!,
3. Baada ya miaka mingi watu wa bara ndio wakaazi asili wa visiwa vya Zanzibar na Pemba, simulizi za kale za Fumo Liongo Karne 8 na Ibin Batuta karne ya 12 zilieleza. Kiongozi wao aliitwa Mwinyi Mkuu.
4. Karne ya 15, Mreno Vasco Da Gama alipopita ndipo akapeleka Ureno sifa ya visiwa vya Zanzibar na Pemba.
5. Karne ya 16, Ureno ikaivamia Zanzibar, ndipo mtawala wa asili wa Zanzibar, MwinyiMkuu kuwaomba Waarabu wa Oman wamsaidie kuwatimua Wareno.
6. Baada ya kazi ya kuwatimua Wareno kukamimika, Karne ya 17, hakuna anayekijua kilichomkuta Mwinyimkuu maana hakijaandikwa popote, ila mara ghafla mwaka 1734, Sultan Sayyed Said, akaihamisha Sultanet yake kutoka Oman na kuihamishia Zanzibar kwa
kuvivamia visiwa hivyo na kuvitwaa as if havina wenyewe, wakakulia, wakazaliana, wakalowea na sasa baadhi yao wameanza kujisahau kwa kudhania visiwa hivyo ni mali yao ilhali wao ni watu wa kuja tuu!.
7. Mkutano wa Berlin wa mwaka 1884, ukamtambua rasmi Sultan wa Zanzibar kama mtawala na mmiliki halali wa visiwa vya Zanzibar na akapewa a 10 miles za costal stip ya Bara ilikuwa chini ya himaya ya Sultan wa Zanzibar.
8. Tanganyika ilikuwa koloni la Ujerumani, Kenya ilikuwa Koloni la Uingereza, nchi hizi zote mbili hazikuwa na access ya bahari kwasababu a 10 miles ya costal stipe ya pwani yote ya Africa Mashariki ilikuwa chini ya himaya ya Sultan, ila Zanzibar ilikuwa chini ya uangalizi wa Uingereza, ndipo mwaka 1890, Waingereza na Wajerumani
wakaingia mkataba, wa Hellingoland, (The Zanzibar Treaty) Sultan wa Zanzibar aziachie zile 10 miles kwa matumizi ya German East Africa.
9. Tarehe 10 Desemba, 1963, Uingereza ikatoa uhuru wa bandia kwa Zanzibar kuendelea kuwa chini Sultan na serikali kibaraka wa Sultan.
10. Ndipo tarehe 12 January 1964 wanaume wakaingia kazini wakafanya yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya 1964, vilirudisha heshima ya visiwa hiyo iliyoporwa na madhalimu wale na muungano ukavirudisha visiwa hivyo kwa wenyewe halisi.
Mapinduzi Daima!
Muungano Udumishwe!
Mungu ibariki Tanzania.
P.