Zanzibar: Rais Magufuli amshangaa Dk. Shein kusaini makaratasi ya mtu aliyekataa mkono wake

Suala siyo imani ya Shein kutomruhusu kufanya anachotaka baba J, bali ni matakwa ya katiba na utaratibu wa utumishi. Hata kama Shein angekuwa hana imani wala siyo mfuasi wa dini yoyote bado anawajibika kutekeleza suala la malipo au mapato ya Self.
Utaratibu wa nchi katika hili suala ndiyo wenye uzito siyo imani ya Rais.
 
Lowassa alikupa mkono wa salamu kukufundisha kunyoosha moyo kwa maadui zako, Maalimu alimnyima mkono Shein kumfundisha kua unafiki ni dhambi kubwa katika uislamu.

Afya na uzima vinatoka kwa Mungu.

NB: uchochezi ni kumlipa Lowasa mafao yake kwa mujibu wa sheria na kuwataka nchi jirani wavunje sheria ili wamnyime Maalim stahiki zake.
 
mm nataka ccm itawale milele cion namna nyingine kwan hata CDM wakiingia (ILa haitatokea) watafanyanin
 
w


Kwa hiyo imani ya Seif Sharif inamtaka kukataa salam za muislam mwenzie?
 
Nakumbuka wosia wa baba wa Taifa, ni kweli nchi inaongozwa na watu na watu wanaongozwa na sheria ikiwemo katiba nchi.
Na ndiyo maana tuna muapisha kwa mujibu wa sheria na imani ya dini yake. Inasikitisha sana issue ya nchi inachukuliwa maamuzi kwa jinsi mtu anavyojisikia(utashi wake).
Kwa style hii mbona makosa yatakuwa kuwa kibao.
Swali la msingi hapa, hivi tunajenga nchi au tunaibomoa nchi?
 
Kauli zako zinaonekana zina harufu ya utovu wa maadili, hivyo judgement zako zina msukumo wa utukutu tu sio tafakar ya hekima. Kaa pemben
Ah nimeuliza tu. Kuna uhuiano gani kati ya kushikana mikono na uendeshaji wa nchi? Haki za Seif zipo kisheria au ni hisani tu kutoka kwa mtu?
Kuna sharia gani ya nchi inayosema Rais alazima ashikwe mkono kwa kusaliminiana?
 
Hiyo ni moja ya mikutano ya Siasa maana hapo wanejaaa CCM tu je waliweza kupata kibali mbona Chadema wanakataliwa??
 
Mhh i dont want to beleive this coming from our beloved president..
 
Sikuamini nilipoambiwa ila hii video clip imenithibitishia.
 
Halafu inakuja mijitu type ya kina mkijiji na kuanza kunanga upande wa pili. Unaanzaje kutetea hali kama hii?
 
Nyie mna matatizo sana. Yaani Maalim Seif afanye ujinga kisha aachwe tu kwa vile ana haki ya kupokea mafao?
Sawa na wewe unaona sawa sheria zivunjwe kirejareja hovyo!! Kwani Magu hana namna nyingine ya kushughulikia migogoro badala ya kutoka povu kama siye?!! Inamuharibia huo siyo urais
 
Tumuombee Mh.Rais kama anavyosisitiza tumuombee.Anatambua matatizo yake tumuombee.....
 
Tumuombee Mh.Rais kama anavyosisitiza tumuombee.Anatambua matatizo yake tumuombee.....
 
Tumuombee Mh.Rais kama anavyosisitiza tumuombee.Anatambua matatizo yake tumuombee.....
 
Tumuombee Mh.Rais kama anavyosisitiza tumuombee.Anatambua matatizo yake tumuombee.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…