Zanzibar: Rais Magufuli amshangaa Dk. Shein kusaini makaratasi ya mtu aliyekataa mkono wake

Kuna ulazima kupeana mikono? Mbona we ukienda msibani uwapi mikono watu? Ala? Nani asiejua Zanzibar kukoje? Uvumilivu tu kule na ashukuriwe maalim kupoz kwengine sàhiz kinawaka hamuoni TV? Juz nchi Fulani makosa kama Yale leo wanauana huku hatupend hivyo achane ushabiki
 
Ha ha haa!..ndugu yetu ana matatizo makubwa mno
 
So lowassa alilazimika au??!
?
wanaokataa salamu ya heri si wanataka shari? au kosa ni la pili la kwanza ni haki yao. Je mnahakika kuwa huyo Seif yupo in titled for matibabu ya nje ya nchi kikatiba?
 
?
wanaokataa salamu ya heri si wanataka shari? au kosa ni la pili la kwanza ni haki yao. Je mnahakika kuwa huyo Seif yupo in titled for matibabu ya nje ya nchi kikatiba?
Yes he is entitled!! It is constitutional!!
 
Usifanye kisasi, wala kuwa na kinyongo juu ya wana wa watu wako; bali umpende jirani yako kama nafsi yako; Mimi ndimi BWANA.
LAW. 19:18 SUV
http://bible.com/164/lev.19.18.SUV
 
Ndiyo ajue mwenzake anajuwa Sheria yeye si anaikanyaga? Tunafuata Sheria inasemaje na si mtu km yeye atakavyo Watanzania hatuna Utamaduni huo kwanza tunamshangaa sana yeye ni kweli mwenzetu au ni nini"
 
Tupia neno juu ya kutotoa mkono, nadhani maalim alilazinishwa kuhudhuria msiba maana yeye ndo chanzo cha mjimwema
Hatari sana..,...nafikiri akina lowasa,sumaye watanyanyasika sana kupata haki zao,wawe wepesi kuuambia umma endapo itatokea,mbona hii ni haki ya kisheria!! Kulikoni!!! Sheria yenyewe si ya muungano!!
 


akatae vipi kusaini wakati ni haki yake kisheria?
 
........anataka anilipwe na anae amini amekula haramu ! ....jipange tena !
 
Hata mimi sisaini.

Hata mimi sisaini. Maalim ameivuruga sana ZNZ. JPM tu ndo dawa yake. Mi ananiuzi kila kukicha. Kampata saizi yake sasa. Aanzishe na yeye UKUT tuone. Oyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hapo ndo Nampendaga mie Magufuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…