liberatus mbena
Member
- Jan 14, 2015
- 74
- 15
Kuna ulazima kupeana mikono? Mbona we ukienda msibani uwapi mikono watu? Ala? Nani asiejua Zanzibar kukoje? Uvumilivu tu kule na ashukuriwe maalim kupoz kwengine sàhiz kinawaka hamuoni TV? Juz nchi Fulani makosa kama Yale leo wanauana huku hatupend hivyo achane ushabiki