Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena atusaidie haswaaaa!!!Mi nimeangalia taarifa ya habari, nikatokwa machozi. Ee Mungu tudaidie
Jinga kubwa..katika hao ambao wamekuwa brain washed ni wewe pia na wewe tuletee ushahidi wa nyaraka za malipo zinazoonyesha ya kuwa Seif amelipa mwenyewe? kama kukariri yanayosemwa basi you make two of us... nakwambia tena wewe ni muongo unakuja namihemko yako.. safari ya Seif kwenda kwenye matibabu India imelipwa na SMZ..kama huna cha kuongea basi nenda Kanye..
tune itv saa 5 ucku uone marudio ya taarifa ya habari kazungumza bila chengaSiamini kama Rais katoa kauli hiyo, weka clip.. maana kinywa cha Rais hakiwezi kutamka maneno hayo
ndio wewe huwezi saini coz your not presdentHata me sisainiii
Binafsi nimejazwa hofu sana hotuba ya Rais Magu, pale kibanda maiti. Anasema anayewagawa watz ni shetan, lakini anakili kuwabagua wapinzani kwnye serikali yake!
Apia baby[emoji23] [emoji23]Ndio maana nikiona anaongea namute, nisijeghafirika bureee!!
Anasaini kulingana na stahiki za kisheria na kikatiba za Maalim km makamu wa rais au anasaini kwa matakwa yake?Huyu Raisi Mimi namkubali sana!!
Hata Kama Ni Mimi nisingesaini kwakweli!
Nyie mnaopenda kubembelezwa Safari hii mjipange upya!!
Sijui kama tutafika salama kwa visasi vinavyojengwa nchiniRais anaendeleza mgawanyiko
Kwahiyo umesikia peke yako?
Hahahaaaa!! Thitati!Apia baby[emoji23] [emoji23]
Giza lipo kwenye familia yako na wanao. Si kwingine. Watu wanaona mianga teleee sasaNchi inaongozwa kwa utashi, kuna giza mbele
Wajitoe tuu hakuna jinsi,huu mwendokasi unaelekea kutushinda tunamwagwa sasa hivi dalili zipo waziAwamu hii, Nia/ chuki ya wanzanzibar kujitoa kwenye Muungano, huenda ikaongezeka zaidi...!!
Kwanini akatae kumpa mkono. Ina maana hamtambui sasa kwa nini Shein ahangaike nae.Ni upuuz. Hata ningekuwa mimi. Akikataa kama vile akija kwangu anieleze amekuja kwangu mimi kama nani. Kwanza.ananitambuaje leo. Then mengine ndio yaendeleeKwani Shein anaamua yeye au katiba ya nchi ndo inamfanya asaini
Sema unashindwa wewe sip wengine. Na tunasema aongeze speed. Hii ni ndogo wajameni. Tutafika lini uchumi wa kati kama tukisuasua ?Wajitoe tuu hakuna jinsi,huu mwendokasi unaelekea kutushinda tunamwagwa sasa hi? ? dalili zipo wazi