Zanzibar: Rais Magufuli amshangaa Dk. Shein kusaini makaratasi ya mtu aliyekataa mkono wake

Zanzibar: Rais Magufuli amshangaa Dk. Shein kusaini makaratasi ya mtu aliyekataa mkono wake

Mungu akiamua kuwatandika wataruka na ndege kila kona kutafuta tiba na wasiipate.
 
MAGUFULI na SHEIN, kama mmeamua kuwa hamuitaki AMANI kuweni wazi, naona kama vile mnazunguka zunguka mbuyu!!
 
Stop Your Nonsense! You Have No Idea What You are about...
Raised Magufuli Kakiri Kuwa Shein Anasaini Gharama Za Maalim Kusafiri That is Why Kama Ni kweli umeamini Hili Nimekutaka Uthibitishe Kwa kuleta Hizo Written and signed Documents??
Lakini Chaajabu Unatoa Povu eti Nikupe Documents Kuthibitisha Kuwa Alitoa Pesa Zake Mwenyewe!! Ridiculous..
Hivi Mtu Kutumia Hela Yake Mfukoni Kunahitaji Ajitilie Saini?? Ningelikwambia Anasaini Kutumia Hela Zake Hapo Ndiyo Ungenidai Signed Documents!!

Jinga kubwa..katika hao ambao wamekuwa brain washed ni wewe pia na wewe tuletee ushahidi wa nyaraka za malipo zinazoonyesha ya kuwa Seif amelipa mwenyewe? kama kukariri yanayosemwa basi you make two of us... nakwambia tena wewe ni muongo unakuja namihemko yako.. safari ya Seif kwenda kwenye matibabu India imelipwa na SMZ..kama huna cha kuongea basi nenda Kanye..

Halafu Na Nyie Munakuwa Na Tabia Gani Ya "KumQuote" Mtu Bila Ya Kusoma Alichokiandika??
Hebu rejea Reply Yangu Namba [HASHTAG]#128[/HASHTAG] hapo Juu Nimefafanua Vizuri Kuwa Alipokuwa Waziri Kiongozi na Makamo Wa Raisi Ni Sheria na Katiba inayoruhusu Kutumia Fedha Za Serikali Kwa Nauli na Posho katika Ziara Zote Kiserikali Nje Ya Nchi.
Lakini Unaleta Habari Za Kada Shaka Hamdu Shaka (UVCCM) Propagandist Za Udaku ili iweje??


 
Binafsi nimejazwa hofu sana hotuba ya Rais Magu, pale kibanda maiti. Anasema anayewagawa watz ni shetan, lakini anakili kuwabagua wapinzani kwnye serikali yake!

Mkuu Zingatia Kuwa Hotuba Aliyoitoa Magu Ni Hotuba Ya Vitisho tu Na Wala Si Jengine
 
Hizo hela zinatoka mfukoni mwake au za umma?
 
Huyu Raisi Mimi namkubali sana!!
Hata Kama Ni Mimi nisingesaini kwakweli!
Nyie mnaopenda kubembelezwa Safari hii mjipange upya!!
Anasaini kulingana na stahiki za kisheria na kikatiba za Maalim km makamu wa rais au anasaini kwa matakwa yake?
 
Kwani Shein anaamua yeye au katiba ya nchi ndo inamfanya asaini
Kwanini akatae kumpa mkono. Ina maana hamtambui sasa kwa nini Shein ahangaike nae.Ni upuuz. Hata ningekuwa mimi. Akikataa kama vile akija kwangu anieleze amekuja kwangu mimi kama nani. Kwanza.ananitambuaje leo. Then mengine ndio yaendelee
 
Wajitoe tuu hakuna jinsi,huu mwendokasi unaelekea kutushinda tunamwagwa sasa hi? ? dalili zipo wazi
Sema unashindwa wewe sip wengine. Na tunasema aongeze speed. Hii ni ndogo wajameni. Tutafika lini uchumi wa kati kama tukisuasua ?
 
ITV yale matamshi ya Rais kuhusu kumsainia mtu makaratasi yake ilikuwa ni habari muhimu ya kuipa kipaumbele katia taarifa ya habari saa mbili?
Huwa nasikiliza tuongee magazeti na Dotto Bulendu, huwa anauliza, hii ni habari? Is that news worth of a newspaper headline?; ya kuikomalia?
Wengine hatuna taaluma hiyo tunaomba elimu.
 
Back
Top Bottom