ng'adi lawi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 2,956
- 1,114
Halafu huo umma ufanyeje?Hatari sana..,...nafikiri akina lowasa,sumaye watanyanyasika sana kupata haki zao,wawe wepesi kuuambia umma endapo itatokea,mbona hii ni haki ya kisheria!! Kulikoni!!! Sheria yenyewe si ya muungano!!