Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Sio flat rate jombaa... Kila mtu na mshahara wake then unapigia hiyo 15% yake.. its a good money
Nchi ni yetu sote, sio ya wachache ingawa wachache wana access na keki ya Taifa.Toshekeni na mishahara yenu
Ongezeko la 6.8 kwenye mshahara take home 1, 500, 000 ni sawa na sh. Ngapi?Nimeshindwa kumuweka kundi gani huyo
15% ni nyingi mno kwa kupandishiwa mshahara
Hapa [emoji636] huwa mshahara ukipandishwa ni 6.6% na sana ikizidi 6.8% na wanafurahi sio haba
Sasa 15% anaiona ndogo maajabu haya
Nani Kasema nchi moja hz nchi mbili tofauti😀😀Hi inaonekana kabisa mama anaigawa ichi bila kujua kwa sababu mafuta uku na Zanzibar ni Bei tofauti ukiangalia ata mishahara ameongeza Zanzibar kiasi kikubwa kuliko uko na tunadai eti ni ichi moja doesn't make sense na hamuoni mama anaigawa ichi bila kujua
Hao wanaoongoza nchi sasa hivi si walipsndisha mishahara nyakati za utawala wao ?Hana uwezo wa kuongeza 47,000 trust me.
Nchi inaongozwa na wengine yenye ni msimamizi tu.
Hiko ni kima Cha chini, kila mfanyakazi inaongezeka kutokana na mshahara wake.Wanaopanda amadaraja wataona tofauti ila sip hiyo 47 ni kama vile hakijaomgezeka kitu
Umeambiwa mshahara hautoongezwa mkuu??
Yapi hayoRais anashauriwa mambo mabaya na yeye anayafanyia kazi.
Litakuwa jambo jemaHiko ni kima Cha chini, kila mfanyakazi inaongezeka kutokana na mshahara wake.
15% ya 300,000 ni tofauti na 15% ya 900,000
15/100×750000=Mimi naomba msaada jinsi ya kutafuta hizo % mfano mtu mwenye basic salary 750,000 kwa nyongeza ya 15% ongezeko itakuwa sh ngapi hapo?