TANZIA Zanzibar: Salim Turky, Mwanasiasa Mkongwe na Mgombea Jimbo la Mpendae Zanzibar, afariki dunia


Wewe ndo unajua Leo kuhusu Turky kusaidia kupatikana kwa ndege ya kumpeleka Lissu Nairobi?

Sasa mnajifanya GT wa nini kumbe hata taarifa kama hizi hamna? Tafuta nyuzi humu JF kuhusu safari ya Lissu maana kipindi hicho wanaCCM wenzio kina YEHODAYA walileta uzushi kuwa CCM ndo wamelipia ndege hadi Mh. Turky akatoa ufafanuzi wa Ankara ya malipo iliyolipwa na CHADEMA.

Si wanaCCM wote waliofurahishwa na ushenzi uliofanywa na serikali yao kipindi cha shambulizi lile, hata humu Jingalao, Gentamycin na Johnthebapst walikemea kwa nguvu zote.

Hata Pasco kabla hajakabidhi busara kwa Polepole alikemea sana shambulizi lile kabla ya kuwa shabiki.
 
Innalillah...

Ni hivi Majuzi Pale Uwanjani Zenji Alikuwepo Na Uso Bashasha Kwenye Ufunguzi Wa Kampeni wa dokta Mwinyi...

Duniani si nyumbani kwetu...Tutendeni Wema Jama!!


Hapo hapo UWANJANI !!!!!!!?????
 
Kweli kabisa mkuu, ni Magufuli aliyesababisha hadi Wabunge wakazuiwa kwenda Nairobi kumwona mgonjwa na wengine waliokwenda Kijenge kumuona Lema wakalazimika kujiuzulu uenyekiti wa Kamati za Bunge. Samia kipindi hicho alikuwa bado binadamu alikwenda Nairobi hospitali akiwa kwenye ziara ya kikazi, kabla ya siku hizi kuingiwa na Ushetani hadi kugeuka Izraili wa "Risasi 3".
 
Mkuu Unapenda Conspiracy theories eee?
Mzee Kolimba aliposhika kile kipaza sauti alikuwa akiishiwa nguvu mpaka...., tena ...mwisho wa siku ikabainika kwamba Mzee Mangula alilishwa sumu!! Nadhani hizo zote ni conspiracy theories shehe.

Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani - Kikwete
Na hawawapendi watu wakweli na ukweli wenyewe
 
RIP kiongozi. Naona waungwana wanashadidia kukodisha ndege ya kumpeleka Lissu Nairobi 2017, kama kazi kubwa aliyofanya wakati wa uhai wake.
Kama Mzee Mbowe Senior Aikaeli alivyo mpa nauli Kambarage kutuletea Uhuru UN hivyo na huyu ameleta ukombozi kupitia The great Lisu
 
Innalillah...

Ni hivi Majuzi Pale Uwanjani Zenji Alikuwepo Na Uso Bashasha Kwenye Ufunguzi Wa Kampeni wa dokta Mwinyi...

Duniani si nyumbani kwetu...Tutendeni Wema Jama!!
Kwa imani na matendo, wako wanaojidhani wataishi milele ama bila wao wengine hawawezi ishi. Allah amrehemu Salim Turky na wengineo wenye haki waliotutangulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…