Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Utaacha lini uchawi!?Uchunguzi ufanyike kuhusu kifo chake
Kaanzeni kwanza kuchunguza yaliyompata Lissu jukwaani mafinga.Uchunguzi ufanyike kuhusu kifo chake
Duh, simu yako haioneshi picha?Mkuu ungeweka na picha wengine hatumfahamu, RIP.
Sent from my OPPO R11s using JamiiForums mobile app
Ficha hicho kilema chako!Uchunguzi ufanyike kuhusu kifo chake
Kweli kabisa mkuu, ni Magufuli aliyesababisha hadi Wabunge wakazuiwa kwenda Nairobi kumwona mgonjwa na wengine waliokwenda Kijenge kumuona Lema wakalazimika kujiuzulu uenyekiti wa Kamati za Bunge. Samia kipindi hicho alikuwa bado binadamu alikwenda Nairobi hospitali akiwa kwenye ziara ya kikazi, kabla ya siku hizi kuingiwa na Ushetani hadi kugeuka Izraili wa "Risasi 3".
Pambana broo uwatengeneze njia nzuri vizazi vijavyo imagine generation nzima ya mr turky inaishije acha mark yako dunianiNikiona matajiri pia wanakufa sioni hata thamani ya kutafuta pesa kwa mateso hivi
Kwani iliyo msaidia ni ccm au ni turk na huyo turk aliwakopesha chadema pesa kwa sababu hafla ile ilikua hapana pesaLissu Hana shukrani aliendelea kuponda CCM hata Kama walimsaidia. Mbowe mwongo hakutoa chochote Hadi turky akawasaidia ndege ya rafiki zake akawahishwa Nairobi kwa matibabu zaidi Hadi leo kapona kwa msaada wa Wana CCM. Turky alitoa ndege alikuwa mbunge wa CCM chadema mlikuwa wapi?