TANZIA Zanzibar: Salim Turky, Mwanasiasa Mkongwe na Mgombea Jimbo la Mpendae Zanzibar, afariki dunia

TANZIA Zanzibar: Salim Turky, Mwanasiasa Mkongwe na Mgombea Jimbo la Mpendae Zanzibar, afariki dunia

Habari ya kusikitisha sana pole nyingi kwa familia na taifa kwa ujumla, nadhani alihusika kwa namna moja ktk kutoa msaada wa kuokoa maisha ya mmoja wa wagombea wa urais alipopata shida kama sipo chaka.

Bado lingalipo tumaini ng'ambo ya kaburi asubuhi ile njema Kristo arudipo mara ya pili.
 
Rip Mzee Turku, huyu mzee alisaidia kulipia ndege ya kumsafirisha lissu kwenda Nairobi, mashetani yalipo mshambulia kwa risasi 38
 
Kweli kabisa mkuu, ni Magufuli aliyesababisha hadi Wabunge wakazuiwa kwenda Nairobi kumwona mgonjwa na wengine waliokwenda Kijenge kumuona Lema wakalazimika kujiuzulu uenyekiti wa Kamati za Bunge. Samia kipindi hicho alikuwa bado binadamu alikwenda Nairobi hospitali akiwa kwenye ziara ya kikazi, kabla ya siku hizi kuingiwa na Ushetani hadi kugeuka Izraili wa "Risasi 3".

Huyu mama roho ya u mama hanayo tena kisa madaraka lakini inshalaah Mungu atajibu
 
Sote ni wa Mwenyezimungu na kwakentutarejea.

Huyu ndie mmiliki wa boti ziendazo kasi za Zanzibar one?
 
Point of lesson.

Wema hauozi.

Licha ya mzee Turky kuwa sehemu ya chama Cha CCM ila watu wanakumbuka Mema Yake.

Sote ni binadamu tutende mema. Tulindiane haki zetu za kuishi.
 
Kama kuna mwanaCCM wa kuiona pepo, huyu jamaa anaweza kuwa mmoja wao, alifanya ule uwe mwema wa kusaidia kuokoa maisha ya Tundu Lissu ambaye alipigwa risasi ili afe na huku wanaCCM wengi wakifurahi na kushangilia huku wakisubiria kuona Lissu anafariki.
 
Lissu Hana shukrani aliendelea kuponda CCM hata Kama walimsaidia. Mbowe mwongo hakutoa chochote Hadi turky akawasaidia ndege ya rafiki zake akawahishwa Nairobi kwa matibabu zaidi Hadi leo kapona kwa msaada wa Wana CCM. Turky alitoa ndege alikuwa mbunge wa CCM chadema mlikuwa wapi?
Kwani iliyo msaidia ni ccm au ni turk na huyo turk aliwakopesha chadema pesa kwa sababu hafla ile ilikua hapana pesa
 
Back
Top Bottom