Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,436
- 7,955
imeandikwa kimchongo!
Wawafikishe mahakamani hao mbwakoko wanaojichukulia sheria mkononi,ingawa hakuna sheria ya kukataza watu kula kipindi cha mfungo,ni vile ujinga umewajaa
Wakifanya Hivyo Mkuu Nitag..Wawafikishe mahakamani hao mbwakoko wanaojichukulia sheria mkononi,ingawa hakuna sheria ya kukataza watu kula kipindi cha mfungo,ni vile ujinga umewajaa
Mkuu sihitaji pesa yakk,ila kama wamelaani ni jambo jema,mengine yatashugulikiwa taratibuWakifanya Hivyo Mkuu Nitag..
Nikupe Pesa check au Cash..
Ndiyo ajabu hiyo wanajifanya wacha Mungu huku vinyeo viko wazi kwa luingiliana kinyume cha maumbile.Hawa jamaa hawasomeki! Kuzibua mitaro kwao sio dhambi! Lakini mtu asiye mwisilamu kula hadharani wakati wao wamefunga ndo dhambi! Shit!
Hawa jamaa huwa tunaishi nao kwa akili! Hata hiyo dini yao wanaijua wao wenyewe!Ndiyo ajabu hiyo wanajifanya wacha Mungu huku vinyeo viko wazi kwa luingiliana kinyume cha maumbile.
Kwanza kula haijawai kuwa dhambi, siyo kosa kisheria na Wakristu waishio Tanzania hawapashwi kujificha wanapokula. Mbona Tanganyika hatuna hizo na mifungo inaendelea tu?imeandikwa kimchongo!
ingekataza upande mmojaa kuonea wengine! mfano ingesema muislam akimuona mkristu anakula hadharani amuonyeshe mahali pa kujificha ale! na akikataa basi hakuna haja ya kumlazimisha! hii ni kuonyesha ukomavu wa uislam!
Juzi katikati ya jan kuna wale walikamatwa wanapigana vipande vya nyama ngumu kwenye mapagale wakapelekwa polisi usiku wakaendeleza mchezo huo wakiwa mule mule selo.Ndiyo ajabu hiyo wanajifanya wacha Mungu huku vinyeo viko wazi kwa luingiliana kinyume cha maumbile.
Hapa alikuwa anaandika anafuta, anaandika tena anafuta. Akaona amechoka ila kuna shinikizo ya kuandika ikabidi aiachie hivyo hivyo π€£π€£π€£π€£π€£Ukisikia mtu anaandika kitu, ila ukisoma ni kama hajaandikaa kitu. Yaani inakuwa kama (1- 6 + 5 -7 + 3 + 4) = 0
"Ndugu zao katika imani"Wawafikishe mahakamani hao mbwakoko wanaojichukulia sheria mkononi,ingawa hakuna sheria ya kukataza watu kula kipindi cha mfungo,ni vile ujinga umewajaa
Wanajikosha tu hamna kitu hapo,mbona Masai kuondolewa hadhi ya utamaduni wake serikali haikutoa tamko!!
Wachafu sana hawa wala urojo. Hata yule askari FFU ambaye video zake alifukuliwa mtaro zilivuja aliachiwa na kurudishwa kazini.Juzi katikati ya jan kuna wale walikamatwa wanapigana vipande vya nyama ngumu kwenye mapagale wakapelekwa polisi usiku wakaendeleza mchezo huo wakiwa mule mule selo.
Hao jamaa ni wa kipekee sana
π π€£ π πNdiyo ajabu hiyo wanajifanya wacha Mungu huku vinyeo viko wazi kwa luingiliana kinyume cha maumbile.
Huu ni ushahidi kuwa masuala ya imani huchangia sana kuua fikra tunduizi. Na kukosa fikra tunduizi kuna gharama kubwa. Paul na Elder(2009) waliwahi kusema "Shoddy thinking is costly,both in money and in quality of life." Inasikitisha sana.View attachment 2949080
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imehimiza katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kutenda mema na kudumisha amani, umoja na mshikamano miongoni mwa wananchi.
Zanzibar ni nchi yenye historia kongwe ya uvumilivu wa kidini ambapo Uislamu na Ukristo uliingia mapema kuwa sehemu muhimu ya utamaduni uliodumu kwa karne nyingi. Hii inatufundisha kuhusu ustaarabu wa Wazanzibari kuvumiliana kidini na ndio msingi wa mshikamano miongoni mwetu.
Serikali inalaani vitendo vya unyanyasaji vinavyoendelea kufanyika sehemu mbalimbali Zanzibar, kadhia hiyo ni kinyume na misingi ya kuvumiliana katika imani za kidini.
Aidha, Serikali inawahimiza wananchi kujizuia kwa namna yoyote ile kuingilia uhuru wa mtu binafsi katika kuabudu.
Ikumbukwe Zanzibar inaongozwa kwa Katiba, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ina mamlaka ya kullinda Katiba ya nchi na watu wake, hivyo hatua yoyote ile yenye kuhatarisha Umoja, Amani na Mshikamano haitavumiliwa.
Serikali itaendelea kulinda haki na uhuru wa mtu kuabudu kama ilivyoelezwa katika Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.
Hivyo, tuendelee kudumisha amani na upendo kama mafundisho ya dini zetu yanavyotutaka, tofauti zetu za kidini zisiwe chanzo cha kuvuruga amani, umoja na mshikamano.
Shetani hajawahi kuwa mwema..kimsboy jitahidi uwe unatumia akili. Hakuna Katiba ambayo mla hadharani anavunja.
Mkiruhusu watu waishi kama wanyama kujiamua sheria mkononi ni hatari hata kwa dini yenyewe.
Mimi jana nimeshinda sehemu na mafundi. Wamefunga lakini wanatukana kuanzia asubuhi mpaka jioni. Kisha wanaitisha futari wanafuturu.