Zanzibar turudishe heshima yetu, tuige mfano mzuri wa Qatar, pombe ipigwe marufuku kabisa

Unazuia pombe na watu wanatoa line mbili 😃 kuleni tu ngurue
 
Unajua maana ya neno USTA-ARABU na neno KUST-ARABIKA????Mdogo wangu????NA STONE AGE UNAZINGUMIZIA YA UPANDE UPI DUNIANI????MAANA DUNIA KUBWA MDOGO WANGU
Kwa hiyo turudi kutembea uchi basi kwa kuwa kuvaa nguo ni kuiga utamaduni wa kigeni
 
Tulikua Qatar kwenye world cup na kuna club kabisa zinauza pombe.. watu tulikuza henekene za kutosha!

Starehe za wenzio zisikutoe roho mbona wewe mwasherati na hatukusumbui?
 
Z'bar sio Islamic republic
Mnataka hayo,vunjeni muungano sasa
He, hii haihusiani na Uislamu, maadili mema ya kuvaa kwa stara na kuepuka ulevi mbona hata Wakristo wanasisitiza sana hayo?
 
Mbona sio swala la Uislamu, dini nyingi zinakataza pombe na uasherati, hata usipokuwa na dini tu, hutapenda mwanao awe anakunywa pombe au kuvaa bila stara
 
bahati mbaya kwako ni kuwa wanaotakiwa kupiga marufuku ndiyo walevi waliokubuhu zanzibar. wanajificha kw kuvaa kanzu na baraghashia ni hijabu na baibui
Inahitaji kiongozi mmoja jasiri tu,
 
Definition ya stara according na imani yako ndio unayotaka tuu, acha watu wajivalie wanavyotaka as long as wamefunika mbususu zao sio tatizo
Imani yangu unaijua? Ni imani gani inayotaka watu kutembea uchi?
 
Utakuzaje uchumi na watu wasiokuwa na maadili? Yaani una mtu anakunywa pombe hovyo huyo mtu anaweza ku focus kwenye kazi? Mtu asiyekuwa hata na discipline ya kuvaa ndio aje afanye kazi kwa discipline?
 
Marekani ilishawahi kupiga pombe marufuku na sio Islamic republic, nenda kasome.
 
Huna akili ,

Hizi ni picha za watu wakinywa pombe hapo Qatar.


Mlivyo wajinga huwa mnadhani wanaoharibu maadili ya Zanzibar ni wabara Tu Ila wale wazungu waotembea uchi na kunywa pombe hamuwaoni.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…