vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
Ungekuwa Tanzania bara mzee magufuli angetukanwa kila aina ya matusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba flyover zisijengwe hadi kuwe na foleni?Kulazimisha tuu mambo flyover imekua fasheni. Zanzibar kuna foleni gani. Wangeanza kwanza kurekebisha barabara zao nyingi zimechoka
Kulazimisha tuu mambo flyover imekua fasheni. Zanzibar kuna foleni gani. Wangeanza kwanza kurekebisha barabara zao nyingi zimechoka
Bil 270Zanzibar itajenga Flyover Amani na Mwanakwerekwe kwa gharama ya dola $116 million
Source:The Citizen
Traffic lights zingetosha kwa maoni yangu. Halafu barabara kama ile ya Bububu ingeongezwa upana japo kidogo au ikafanywa one way kama wameshindwa kuwalipa waliopo barabaraniKulazimisha tuu mambo flyover imekua fasheni. Zanzibar kuna foleni gani. Wangeanza kwanza kurekebisha barabara zao nyingi zimechoka
Si mjitoe kwani mmezingirwa kenge nyieTuachieni nchi yetu basi, tatizo liko wapi.
Hizo pesa wanatoa wapi hawa vilialiaZanzibar itajenga Flyover Amani na Mwanakwerekwe kwa gharama ya dola $116 million
Source:The Citizen
Bajeti ya nchi ni kiasi gani? Wanapata wapi pesa hiyo?Zanzibar itajenga Flyover Amani na Mwanakwerekwe kwa gharama ya dola $116 million
Source:The Citizen
Kwamba flyover zisijengwe hadi kuwe na foleni?
Kwa jinsi hayo maeneo yalivyo ni sawa na kujenga flyover kijijini. Wameshindwa kuweka traffic lights ndo watajenga flyover?Traffic lights zingetosha kwa maoni yangu. Halafu barabara kama ile ya Bububu ingeongezwa upana japo kidogo au ikafanywa one way kama wameshindwa kuwalipa waliopo barabarani
Hayo magu alikuwa akifanya walisema maendeleo ya vituRais Mwinyi anachapa kazi. Miundombinu ndio kila kitu Barabara, umeme, maji, bandari, viwanja vya ndege, ICT. Ana vipaumbele sahihi vitakavyowanufaisha Wazanzibari wengi.
Mradi wa ujenzi wa barabara za juu (Flyover) katika mkoa wa mjini magharibi kisiwani unguja, unatarajiwa kuanza hivi karibuni baada ya Serekali ya Mapinduzi Zanzibar kupitia katibu mkuu wa wizara ya ujenzi mawasiliano na uchukuzi wa Zanzibar Bi.Khadija Khamis Rajab kusaini mkataba na kampuni ya ujenzi ya CCECC kutoka China.
Traffic lights zingetosha kwa maoni yangu. Halafu barabara kama ile ya Bububu ingeongezwa upana japo kidogo au ikafanywa one way kama wameshindwa kuwalipa waliopo barabarani
Hivi walishaacha haya mambo ya kuning'inia kwenye chai maharage! Hayo madaraja ya juu si yatawamwaga waishe!!