Zanzibar: Unguja kuanza ujenzi wa barabara za juu (Flyover)

Zanzibar: Unguja kuanza ujenzi wa barabara za juu (Flyover)

Hivi huo mkoa mbona unapendelewa sana!
 
Rais Mwinyi anachapa kazi. Miundombinu ndio kila kitu Barabara, umeme, maji, bandari, viwanja vya ndege, ICT. Ana vipaumbele sahihi vitakavyowanufaisha Wazanzibari wengi.
 
Kulazimisha tuu mambo flyover imekua fasheni. Zanzibar kuna foleni gani. Wangeanza kwanza kurekebisha barabara zao nyingi zimechoka
Traffic lights zingetosha kwa maoni yangu. Halafu barabara kama ile ya Bububu ingeongezwa upana japo kidogo au ikafanywa one way kama wameshindwa kuwalipa waliopo barabarani
 
Traffic lights zingetosha kwa maoni yangu. Halafu barabara kama ile ya Bububu ingeongezwa upana japo kidogo au ikafanywa one way kama wameshindwa kuwalipa waliopo barabarani
Kwa jinsi hayo maeneo yalivyo ni sawa na kujenga flyover kijijini. Wameshindwa kuweka traffic lights ndo watajenga flyover?
 
Rais Mwinyi anachapa kazi. Miundombinu ndio kila kitu Barabara, umeme, maji, bandari, viwanja vya ndege, ICT. Ana vipaumbele sahihi vitakavyowanufaisha Wazanzibari wengi.
Hayo magu alikuwa akifanya walisema maendeleo ya vitu
 
Mradi wa ujenzi wa barabara za juu (Flyover) katika mkoa wa mjini magharibi kisiwani unguja, unatarajiwa kuanza hivi karibuni baada ya Serekali ya Mapinduzi Zanzibar kupitia katibu mkuu wa wizara ya ujenzi mawasiliano na uchukuzi wa Zanzibar Bi.Khadija Khamis Rajab kusaini mkataba na kampuni ya ujenzi ya CCECC kutoka China.
1660312922794.png
1660313261835.png
1660313298827.png

1660313342184.png


Hivi walishaacha haya mambo ya kuning'inia kwenye chai maharage! Hayo madaraja ya juu si yatawamwaga waishe!!
 
Traffic lights zingetosha kwa maoni yangu. Halafu barabara kama ile ya Bububu ingeongezwa upana japo kidogo au ikafanywa one way kama wameshindwa kuwalipa waliopo barabarani

Ikiwa wanwaweza kutumia Bilioni 270 kujenga flyover wanashindwaje kuwalipa watu? Hawa jamaa wameshapoteza dira kabisa.
 
Hivi walishaacha haya mambo ya kuning'inia kwenye chai maharage! Hayo madaraja ya juu si yatawamwaga waishe!!​
IMG_20220812_174137.jpg

☝🏾Hii picha ni muda huu hapa Bububu stendi, hiyo chuma inaenda Pwani Mchangani. Hapo imeichapa overtake Convoy 😁!.

Hayawezi kuachwa mkuu, katika mavitu yanayoitangaza Zanzibari hayo madubwasha pia yanapewa kipa_umbele hata kwenye usajili.
 
Back
Top Bottom