Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Huku ndiko wangepelekwa wale traffic police wa KinanaView attachment 2322069
☝🏾Hii picha ni muda huu hapa Bububu stendi, hiyo chuma inaenda Pwani Mchangani.
Hayawezi kuachwa mkuu, katika mavitu yanayoitangaza Zanzibari hayo madubwasha pia yanapewa kipa_umbele hata kwenye usajili.