Wee kima Tanganyika ukihoji tu uhalali wa Muungano wanakuweka ndani halafu tujitoe unafikiria kazi rahisi. This aint no just political matter, this is economic, this is sociological, this is religious. Ingekua Jumbe yuko hai ningekuambia ukamuulize kilichomsibu alipotaka kujitoa kwenye Muungano. Lukuvi pia anakua kwa nn hawataki kutuachia huru.