Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Ahaaa,sio kweli kabisa.Chagu eh , Mwambieni mjomba anazingua. Sasa imebaki Jf tu inayofanya kazi sawa sawa. Kule kutamu hakuna mawasiliano. INABOA SANA.
Huyu si anapendwa na amefanya makubwa mengi , hofu ya nini mpaka twita, YouTube hazifanyi kazi ?!.
Si ajabu hata Jf nayo itazingua . Haya mambo hatuyapendi.
Acha propaganda kijinga hivi. Unajua risasi iliyoua? Tii sheria bila shuruti. Waambie na wenzakoALERT [emoji599]: Waliouawa Zanzibar Wafikia Tisa (9)
Mwananchi mwengine mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na Vyombo vya Dola Zanzibar, aliyeuawa ni Omar Juma Mohammed wa Mwembe Makumbi, Unguja.
Kuuawa kwa Omar kunafanya idadi ya waliouawa tangu Jana kufikia 9
#ZanzibarLivesMatter
Ujinga tu.ALERT [emoji599]: Waliouawa Zanzibar Wafikia Tisa (9)
Mwananchi mwengine mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi na Vyombo vya Dola Zanzibar, aliyeuawa ni Omar Juma Mohammed wa Mwembe Makumbi, Unguja.
Kuuawa kwa Omar kunafanya idadi ya waliouawa tangu Jana kufikia 9
#ZanzibarLivesMatter
Hujaenda tu porini? Simba wanahamu na wewe!Magufuli kakigeuza Kisiwa cha Karafuu kuwa "Darfur"
Sasa kama ni jino kwa jino kwa nini ulalamike?Hata Mabeyo na Sirro wahamishie Vijiwe vyao Zanzibar ACT wazalendo wamesema ni JINO kwa JINO
Porini Zanzibar kuna Komba tu au wewe ni Muhutu mwenzie huijui hata NchiHujaenda tu porini? Simba wanahamu na wewe!
Tii sheria bila shuruti
Risasi ambayo haijatumika itauaje?
Chadema acheni siasa chafu
Kumbuka lengo la Leo lilikuwa wasilete wapigakura hewa na ni Watu wachache sana waliopiga kura VICTORY IS OURSSasa kama ni jino kwa jino kwa nini ulalamike?
Angalia ITV...
Wewe ndo yule "Elly Mayanga" unaetishia kuwachoma watu sindano za sumu? [emoji90] [emoji90]Hai
mbona ww hujafa kwann wao ndio wafe? tumia akili vizuri, hao ni wajinga
Kweli mimi ni Muhutu karibu nyumbani mkuu.Porini Zanzibar kuna Komba tu au wewe ni Muhutu mwenzie huijui hata Nchi
Kwahiyo mlivyokuwa mnawapiga mawe askari mlitaka wawageuzie na shavu la kushoto!? Si ndio?Mahakama zinamuogopa Magufuli Polisi wanamuogopa Magufuli Wanajeshi wanamuogopa Magufuli sasa sisi wananchi tukimbilie wapi wakati anatuua?
Je, tukiingia Msituni na kuanza harakati nani wa kulaumiwa?
WEWEMahakama zinamuogopa Magufuli Polisi wanamuogopa Magufuli Wanajeshi wanamuogopa Magufuli sasa sisi wananchi tukimbilie wapi wakati anatuua?
Je, tukiingia Msituni na kuanza harakati nani wa kulaumiwa?
Kwahivo Askari wakiwa upande wa HAKI nani atawarushia mawe?Kwahiyo mlivyokuwa mnawapiga mawe askari mlitaka wawageuzie na shavu la kushoto!? Si ndio?
ACT na CHADEMA.Kwahivo Askari wakiwa upande wa HAKI nani atawarushia mawe?
ACT na CHADEMA.
MAGUFULI4LIFE.
Kwa hiyo wewe ni mtoto wa mungu pumbavu kabisa.Mkuu umechanganyikiwa nini, Inabidi jamii forum wakufunguie leo leo kwa kuzalilisha watoto wa Mungu. Kwa jina la Yesu naomba moods wakufungie