Zanzibar: Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba - Sept 2016: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri

Zanzibar: Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba - Sept 2016: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri

Hatishii. Anawatahadharidha wale wote wanaofikiria watachezea amani ya nchi hii. Unawakumbuka UKUTA? Waliweka mpira kwapani dakika za mwisho baada ya kumwelewa.
Wanatishia amani kivipi wanataka kulipuwa mabomu au maana bado sijaelewa wanatishiaje amani ya nchi.
 
Hizi hotuba mimi sijawahi sikia mubashara,yanayoonekana kwenye uzi ni hotuba au uzushi wa JF?kumlisha rais maneno
 
Ngoja nisome maoni ya Watanzania wenzangu. Maana hapa giza na mbele giza.
 
Kwenye hili la Seif Sharif kuwadanganya CUF nakubaliana nae,,yaani jamaa kazunguuka huko hadi leo hana la maana
 
Japo amenitoka rohoni kiasi fulani, ila namsikiliza hapa anavoongea ananichekesha sana. Taratibu nadhani akiendelea kutoa hotuba zake kwa wananchi nadhani wanaweza kuanza kumuelewa.

Rais ana maneno ya mizaha aisee hahahaha.... Eti mfano mwanaume anaota usiku una.... amesita kumalizia baada ya kujua yupo Pemba sijui alitaka kusema nini? 😛😛😛
Nilitaka kuandika kitu ila ngoja nitulie
 
Japo amenitoka rohoni kiasi fulani, ila namsikiliza hapa anavoongea ananichekesha sana. Taratibu nadhani akiendelea kutoa hotuba zake kwa wananchi nadhani wanaweza kuanza kumuelewa.

Rais ana maneno ya mizaha aisee hahahaha.... Eti mfano mwanaume anaota usiku una.... amesita kumalizia baada ya kujua yupo Pemba sijui alitaka kusema nini? 😛😛😛
We ndiyo unaliona leo, mimi nilishaliona zamani kuwa ana matani/mizaha... ya matairi ya magari, elfu tano za polisi kubrush viatu, kufyatua etc. Ila nikashtuka aliposema hakuna mikutano, na akawa hatanii (nilidhani ni utani wake), hapo nikaanza kufikiri tena tofauti na mtazamo wa utani!
 
Najuuta najuta kumpa kura yangu huyu jamaa.natamani uchaguzi uitishwe hata kesho .ameniboa kuliko maelezo yani.
 
Huyu jamaa ananitia hasira sana haswa juu ya jecha,tumwogope mungu
 
Ukawa na wapinzani uchwara.. Wapinzani mara nyingi wanapenda kuongea kauli za uchochezi.. Kumbuka kipindi kile Mbowe Mwaka 2015 alikua anasema nchi itawaka Moto, uchaguzi usipofanyika October.. Lakini wapinzani wenzake hawakukosoa..

Au utasikia mara nyingi oooh wananchi wasipokua huru kukosoa itakua kama Libya, pamoja na kupewa kila Kitu..


Lakini kauli hizi zikitolewa na serikali kua... Amani ni muhimu, tusichezee amani yetu kama watu wa Libya.. Upinzani utasikia, serikali inatisha wananchi
 
Back
Top Bottom