Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAPA KAZI TU!,,,,,,,,kwi ! kwi ! kwi ! kwi ! kwi !
Tulia mjomba ulinitukana sana wakati wa kampeni ,soma namba kidogo ,ccm mbele kwa mbeleNajuuta najuta kumpa kura yangu huyu jamaa.natamani uchaguzi uitishwe hata kesho .ameniboa kuliko maelezo yani.
Mkuu naomba unisamehe sana.sikujuwa kama huyu jamaa yuko hivi.ni bora ningempigia hata Hashim Rungwe.Tulia mjomba ulinitukana sana wakati wa kampeni ,soma namba kidogo ,ccm mbele kwa mbele
Mkuu nilisha kusamehe siku nyingi ,wacha tuumie tu wote sasa hivi hamna namnaMkuu naomba unisamehe sana.sikujuwa kama huyu jamaa yuko hivi.ni bora ningempigia hata Hashim Rungwe.
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Magufuli asipoandikiwa hotuba na wenye busara, yuko mbioni kuliingiza taifa hili kwenye machafuko makubwa!
Hivi JECHA ni wa kumsifia?
Cha kushangaza huwa anasema tumuombee? Kweli utathubutu kwenda mbele za MUNGU kwa ajili ya MAGUFULI anayeona JECHA yuko sawa?
Taifa linaangamia!
[emoji14]!
!
hakawii kutoa boko. Nimeanza kutilia shaka takwimu zooote alizokuwa anajidai anatoa kichwani kipindi akiwa waziri.
Watanzania wana akili sn miaka hii.Bahati mbaya huwa hasemi aina ya maombi anayohitaji aombewe, labda anaposema aombewe anahitaji maombi ya kumuongoza kufanya sala ya toba.
Raisi wa ccm periodSheria ya uchaguzi ukishachaguliwa unakuwa kiongozi wa wote waliokupa kura na waliokunyima kura! Mbunge,diwani,na raisi wakishashinda uchaguzi wanakuwa viongozi wa wote bila kujali ulimpa kura au hukumpa.Hapo hata kama pemba nzima hawakumpa kura huyo ndio raisi.Raisi hawezi kuwa Seif WALA lowasa.
Kutakua na ukweli hapo mbn povu jingi tulia ikuingie vizur mamb ya mh. kunanii haivumilk
Analopoka baba ako ambaye alikuzaa kwa bahati mbaya mfyuu ww
Uchochezi kwa wananchi tu yeye above the LawHotuba ya Magufuli kwa Wazanzibar ilikua inachochea chuki kwa wazanzibari