Zanzibar: Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba - Sept 2016: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri

Zanzibar: Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba - Sept 2016: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri

Kwa bahati mbaya, jana sikupata fursa ya kufuatilia ziara ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano huko kisiwani Pemba!! Kutokana na hilo, leo nikaamua kuperuzi peruzi hapa JF na kukutana na quote ifuatayo kutoka kwa member aliyekuwa analeta updates:



Binafsi nashindwa kuamini ikiwa ni kweli hayo yamesemwa na Mheshimiwa Rais ingawaje nikipata fursa nitataza video! Sitaki kuamini ikiwa hiyo ni kauli ya Rais aliyechaguliwa kidemokrasia kwenye sanduku la kura... sitaki kuamini! Sasa ikiwa ni kweli mtu ameshindikana na Mheshimiwa Shein; yeye Mheshimiwa JPM atamfanya nini huyo mtu ndani ya hizo dakika 5?! Ni wapi tunaelekea kwenye hili taifa?! Mbona ikiwa mambo yenyewe kama ndo haya mbona hayo magereza yenu hayatatosha kufunga "wachochezi"?

Nafahamu wapo wanaofurahia na kushadadia kauli kama hizi lakini mnapaswa kufahamu fika kwamba; wote nyinyi hata kama mna kadi za CCM bado ni vidampa tu mbele ya yule Kingunge Ngombale Mwiru wa CCM!! Hata kama mna kadi tangia enzi za TANU, wote nyinyi ni vidampa tu mbele ya mtu kama Lowassa au Fredrick Sumaye wa enzi za CCM! Na si ajabu, ni vidampa hata mbele ya mtu kama Lawrence Masha aliyepata kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchi hii!!

Hii maana yake nini? Usidhani vitisho kama hivi wewe havikuhusu kwa sababu tu wewe ni kada wa CCM! Kama ndivyo unavyodhani, basi uelewa wako ni mdogo kupitiliza! Nimewataja hapo akina Kingunge ambao miezi 30 tu iliyopita wangedhani kauli za vitisho kama hizo zingewahusu! Je, mtu kama Lowassa ambae hapo kabla angedhani kauli kama hiyo haimuhusu leo anaweza kudiriki kusema hivyo? Who are ndani ya CCM compared to Kingunge Ngombale Mwiru? Ingawaje Kingunge ameetoka CCM; hivi unaamini vigogo kama Mzee Mwinyi au Pius Msekwa anaweza kukuamini kada wewe ambae kuliko Mzee Kingunge?!

Endeleeni kufurahia kauli za kutisha kama hizi lakini kaa mkifahamu hili si la mmoja! Wakati inapitishwa Sheria y Mitandao niliamini kwamba hainihusu kwa kile nilichoamini nikiwa na kauli yangu timamu siwezi kuingia online na kuanza kutukana watu hovyo, kuanza ku-post picha za utupu n.k! I swear to God, niliamini hainihusu kabisa na hata hapa niliwahi kuandika kwamba "A black cat may be a bad lucky only if you're mouse!" Lakini leo hii hakuna sheria ninayoigopa kwenye hii nchi kama sheria ya mitandao ambayo, practically imebadilika kutoka Sheria ya Mitandao to Sheria Ya Kubana Maoni!

Ajabu ni kwamba, utakuta wengi wanaoshabikia kauli kama hizi hapa JF ni vijana wadogo wengine wakiwa below 30. Don't be stupid, you've a very long way to go!! Hilo hilo unaloshabikia leo wakati hata direction ya maisha yako haija-ssettle ndio hilo hilo litakalokutafuna kesho kwenye harakati zako za kimaisha!

Ikiwa kupinga kauli ya Rais ni UCHOCHEZI, am ready to face consequences lakini kauli hiyo ya Rais haileti picha nzuri kutoka mdomoni mwa Rais aliyechaguliwa kwa sanduku la kura. Haipendezi kutoka mdomoni mwa Commanding In Chief ambae Majeshi ya Ulinzi na Usalama yapo chini yake!

MUNGU IBARIKI TANZANIA.

Hawa watu kule kwao wanaishije?
Anthropology- Wakikubabikizia mchawi? Hata ukiwa na sura ya kutisha
Sasa ukiwa na nyenzo unaweza kufanya nini?
 
Hao wote unaowasifia ni bure kabisa.Mtu anayekijua chama hawezi hama chama hata siku moja.Huwezi acha mbachao kwa msala upitao.Kuna kitu kinaitwa CONSISTENCY katika mambo ya Party struggle.Unakipagania chama jua liwake,mvua inyeshe.Mtu anayekijua chama vizuri atasimama nacho milimani na mabondeni,kwenye vita na kwenye raha.Hao walioomna vita imekolea wakatimua hawana misimamo si askari wazuri wa chama chochote.Hata huko waweza watoroka wakaenda chama kingine au kurudi CCM sababu ni watu ambao huvunjika moyo upesi wakiona vita nzito.

Tuliobaki CCM ni chuma cha pua.Hao wote unaowasifia hawana hamu na sisi.Sisi Ni wapigania chama wasiochoka wala kusinzia tulipwe ,tusilipwe tuko na CCM yetu TUKIIPIGANIA MCHANA na usiku ili nchi iendelee kuwa na amani na utulivu na wasioitakia mema kuhakikisha hawashiki Nchi hii kwa jinsi yeyote ile iwayo.

Tunaipigania CCM sababu tunaamini kuwa ndicho chama ambacho kina uwezo wa kusimamia maslahi ya walio wengi katika nchi hii tofauti na vyama vingine ambavyo mlengo mkuu ni kusimamia maslahi ya wachache.
Kinadharia inawezekana ukakifahamu chama nje ndani lakini hata wewe mwenyewe unafahamu deep inside your heart huwezi kujilinganisha na Mzee Kingunge wala Lowassa wala Sumaye!! Na wakati wote wala si lazima utoke kwenye chama alivyotoka Lowassa au Kingunge... hivi hata wewe ingeweza kukuingia akilini kwamba Dr. Slaa leo hii angeweza kuwa target ya shombo za mashabiki wa CHADEMA? This's politics jombaa!
 
Kwa bahati mbaya, jana sikupata fursa ya kufuatilia ziara ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano huko kisiwani Pemba!! Kutokana na hilo, leo nikaamua kuperuzi peruzi hapa JF na kukutana na quote ifuatayo kutoka kwa member aliyekuwa analeta updates:



Binafsi nashindwa kuamini ikiwa ni kweli hayo yamesemwa na Mheshimiwa Rais ingawaje nikipata fursa nitataza video! Sitaki kuamini ikiwa hiyo ni kauli ya Rais aliyechaguliwa kidemokrasia kwenye sanduku la kura... sitaki kuamini! Sasa ikiwa ni kweli mtu ameshindikana na Mheshimiwa Shein; yeye Mheshimiwa JPM atamfanya nini huyo mtu ndani ya hizo dakika 5?! Ni wapi tunaelekea kwenye hili taifa?! Mbona ikiwa mambo yenyewe kama ndo haya mbona hayo magereza yenu hayatatosha kufunga "wachochezi"?

Nafahamu wapo wanaofurahia na kushadadia kauli kama hizi lakini mnapaswa kufahamu fika kwamba; wote nyinyi hata kama mna kadi za CCM bado ni vidampa tu mbele ya yule Kingunge Ngombale Mwiru wa CCM!! Hata kama mna kadi tangia enzi za TANU, wote nyinyi ni vidampa tu mbele ya mtu kama Lowassa au Fredrick Sumaye wa enzi za CCM! Na si ajabu, ni vidampa hata mbele ya mtu kama Lawrence Masha aliyepata kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchi hii!!

Hii maana yake nini? Usidhani vitisho kama hivi wewe havikuhusu kwa sababu tu wewe ni kada wa CCM! Kama ndivyo unavyodhani, basi uelewa wako ni mdogo kupitiliza! Nimewataja hapo akina Kingunge ambao miezi 30 tu iliyopita wangedhani kauli za vitisho kama hizo zingewahusu! Je, mtu kama Lowassa ambae hapo kabla angedhani kauli kama hiyo haimuhusu leo anaweza kudiriki kusema hivyo? Who are ndani ya CCM compared to Kingunge Ngombale Mwiru? Ingawaje Kingunge ameetoka CCM; hivi unaamini vigogo kama Mzee Mwinyi au Pius Msekwa anaweza kukuamini kada wewe ambae kuliko Mzee Kingunge?!

Endeleeni kufurahia kauli za kutisha kama hizi lakini kaa mkifahamu hili si la mmoja! Wakati inapitishwa Sheria y Mitandao niliamini kwamba hainihusu kwa kile nilichoamini nikiwa na kauli yangu timamu siwezi kuingia online na kuanza kutukana watu hovyo, kuanza ku-post picha za utupu n.k! I swear to God, niliamini hainihusu kabisa na hata hapa niliwahi kuandika kwamba "A black cat may be a bad lucky only if you're mouse!" Lakini leo hii hakuna sheria ninayoigopa kwenye hii nchi kama sheria ya mitandao ambayo, practically imebadilika kutoka Sheria ya Mitandao to Sheria Ya Kubana Maoni!

Ajabu ni kwamba, utakuta wengi wanaoshabikia kauli kama hizi hapa JF ni vijana wadogo wengine wakiwa below 30. Don't be stupid, you've a very long way to go!! Hilo hilo unaloshabikia leo wakati hata direction ya maisha yako haija-ssettle ndio hilo hilo litakalokutafuna kesho kwenye harakati zako za kimaisha!

Ikiwa kupinga kauli ya Rais ni UCHOCHEZI, am ready to face consequences lakini kauli hiyo ya Rais haileti picha nzuri kutoka mdomoni mwa Rais aliyechaguliwa kwa sanduku la kura. Haipendezi kutoka mdomoni mwa Commanding In Chief ambae Majeshi ya Ulinzi na Usalama yapo chini yake!

MUNGU IBARIKI TANZANIA.


Mwanzo wa ngoma ni lele! Dalili ya mvua ni mawingu! Na panapofuka moshi panaficha moto!!!!!! Tafakari.
 
Huyu ndo aina ya rais niliyemtazamia kwa miaka zaid ya 20


Acha tubatizwe kwa moto maji hayana baraka tena
Wapenzi wa nchi hii wanamtaka walikuwa wanamtazimia Rais atakayeiweka mipango ya kutokomeza umaskini in action na sio rais anayetoa vitisho kwa wananchi wake! Vitisho haviwezi kuleta ugali mezani! Vitisho haviwezi kupandisha thamani ya shilingi yetu inayoendelea kushuka kila uchao! Vitisho haviwezi kukifanya University of Dar es salaam kuwa among the top universities in Africa! Vitisho havina hata ubavu wa kuleta andazi moja mlangoni pako!
 
Msipende kutafsiri vitu negative jaribu na positive. Unajua Rais WETU hapendi UJINGA kama mtu hawezi kufanya kazi anavyo paswa akigundulika kwake huwa DAKIKA TANO NI NYINGI Kutake action na sio kupoteza muda . Tulikuwa mbali tunapaswa kunyooka.hii ni.faida kwa watoto wetu
 
Maneno kibaoo utafikiri unafunda mwari ngomani au upo kichen party vile! kama we ni mwanaume ingia barabarani , yaani wewe kwenye hotuba yote umeliona hilo tu? nyie ndio propanda machines
Ni kiumbe unaepaswa kupuuzwa!
 
Kwa bahati mbaya, jana sikupata fursa ya kufuatilia ziara ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano huko kisiwani Pemba!! Kutokana na hilo, leo nikaamua kuperuzi peruzi hapa JF na kukutana na quote ifuatayo kutoka kwa member aliyekuwa analeta updates:



Binafsi nashindwa kuamini ikiwa ni kweli hayo yamesemwa na Mheshimiwa Rais ingawaje nikipata fursa nitataza video! Sitaki kuamini ikiwa hiyo ni kauli ya Rais aliyechaguliwa kidemokrasia kwenye sanduku la kura... sitaki kuamini! Sasa ikiwa ni kweli mtu ameshindikana na Mheshimiwa Shein; yeye Mheshimiwa JPM atamfanya nini huyo mtu ndani ya hizo dakika 5?! Ni wapi tunaelekea kwenye hili taifa?! Mbona ikiwa mambo yenyewe kama ndo haya mbona hayo magereza yenu hayatatosha kufunga "wachochezi"?

Nafahamu wapo wanaofurahia na kushadadia kauli kama hizi lakini mnapaswa kufahamu fika kwamba; wote nyinyi hata kama mna kadi za CCM bado ni vidampa tu mbele ya yule Kingunge Ngombale Mwiru wa CCM!! Hata kama mna kadi tangia enzi za TANU, wote nyinyi ni vidampa tu mbele ya mtu kama Lowassa au Fredrick Sumaye wa enzi za CCM! Na si ajabu, ni vidampa hata mbele ya mtu kama Lawrence Masha aliyepata kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchi hii!!

Hii maana yake nini? Usidhani vitisho kama hivi wewe havikuhusu kwa sababu tu wewe ni kada wa CCM! Kama ndivyo unavyodhani, basi uelewa wako ni mdogo kupitiliza! Nimewataja hapo akina Kingunge ambao miezi 30 tu iliyopita wangedhani kauli za vitisho kama hizo zingewahusu! Je, mtu kama Lowassa ambae hapo kabla angedhani kauli kama hiyo haimuhusu leo anaweza kudiriki kusema hivyo? Who are ndani ya CCM compared to Kingunge Ngombale Mwiru? Ingawaje Kingunge ameetoka CCM; hivi unaamini vigogo kama Mzee Mwinyi au Pius Msekwa anaweza kukuamini kada wewe ambae kuliko Mzee Kingunge?!

Endeleeni kufurahia kauli za kutisha kama hizi lakini kaa mkifahamu hili si la mmoja! Wakati inapitishwa Sheria y Mitandao niliamini kwamba hainihusu kwa kile nilichoamini nikiwa na kauli yangu timamu siwezi kuingia online na kuanza kutukana watu hovyo, kuanza ku-post picha za utupu n.k! I swear to God, niliamini hainihusu kabisa na hata hapa niliwahi kuandika kwamba "A black cat may be a bad lucky only if you're mouse!" Lakini leo hii hakuna sheria ninayoigopa kwenye hii nchi kama sheria ya mitandao ambayo, practically imebadilika kutoka Sheria ya Mitandao to Sheria Ya Kubana Maoni!

Ajabu ni kwamba, utakuta wengi wanaoshabikia kauli kama hizi hapa JF ni vijana wadogo wengine wakiwa below 30. Don't be stupid, you've a very long way to go!! Hilo hilo unaloshabikia leo wakati hata direction ya maisha yako haija-ssettle ndio hilo hilo litakalokutafuna kesho kwenye harakati zako za kimaisha!

Ikiwa kupinga kauli ya Rais ni UCHOCHEZI, am ready to face consequences lakini kauli hiyo ya Rais haileti picha nzuri kutoka mdomoni mwa Rais aliyechaguliwa kwa sanduku la kura. Haipendezi kutoka mdomoni mwa Commanding In Chief ambae Majeshi ya Ulinzi na Usalama yapo chini yake!

MUNGU IBARIKI TANZANIA.

Umeandika maneno mengi sana lakini hujaweza kuonesha unachotaka kusema.
 
Msipende kutafsiri vitu negative jaribu na positive. Unajua Rais WETU hapendi UJINGA kama mtu hawezi kufanya kazi anavyo paswa akigundulika kwake huwa DAKIKA TANO NI NYINGI Kutake action na sio kupoteza muda . Tulikuwa mbali tunapaswa kunyooka.hii ni.faida kwa watoto wetu
You're right! Je, kwa hayo unayosema Rais wetu ana mamlaka nalo ndani ya Zanzibar?! Let's assume Mtendaji X SMZ amevurunda na Shein anamfanyia muhari! Je, JPM ana mamlaka ya kumtumbua huyo mtu?!
 
Nitakuuliza kwa ufupi tu...wewe ulitaka Rais aseme nini kwa wale wanaochochea vurugu, wasaliti na wahaini???
Watiwe hatiani kwa hayo makosa kinyume chake tuache porojo
 
Hao wote unaowasifia ni bure kabisa.Mtu anayekijua chama hawezi hama chama hata siku moja.Huwezi acha mbachao kwa msala upitao.Kuna kitu kinaitwa CONSISTENCY katika mambo ya Party struggle.Unakipagania chama jua liwake,mvua inyeshe.Mtu anayekijua chama vizuri atasimama nacho milimani na mabondeni,kwenye vita na kwenye raha.Hao walioomna vita imekolea wakatimua hawana misimamo si askari wazuri wa chama chochote.Hata huko waweza watoroka wakaenda chama kingine au kurudi CCM sababu ni watu ambao huvunjika moyo upesi wakiona vita nzito.

Tuliobaki CCM ni chuma cha pua.Hao wote unaowasifia hawana hamu na sisi.Sisi Ni wapigania chama wasiochoka wala kusinzia tulipwe ,tusilipwe tuko na CCM yetu TUKIIPIGANIA MCHANA na usiku ili nchi iendelee kuwa na amani na utulivu na wasioitakia mema kuhakikisha hawashiki Nchi hii kwa jinsi yeyote ile iwayo.

Tunaipigania CCM sababu tunaamini kuwa ndicho chama ambacho kina uwezo wa kusimamia maslahi ya walio wengi katika nchi hii tofauti na vyama vingine ambavyo mlengo mkuu ni kusimamia maslahi ya wachache.
Na hapa Ndio watanzania au nchi za kiafrica nyingi tunapofeli... Hata Mh Rais husisitiza anataka wazalendo kwanza na sio wapigania chama tunahitaji wapigania Tanzania... Kwa uliyoyaongea yaonesha hata kitokee kibaya vip as long kimefanywa na ccm hutakuja kukosoa sababu atayekosoa na kupishana nacho hakijui chama na hapiganii chama.... So sad
 
Nimeisikiliza hotuba nzima kwa kituo. Kuna mambo aliyotaka kuongelea, pengine kwa kutokuwa mwanasiasa na mwanadiplomasia akajikuta amekwenda nje ya mstari.

Dhana nzima ya ziara yake inaonekana kama kutuliza hali baada ya Rais wa ZNZ 'kuelemewa' na matatizo ya ZNZ yanayogawa wananchi, mtu na mtu na mtaa na mtaa

Nilichokibaini katika hotuba yake
Kwanza, lugha ya mimi ndiye Rais si ya kidiplomasia, au tuseme ya kiungwana kwa lugha ya kwetu .Sikuwahi kumsikia kiongozi Nyerere ( miaka 23) akitumia neno 'mimi Rais'

Hata waliomfuata wametumia neno 'sisi'. Maana yake ni kuwa Urais ni taasisi inayoongozwa na Rais. Popote alipo haihitaji kutambuliwa, uwepo wake tu unamtambua. Katika mikutano Rais huongea kwa wingi akimaanisha taasisi nzima yeye akiwa kiongozi

Lugha ya mimi ni Rais inaonyesha aina Fulani ya majivuno, huku pwani na kule kwetu Tanga wanatumia neno 'kibri' ambalo si tusi bali kuonyesha 'undava'.

Pili, ameongea kwa kusema yeye ni Rais wa wote, alitegemea kusikika na wote.

Lugha ya 'fuga madevu'' au kauli kama 'wamejificha Dar' ambazo hazina ithbati ni aina ya mipasho ambayo Rais wa wote hawezi kuitumia

Tatu, inaonekana kati kati ya hotuba na mwisho alipoteza maana halisi ya ziara.

Akageuza hotuba kama sehemu ya kutisha na kuogofya watu.

Hili linachochea hasira kwa wale ambao pengine walikuwa tayari kurudisha nyoyo zao

Nne, kunukuu katiba ya ZNZ kwa kipengele tofauti na hali ilivyokuwa kinaleta usumbufu

Anasema Jecha allirudia uchaguzi kwa mujibu wa kipengele alichokisema.
Kipengele kinaongelea uhuru wa tume ya uchaguzi na si marudio ya uchaguzi wa jumla

Tano, kumsifia Jecha na kwamba apewe tuzo, wakati wengi wanamuona ni chanzo kunapapalia ghadhabu bila sababu.Rais ataunganishaje watu katika hali kama hiyo ?

Mwisho, amenongelea ajira za vijana. Lakini ni vijana hao ndio wanaolalamika kuhusu kuminywa kwa haki i, si wazee. Hapa anaongea lugha tofauti na vijana

Ikumbukwe, hata kiongozi aliyepata watu 10,000 katika uchaguzi, mtu huyo ana command na sehemu ya jamii,anahitaji heshima. Vipi aliyepata nusu au Zaidi ya hapo ?

Bado tunarudi kule kule, kwamba washauri wamsaidie asome hotuba.

Hiyo itamwepusha na kauli tata na pengine zinazochochea badala ya kupooza hali hata kama nia ni njema

JokaKuu
Una milioni 7 mkuu?
 
Back
Top Bottom