Zanzibar: Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba - Sept 2016: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri

Zanzibar: Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba - Sept 2016: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri

'Mlivyokuwa Wajinga mkamkanyaga Mh. Mbarawa kwenye Uchaguzi sasa na Mimi kwa kuwaonesha nimekusanyaWizara Nyeti tatu nikamkabidhi aziongoze'-Mtu wa Watu

Mie napenda sana hotuba za Mh. Rais Magufuli kwa kuwa znatoka Moyoni kwake kabisa, Msema kweli ni Mpenzi wa Mungu.

Hotuba za Jakaya nyingi zilikuwa anasoma Jakaya Mwenyewe baada ya January Makamba kuzihariri na kuhariri
sasa anamkomoa nani huyo Mbarawa hakuwahi kuwasaidia chochote Wapemba
 
Kwa bahati mbaya, jana sikupata fursa ya kufuatilia ziara ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano huko kisiwani Pemba!! Kutokana na hilo, leo nikaamua kuperuzi peruzi hapa JF. Kitu ambacho kimenishitua sana kama sio kunitisha ni kauli ya Mheshimwa Rais JPM aliyomwambia Mheshimiwa Dk. Shein. Hii ndio kauli ya JPM ambayo imenishitua kwa kweli:
....Upande wa Zanzibar, amechaguliwa mzee wetu Dk. Shein, hakuna atakayeingia mwingine. Nataka niwaeleze ukweli. Huyu ndie rais... mpaka miaka 5. Kwahiyo choma karafuu, choma mitumbwi... choma hata samaki umle... HUYU NDIYE RAIS. Na mimi nataka nikueleze Mheshimiwa Dk. Shein. Wewe ndie rais. Inawezekana umekuwa mpole sana kidogo. Hebu huo upole upole kidogo uweke pembeni. Ufanye kazi kwa niaba ya Watanzania hawa. Na mimi nataka nikuhakikishie Mheshimiwa Dk. Shein. Una support yangu yote. Atakayekuchezea chezea ukiona umemushindwa... niambie mimi hata kwa kuninong'oneza. Kwamba, mzee, nataka hapa ujaribu kidogo. Hazitapita hata dakika 5.

Binafsi nashindwa kuamini ikiwa Rais aliyechaguliwa kupitia sanduku la kura, bado anaweza kuwa na kauli kali na ya vitisho namna hiyo!! Sasa ikiwa ni kweli mtu ameshindikana na Mheshimiwa Shein; yeye Mheshimiwa JPM atamfanya nini huyo mtu ndani ya hizo dakika 5?! Hapa lazima niwe na hofu kwavile JPM ni Commanding In Chief na majeshi yote yapo chini yake! Ni wapi tunaelekea kwenye hili taifa?! Mbona ikiwa mambo yenyewe kama ndo haya mbona hayo magereza yenu hayatatosha kufunga "wachochezi"?

Nafahamu wapo wanaofurahia na kushadadia kauli kama hizi huku wakidhani haziwahusu!! Pamoja na yote hayo, mnapaswa kufahamu fika kwamba; wote nyinyi hata kama mna kadi za CCM bado ni vidampa tu mbele ya yule Kingunge Ngombale Mwiru wa CCM!! Hata kama mna kadi tangia enzi za TANU, wote nyinyi ni vidampa tu mbele ya mtu kama Lowassa au Fredrick Sumaye wa enzi za CCM! Na si ajabu, ni vidampa hata mbele ya mtu kama Lawrence Masha aliyepata kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchi hii!!

Hii maana yake nini? Usidhani vitisho kama hivi wewe havikuhusu kwa sababu tu wewe ni kada wa CCM! Kama ndivyo unavyodhani, basi uelewa wako ni mdogo kupitiliza! Nimewataja hapo akina Kingunge ambao miezi 30 tu iliyopita nao wangedhani kauli za vitisho kama hizo haziwahusu! Je, mtu kama Lowassa ambae hapo kabla angedhani kauli kama hiyo haimuhusu leo anaweza kudiriki kusema hivyo? Who are you ndani ya CCM compared to Kingunge Ngombale Mwiru? Ingawaje Kingunge ametoka CCM; hivi unaamini vigogo kama Mzee Mwinyi au Pius Msekwa anaweza kukuamini kada wewe kuliko Mzee Kingunge?!

Endeleeni kufurahia kauli za vitisho kama hizi lakini kaa mkifahamu hili si la mmoja! Wakati inapitishwa Sheria y Mitandao niliamini kwamba hainihusu kwa kile nilichoamini nikiwa na akili yangu timamu siwezi kuingia online na kuanza kutukana watu, kuanza ku-post picha za utupu n.k! I swear to God, niliamini hainihusu kabisa na hata hapa niliwahi kuandika kwamba "A black cat may be a bad lucky only if you're mouse!" Lakini leo hii hakuna sheria ninayoiogopa kwenye hii nchi kama sheria ya mitandao ambayo, practically imebadilika kutoka kuwa Sheria ya Mitandao to Sheria Ya Kubana Maoni!

Ajabu ni kwamba, utakuta wengi wanaoshabikia kauli kama hizi hapa JF ni vijana wadogo wengine wakiwa below 30. Don't be stupid, you've a very long way to go!! Hilo hilo unaloshabikia leo wakati hata direction ya maisha yako haija-settle ndio hilo hilo litakalokutafuna kesho kwenye harakati zako za kimaisha!

Ikiwa kupinga kauli ya Rais ni UCHOCHEZI, am ready to face consequences lakini kauli hiyo ya Rais haileti picha nzuri kutoka mdomoni mwa Rais aliyechaguliwa kwa sanduku la kura. Haipendezi kutoka mdomoni mwa Commanding In Chief ambae Majeshi ya Ulinzi na Usalama yapo chini yake!

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Kwa bahati mbaya, jana sikupata fursa ya kufuatilia ziara ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano huko kisiwani Pemba!! Kutokana na hilo, leo nikaamua kuperuzi peruzi hapa JF na kukutana na quote ifuatayo kutoka kwa member aliyekuwa analeta updates:



Binafsi nashindwa kuamini ikiwa ni kweli hayo yamesemwa na Mheshimiwa Rais ingawaje nikipata fursa nitataza video! Sitaki kuamini ikiwa hiyo ni kauli ya Rais aliyechaguliwa kidemokrasia kwenye sanduku la kura... sitaki kuamini! Sasa ikiwa ni kweli mtu ameshindikana na Mheshimiwa Shein; yeye Mheshimiwa JPM atamfanya nini huyo mtu ndani ya hizo dakika 5?! Ni wapi tunaelekea kwenye hili taifa?! Mbona ikiwa mambo yenyewe kama ndo haya mbona hayo magereza yenu hayatatosha kufunga "wachochezi"?

Nafahamu wapo wanaofurahia na kushadadia kauli kama hizi lakini mnapaswa kufahamu fika kwamba; wote nyinyi hata kama mna kadi za CCM bado ni vidampa tu mbele ya yule Kingunge Ngombale Mwiru wa CCM!! Hata kama mna kadi tangia enzi za TANU, wote nyinyi ni vidampa tu mbele ya mtu kama Lowassa au Fredrick Sumaye wa enzi za CCM! Na si ajabu, ni vidampa hata mbele ya mtu kama Lawrence Masha aliyepata kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchi hii!!

Hii maana yake nini? Usidhani vitisho kama hivi wewe havikuhusu kwa sababu tu wewe ni kada wa CCM! Kama ndivyo unavyodhani, basi uelewa wako ni mdogo kupitiliza! Nimewataja hapo akina Kingunge ambao miezi 30 tu iliyopita wangedhani kauli za vitisho kama hizo zingewahusu! Je, mtu kama Lowassa ambae hapo kabla angedhani kauli kama hiyo haimuhusu leo anaweza kudiriki kusema hivyo? Who are ndani ya CCM compared to Kingunge Ngombale Mwiru? Ingawaje Kingunge ameetoka CCM; hivi unaamini vigogo kama Mzee Mwinyi au Pius Msekwa anaweza kukuamini kada wewe ambae kuliko Mzee Kingunge?!

Endeleeni kufurahia kauli za kutisha kama hizi lakini kaa mkifahamu hili si la mmoja! Wakati inapitishwa Sheria y Mitandao niliamini kwamba hainihusu kwa kile nilichoamini nikiwa na kauli yangu timamu siwezi kuingia online na kuanza kutukana watu hovyo, kuanza ku-post picha za utupu n.k! I swear to God, niliamini hainihusu kabisa na hata hapa niliwahi kuandika kwamba "A black cat may be a bad lucky only if you're mouse!" Lakini leo hii hakuna sheria ninayoigopa kwenye hii nchi kama sheria ya mitandao ambayo, practically imebadilika kutoka Sheria ya Mitandao to Sheria Ya Kubana Maoni!

Ajabu ni kwamba, utakuta wengi wanaoshabikia kauli kama hizi hapa JF ni vijana wadogo wengine wakiwa below 30. Don't be stupid, you've a very long way to go!! Hilo hilo unaloshabikia leo wakati hata direction ya maisha yako haija-ssettle ndio hilo hilo litakalokutafuna kesho kwenye harakati zako za kimaisha!

Ikiwa kupinga kauli ya Rais ni UCHOCHEZI, am ready to face consequences lakini kauli hiyo ya Rais haileti picha nzuri kutoka mdomoni mwa Rais aliyechaguliwa kwa sanduku la kura. Haipendezi kutoka mdomoni mwa Commanding In Chief ambae Majeshi ya Ulinzi na Usalama yapo chini yake!

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Maneno mengi, kwani umeielewaje hiyo kauli?
 
Nimeisikiliza hotuba nzima kwa kituo. Kuna mambo aliyotaka kuongelea, pengine kwa kutokuwa mwanasiasa na mwanadiplomasia akajikuta amekwenda nje ya mstari.

Dhana nzima ya ziara yake inaonekana kama kutuliza hali baada ya Rais wa ZNZ 'kuelemewa' na matatizo ya ZNZ yanayogawa wananchi, mtu na mtu na mtaa na mtaa

Nilichokibaini katika hotuba yake
Kwanza, lugha ya mimi ndiye Rais si ya kidiplomasia, au tuseme ya kiungwana kwa lugha ya kwetu .Sikuwahi kumsikia kiongozi Nyerere ( miaka 23) akitumia neno 'mimi Rais'

Hata waliomfuata wametumia neno 'sisi'. Maana yake ni kuwa Urais ni taasisi inayoongozwa na Rais. Popote alipo haihitaji kutambuliwa, uwepo wake tu unamtambua. Katika mikutano Rais huongea kwa wingi akimaanisha taasisi nzima yeye akiwa kiongozi

Lugha ya mimi ni Rais inaonyesha haionyeshi uungwana kwa lugha yetu

Pili, ameongea kwa kusema yeye ni Rais wa wote, alitegemea kusikika na wote.

Lugha ya 'fuga madevu'' au kauli kama 'wamejificha Dar' ambazo hazina ithbati ni aina ya mipasho ambayo Rais wa wote hawezi kuitumia

Tatu, inaonekana kati kati ya hotuba na mwisho alipoteza maana halisi ya ziara.

Akageuza hotuba kama sehemu ya kutisha na kuogofya watu.

Hili linachochea hasira kwa wale ambao pengine walikuwa tayari kurudisha nyoyo zao

Nne, kunukuu katiba ya ZNZ kwa kipengele tofauti na hali ilivyokuwa kinaleta usumbufu

Anasema Jecha allirudia uchaguzi kwa mujibu wa kipengele alichokisema.
Kipengele kinaongelea uhuru wa tume ya uchaguzi na si marudio ya uchaguzi wa jumla

Tano, kumsifia Jecha na kwamba apewe tuzo, wakati wengi wanamuona ni chanzo kunapapalia ghadhabu bila sababu.Rais ataunganishaje watu katika hali kama hiyo ?

Mwisho, amenongelea ajira za vijana. Lakini ni vijana hao ndio wanaolalamika kuhusu kuminywa kwa haki i, si wazee. Hapa anaongea lugha tofauti na vijana

Ikumbukwe, hata kiongozi aliyepata watu 10,000 katika uchaguzi, mtu huyo ana command na sehemu ya jamii,anahitaji heshima. Vipi aliyepata nusu au Zaidi ya hapo ?

Bado tunarudi kule kule, kwamba washauri wamsaidie asome hotuba.

Hiyo itamwepusha na kauli tata na pengine zinazochochea badala ya kupooza hali hata kama nia ni njema

JokaKuu
 
Kwa bahati mbaya, jana sikupata fursa ya kufuatilia ziara ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano huko kisiwani Pemba!! Kutokana na hilo, leo nikaamua kuperuzi peruzi hapa JF na kukutana na quote ifuatayo kutoka kwa member aliyekuwa analeta updates:



Binafsi nashindwa kuamini ikiwa ni kweli hayo yamesemwa na Mheshimiwa Rais ingawaje nikipata fursa nitataza video! Sitaki kuamini ikiwa hiyo ni kauli ya Rais aliyechaguliwa kidemokrasia kwenye sanduku la kura... sitaki kuamini! Sasa ikiwa ni kweli mtu ameshindikana na Mheshimiwa Shein; yeye Mheshimiwa JPM atamfanya nini huyo mtu ndani ya hizo dakika 5?! Ni wapi tunaelekea kwenye hili taifa?! Mbona ikiwa mambo yenyewe kama ndo haya mbona hayo magereza yenu hayatatosha kufunga "wachochezi"?

Nafahamu wapo wanaofurahia na kushadadia kauli kama hizi lakini mnapaswa kufahamu fika kwamba; wote nyinyi hata kama mna kadi za CCM bado ni vidampa tu mbele ya yule Kingunge Ngombale Mwiru wa CCM!! Hata kama mna kadi tangia enzi za TANU, wote nyinyi ni vidampa tu mbele ya mtu kama Lowassa au Fredrick Sumaye wa enzi za CCM! Na si ajabu, ni vidampa hata mbele ya mtu kama Lawrence Masha aliyepata kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchi hii!!

Hii maana yake nini? Usidhani vitisho kama hivi wewe havikuhusu kwa sababu tu wewe ni kada wa CCM! Kama ndivyo unavyodhani, basi uelewa wako ni mdogo kupitiliza! Nimewataja hapo akina Kingunge ambao miezi 30 tu iliyopita wangedhani kauli za vitisho kama hizo zingewahusu! Je, mtu kama Lowassa ambae hapo kabla angedhani kauli kama hiyo haimuhusu leo anaweza kudiriki kusema hivyo? Who are ndani ya CCM compared to Kingunge Ngombale Mwiru? Ingawaje Kingunge ameetoka CCM; hivi unaamini vigogo kama Mzee Mwinyi au Pius Msekwa anaweza kukuamini kada wewe ambae kuliko Mzee Kingunge?!

Endeleeni kufurahia kauli za kutisha kama hizi lakini kaa mkifahamu hili si la mmoja! Wakati inapitishwa Sheria y Mitandao niliamini kwamba hainihusu kwa kile nilichoamini nikiwa na kauli yangu timamu siwezi kuingia online na kuanza kutukana watu hovyo, kuanza ku-post picha za utupu n.k! I swear to God, niliamini hainihusu kabisa na hata hapa niliwahi kuandika kwamba "A black cat may be a bad lucky only if you're mouse!" Lakini leo hii hakuna sheria ninayoigopa kwenye hii nchi kama sheria ya mitandao ambayo, practically imebadilika kutoka Sheria ya Mitandao to Sheria Ya Kubana Maoni!

Ajabu ni kwamba, utakuta wengi wanaoshabikia kauli kama hizi hapa JF ni vijana wadogo wengine wakiwa below 30. Don't be stupid, you've a very long way to go!! Hilo hilo unaloshabikia leo wakati hata direction ya maisha yako haija-ssettle ndio hilo hilo litakalokutafuna kesho kwenye harakati zako za kimaisha!

Ikiwa kupinga kauli ya Rais ni UCHOCHEZI, am ready to face consequences lakini kauli hiyo ya Rais haileti picha nzuri kutoka mdomoni mwa Rais aliyechaguliwa kwa sanduku la kura. Haipendezi kutoka mdomoni mwa Commanding In Chief ambae Majeshi ya Ulinzi na Usalama yapo chini yake!

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Maneno kibaoo utafikiri unafunda mwari ngomani au upo kichen party vile! kama we ni mwanaume ingia barabarani , yaani wewe kwenye hotuba yote umeliona hilo tu? nyie ndio propanda machines
 
Nafahamu wapo wanaofurahia na kushadadia kauli kama hizi lakini mnapaswa kufahamu fika kwamba; wote nyinyi hata kama mna kadi za CCM bado ni vidampa tu mbele ya yule Kingunge Ngombale Mwiru wa CCM!! Hata kama mna kadi tangia enzi za TANU, wote nyinyi ni vidampa tu mbele ya mtu kama Lowassa au Fredrick Sumaye wa enzi za CCM! Na si ajabu, ni vidampa hata mbele ya mtu kama Lawrence Masha aliyepata kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchi hii!!

Hao wote unaowasifia ni bure kabisa.Mtu anayekijua chama hawezi hama chama hata siku moja.Huwezi acha mbachao kwa msala upitao.Kuna kitu kinaitwa CONSISTENCY katika mambo ya Party struggle.Unakipagania chama jua liwake,mvua inyeshe.Mtu anayekijua chama vizuri atasimama nacho milimani na mabondeni,kwenye vita na kwenye raha.Hao walioomna vita imekolea wakatimua hawana misimamo si askari wazuri wa chama chochote.Hata huko waweza watoroka wakaenda chama kingine au kurudi CCM sababu ni watu ambao huvunjika moyo upesi wakiona vita nzito.

Tuliobaki CCM ni chuma cha pua.Hao wote unaowasifia hawana hamu na sisi.Sisi Ni wapigania chama wasiochoka wala kusinzia tulipwe ,tusilipwe tuko na CCM yetu TUKIIPIGANIA MCHANA na usiku ili nchi iendelee kuwa na amani na utulivu na wasioitakia mema kuhakikisha hawashiki Nchi hii kwa jinsi yeyote ile iwayo.

Tunaipigania CCM sababu tunaamini kuwa ndicho chama ambacho kina uwezo wa kusimamia maslahi ya walio wengi katika nchi hii tofauti na vyama vingine ambavyo mlengo mkuu ni kusimamia maslahi ya wachache.
 
Yeye Anaamini katika Vitisho ndo nchi inasonga mbele amesahau kuna mambo mengine kama ya uchumi,elimu katika nchi hi hayahitaji vitisho

True.

Sasa hivi mtu ukisoma magazeti kila mada kuu inayomhusu Rais ina theme ya Vitisho.

Tumechoka na hii theme moja ya kila kitu vitisho tu. Wananchi tunataka tuone mabadiliko. Kuna sekta kama elimu, ajira, viwanda na usafirishaji bado ni duni. Tunataka kuona changes. Hata bara bara ya stendi za Makumbusho na Mawasiliano mpaka leo tangu stendi zianzishwe hazijengwi katika kiwango cha maana?

Tunahitaji kuona hali ya Tanzania inabadilika. Bado kuna safari ndeefu sana kuboresha maendeleo ya nchi.
 
Kwa bahati mbaya, jana sikupata fursa ya kufuatilia ziara ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano huko kisiwani Pemba!! Kutokana na hilo, leo nikaamua kuperuzi peruzi hapa JF na kukutana na quote ifuatayo kutoka kwa member aliyekuwa analeta updates:



Binafsi nashindwa kuamini ikiwa ni kweli hayo yamesemwa na Mheshimiwa Rais ingawaje nikipata fursa nitataza video! Sitaki kuamini ikiwa hiyo ni kauli ya Rais aliyechaguliwa kidemokrasia kwenye sanduku la kura... sitaki kuamini! Sasa ikiwa ni kweli mtu ameshindikana na Mheshimiwa Shein; yeye Mheshimiwa JPM atamfanya nini huyo mtu ndani ya hizo dakika 5?! Ni wapi tunaelekea kwenye hili taifa?! Mbona ikiwa mambo yenyewe kama ndo haya mbona hayo magereza yenu hayatatosha kufunga "wachochezi"?

Nafahamu wapo wanaofurahia na kushadadia kauli kama hizi lakini mnapaswa kufahamu fika kwamba; wote nyinyi hata kama mna kadi za CCM bado ni vidampa tu mbele ya yule Kingunge Ngombale Mwiru wa CCM!! Hata kama mna kadi tangia enzi za TANU, wote nyinyi ni vidampa tu mbele ya mtu kama Lowassa au Fredrick Sumaye wa enzi za CCM! Na si ajabu, ni vidampa hata mbele ya mtu kama Lawrence Masha aliyepata kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchi hii!!

Hii maana yake nini? Usidhani vitisho kama hivi wewe havikuhusu kwa sababu tu wewe ni kada wa CCM! Kama ndivyo unavyodhani, basi uelewa wako ni mdogo kupitiliza! Nimewataja hapo akina Kingunge ambao miezi 30 tu iliyopita wangedhani kauli za vitisho kama hizo zingewahusu! Je, mtu kama Lowassa ambae hapo kabla angedhani kauli kama hiyo haimuhusu leo anaweza kudiriki kusema hivyo? Who are ndani ya CCM compared to Kingunge Ngombale Mwiru? Ingawaje Kingunge ameetoka CCM; hivi unaamini vigogo kama Mzee Mwinyi au Pius Msekwa anaweza kukuamini kada wewe ambae kuliko Mzee Kingunge?!

Endeleeni kufurahia kauli za kutisha kama hizi lakini kaa mkifahamu hili si la mmoja! Wakati inapitishwa Sheria y Mitandao niliamini kwamba hainihusu kwa kile nilichoamini nikiwa na kauli yangu timamu siwezi kuingia online na kuanza kutukana watu hovyo, kuanza ku-post picha za utupu n.k! I swear to God, niliamini hainihusu kabisa na hata hapa niliwahi kuandika kwamba "A black cat may be a bad lucky only if you're mouse!" Lakini leo hii hakuna sheria ninayoigopa kwenye hii nchi kama sheria ya mitandao ambayo, practically imebadilika kutoka Sheria ya Mitandao to Sheria Ya Kubana Maoni!

Ajabu ni kwamba, utakuta wengi wanaoshabikia kauli kama hizi hapa JF ni vijana wadogo wengine wakiwa below 30. Don't be stupid, you've a very long way to go!! Hilo hilo unaloshabikia leo wakati hata direction ya maisha yako haija-ssettle ndio hilo hilo litakalokutafuna kesho kwenye harakati zako za kimaisha!

Ikiwa kupinga kauli ya Rais ni UCHOCHEZI, am ready to face consequences lakini kauli hiyo ya Rais haileti picha nzuri kutoka mdomoni mwa Rais aliyechaguliwa kwa sanduku la kura. Haipendezi kutoka mdomoni mwa Commanding In Chief ambae Majeshi ya Ulinzi na Usalama yapo chini yake!

MUNGU IBARIKI TANZANIA.

Ingalikuwa vema uka react baada ya kuitazama hiyo video kuliko kuandika kwa dhania inayotokana na taarifa za mtu wa tatu. Hata hivyo ni kweli kauli za vitisho hazisaidii sana, Tatizo letu watanzania vitisho ni pale vinapotolewa na kiongozi wa serikali. Viongozi wengine wa vyama wanapotoa vitisho tunashangilia, tunasahau hao viongozi wa vyama siku moja watakuwa viongozi wa serikali. kauli za "hatamaliza miaka mitano", "hatatawala kwa raha" nk. zinasemwa sana na tukizisikia tunajazana kwenye forums kushabikia.
 
Kauli yake nyingine ilikua hii "fyatueni watoto nitasomesha bure" ingine ni pale aliporuhusu rushwa ya 5000 kwa trafic akisema ni hela ya kupaka rangi viatu!!!!

Kitu nilichojifubza kwa huyu ndugu yetu ni kwamba akisifiwa au akipigiwa makofi huwa anachanganyikiwa....ataongea chochote tu as far as amepigiwa makofi!!!
 
Hao wote unaowasifia ni bure kabisa.Mtu anayekijua chama hawezi hama chama hata siku moja.Huwezi acha mbachao kwa msala upitao.Kuna kitu kinaitwa CONSISTENCY katika mambo ya Party struggle.Unakipagania chama jua liwake,mvua inyeshe.Mtu anayekijua chama vizuri atasimama nacho milimani na mabondeni,kwenye vita na kwenye raha.Hao walioomna vita imekolea wakatimua hawana misimamo si askari wazuri wa chama chochote.Hata huko waweza watoroka wakaenda chama kingine au kurudi CCM sababu ni watu ambao huvunjika moyo upesi wakiona vita nzito.

Tuliobaki CCM ni chuma cha pua.Hao wote unaowasifia hawana hamu na sisi.Sisi Ni wapigania chama wasiochoka wala kusinzia tulipwe ,tusilipwe tuko na CCM yetu TUKIIPIGANIA MCHANA na usiku ili nchi iendelee kuwa na amani na utulivu na wasioitakia mema kuhakikisha hawashiki Nchi hii kwa jinsi yeyote ile iwayo.

Tunaipigania CCM sababu tunaamini kuwa ndicho chama ambacho kina uwezo wa kusimamia maslahi ya walio wengi katika nchi hii tofauti na vyama vingine ambavyo mlengo mkuu ni kusimamia maslahi ya wachache.
CCM imeshawahi kusimamia maslahi gani ya wengi acha uongo Watanzania wengi ni masikini wa kutupwa wanaishi vijijini huko nyumba za tembe. huku viongozi wa CCM wanajimilikisha rasilimali za nchi kifisadi
 
Back
Top Bottom