Zanzibar: Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba - Sept 2016: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri

Zanzibar: Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba - Sept 2016: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri

"Kwa maana kila aombae hupewa"......kuna wakati watu walitamani kuwa na kiongozi wa namna hiyo........kama ilivyo kwa wenye imani.... Mungu hamtupi mja wake.
 
Hao wote unaowasifia ni bure kabisa.Mtu anayekijua chama hawezi hama chama hata siku moja.Huwezi acha mbachao kwa msala upitao.Kuna kitu kinaitwa CONSISTENCY katika mambo ya Party struggle.Unakipagania chama jua liwake,mvua inyeshe.Mtu anayekijua chama vizuri atasimama nacho milimani na mabondeni,kwenye vita na kwenye raha.Hao walioomna vita imekolea wakatimua hawana misimamo si askari wazuri wa chama chochote.Hata huko waweza watoroka wakaenda chama kingine au kurudi CCM sababu ni watu ambao huvunjika moyo upesi wakiona vita nzito.

Tuliobaki CCM ni chuma cha pua.Hao wote unaowasifia hawana hamu na sisi.Sisi Ni wapigania chama wasiochoka wala kusinzia tulipwe ,tusilipwe tuko na CCM yetu TUKIIPIGANIA MCHANA na usiku ili nchi iendelee kuwa na amani na utulivu na wasioitakia mema kuhakikisha hawashiki Nchi hii kwa jinsi yeyote ile iwayo.

Tunaipigania CCM sababu tunaamini kuwa ndicho chama ambacho kina uwezo wa kusimamia maslahi ya walio wengi katika nchi hii tofauti na vyama vingine ambavyo mlengo mkuu ni kusimamia maslahi ya wachache.
Acha unafiki wewe mna kitetea chama wakiti mna chumia TUMBO [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Alikuwa anatania tu kama utani mwingine.
1. Aliwatania watu wa kigamboni wapige mbizi kama hawawezi kulipa nauli ya 200. Kwani walipiga mbizi?
2. Aliwatania watanzania kwa kuwaagiza kufyatua watoto maana sasa elimu ni bure hadi kidato cha nne, kwani wanafyatua?
3.
4.
Wasukuma wana utani mwingi mkuu.
 
Mimi kauli ile imeniogopesha totally from ma heart kuwa concerned after five minutes?
 
Kwa bahati mbaya, jana sikupata fursa ya kufuatilia ziara ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano huko kisiwani Pemba!! Kutokana na hilo, leo nikaamua kuperuzi peruzi hapa JF na kukutana na quote ifuatayo kutoka kwa member aliyekuwa analeta updates:



Binafsi nashindwa kuamini ikiwa ni kweli hayo yamesemwa na Mheshimiwa Rais ingawaje nikipata fursa nitataza video! Sitaki kuamini ikiwa hiyo ni kauli ya Rais aliyechaguliwa kidemokrasia kwenye sanduku la kura... sitaki kuamini! Sasa ikiwa ni kweli mtu ameshindikana na Mheshimiwa Shein; yeye Mheshimiwa JPM atamfanya nini huyo mtu ndani ya hizo dakika 5?! Ni wapi tunaelekea kwenye hili taifa?! Mbona ikiwa mambo yenyewe kama ndo haya mbona hayo magereza yenu hayatatosha kufunga "wachochezi"?

Nafahamu wapo wanaofurahia na kushadadia kauli kama hizi lakini mnapaswa kufahamu fika kwamba; wote nyinyi hata kama mna kadi za CCM bado ni vidampa tu mbele ya yule Kingunge Ngombale Mwiru wa CCM!! Hata kama mna kadi tangia enzi za TANU, wote nyinyi ni vidampa tu mbele ya mtu kama Lowassa au Fredrick Sumaye wa enzi za CCM! Na si ajabu, ni vidampa hata mbele ya mtu kama Lawrence Masha aliyepata kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchi hii!!

Hii maana yake nini? Usidhani vitisho kama hivi wewe havikuhusu kwa sababu tu wewe ni kada wa CCM! Kama ndivyo unavyodhani, basi uelewa wako ni mdogo kupitiliza! Nimewataja hapo akina Kingunge ambao miezi 30 tu iliyopita wangedhani kauli za vitisho kama hizo zingewahusu! Je, mtu kama Lowassa ambae hapo kabla angedhani kauli kama hiyo haimuhusu leo anaweza kudiriki kusema hivyo? Who are ndani ya CCM compared to Kingunge Ngombale Mwiru? Ingawaje Kingunge ameetoka CCM; hivi unaamini vigogo kama Mzee Mwinyi au Pius Msekwa anaweza kukuamini kada wewe ambae kuliko Mzee Kingunge?!

Endeleeni kufurahia kauli za kutisha kama hizi lakini kaa mkifahamu hili si la mmoja! Wakati inapitishwa Sheria y Mitandao niliamini kwamba hainihusu kwa kile nilichoamini nikiwa na kauli yangu timamu siwezi kuingia online na kuanza kutukana watu hovyo, kuanza ku-post picha za utupu n.k! I swear to God, niliamini hainihusu kabisa na hata hapa niliwahi kuandika kwamba "A black cat may be a bad lucky only if you're mouse!" Lakini leo hii hakuna sheria ninayoigopa kwenye hii nchi kama sheria ya mitandao ambayo, practically imebadilika kutoka Sheria ya Mitandao to Sheria Ya Kubana Maoni!

Ajabu ni kwamba, utakuta wengi wanaoshabikia kauli kama hizi hapa JF ni vijana wadogo wengine wakiwa below 30. Don't be stupid, you've a very long way to go!! Hilo hilo unaloshabikia leo wakati hata direction ya maisha yako haija-ssettle ndio hilo hilo litakalokutafuna kesho kwenye harakati zako za kimaisha!

Ikiwa kupinga kauli ya Rais ni UCHOCHEZI, am ready to face consequences lakini kauli hiyo ya Rais haileti picha nzuri kutoka mdomoni mwa Rais aliyechaguliwa kwa sanduku la kura. Haipendezi kutoka mdomoni mwa Commanding In Chief ambae Majeshi ya Ulinzi na Usalama yapo chini yake!

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
HUJAELEZA KWA KINA KWA NINI KAULI HIYO NI HATARI,ZAIDI YA KUTOA MAONI YAKO NA KUWAHUSISHA KINA LOWASSA ,KINGUNGE NA SUMAYE,NJOO ANDIKA UPYA UELEZE KWA UELEWA WAKO UNAHISI KWA NINI KAULI HIYO NI HATARI ?SIO MARA SHERIA YA MTANDAO ,MARA CCM,MARA SIJUI NINI HUKO..!!!
 
Kwa bahati mbaya, jana sikupata fursa ya kufuatilia ziara ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano huko kisiwani Pemba!! Kutokana na hilo, leo nikaamua kuperuzi peruzi hapa JF na kukutana na quote ifuatayo kutoka kwa member aliyekuwa analeta updates:



Binafsi nashindwa kuamini ikiwa ni kweli hayo yamesemwa na Mheshimiwa Rais ingawaje nikipata fursa nitataza video! Sitaki kuamini ikiwa hiyo ni kauli ya Rais aliyechaguliwa kidemokrasia kwenye sanduku la kura... sitaki kuamini! Sasa ikiwa ni kweli mtu ameshindikana na Mheshimiwa Shein; yeye Mheshimiwa JPM atamfanya nini huyo mtu ndani ya hizo dakika 5?! Ni wapi tunaelekea kwenye hili taifa?! Mbona ikiwa mambo yenyewe kama ndo haya mbona hayo magereza yenu hayatatosha kufunga "wachochezi"?

Nafahamu wapo wanaofurahia na kushadadia kauli kama hizi lakini mnapaswa kufahamu fika kwamba; wote nyinyi hata kama mna kadi za CCM bado ni vidampa tu mbele ya yule Kingunge Ngombale Mwiru wa CCM!! Hata kama mna kadi tangia enzi za TANU, wote nyinyi ni vidampa tu mbele ya mtu kama Lowassa au Fredrick Sumaye wa enzi za CCM! Na si ajabu, ni vidampa hata mbele ya mtu kama Lawrence Masha aliyepata kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchi hii!!

Hii maana yake nini? Usidhani vitisho kama hivi wewe havikuhusu kwa sababu tu wewe ni kada wa CCM! Kama ndivyo unavyodhani, basi uelewa wako ni mdogo kupitiliza! Nimewataja hapo akina Kingunge ambao miezi 30 tu iliyopita wangedhani kauli za vitisho kama hizo zingewahusu! Je, mtu kama Lowassa ambae hapo kabla angedhani kauli kama hiyo haimuhusu leo anaweza kudiriki kusema hivyo? Who are ndani ya CCM compared to Kingunge Ngombale Mwiru? Ingawaje Kingunge ameetoka CCM; hivi unaamini vigogo kama Mzee Mwinyi au Pius Msekwa anaweza kukuamini kada wewe ambae kuliko Mzee Kingunge?!

Endeleeni kufurahia kauli za kutisha kama hizi lakini kaa mkifahamu hili si la mmoja! Wakati inapitishwa Sheria y Mitandao niliamini kwamba hainihusu kwa kile nilichoamini nikiwa na kauli yangu timamu siwezi kuingia online na kuanza kutukana watu hovyo, kuanza ku-post picha za utupu n.k! I swear to God, niliamini hainihusu kabisa na hata hapa niliwahi kuandika kwamba "A black cat may be a bad lucky only if you're mouse!" Lakini leo hii hakuna sheria ninayoigopa kwenye hii nchi kama sheria ya mitandao ambayo, practically imebadilika kutoka Sheria ya Mitandao to Sheria Ya Kubana Maoni!

Ajabu ni kwamba, utakuta wengi wanaoshabikia kauli kama hizi hapa JF ni vijana wadogo wengine wakiwa below 30. Don't be stupid, you've a very long way to go!! Hilo hilo unaloshabikia leo wakati hata direction ya maisha yako haija-ssettle ndio hilo hilo litakalokutafuna kesho kwenye harakati zako za kimaisha!

Ikiwa kupinga kauli ya Rais ni UCHOCHEZI, am ready to face consequences lakini kauli hiyo ya Rais haileti picha nzuri kutoka mdomoni mwa Rais aliyechaguliwa kwa sanduku la kura. Haipendezi kutoka mdomoni mwa Commanding In Chief ambae Majeshi ya Ulinzi na Usalama yapo chini yake!

MUNGU IBARIKI TANZANIA.

Nitakuuliza kwa ufupi tu...wewe ulitaka Rais aseme nini kwa wale wanaochochea vurugu, wasaliti na wahaini???
 
Mpaka leo hamjamzoea tu Magu Na character yake? Mtalalamika sana na Hanna kitu kitabadilika..
 
Kwa bahati mbaya, jana sikupata fursa ya kufuatilia ziara ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano huko kisiwani Pemba!! Kutokana na hilo, leo nikaamua kuperuzi peruzi hapa JF na kukutana na quote ifuatayo kutoka kwa member aliyekuwa analeta updates:



Binafsi nashindwa kuamini ikiwa ni kweli hayo yamesemwa na Mheshimiwa Rais ingawaje nikipata fursa nitataza video! Sitaki kuamini ikiwa hiyo ni kauli ya Rais aliyechaguliwa kidemokrasia kwenye sanduku la kura... sitaki kuamini! Sasa ikiwa ni kweli mtu ameshindikana na Mheshimiwa Shein; yeye Mheshimiwa JPM atamfanya nini huyo mtu ndani ya hizo dakika 5?! Ni wapi tunaelekea kwenye hili taifa?! Mbona ikiwa mambo yenyewe kama ndo haya mbona hayo magereza yenu hayatatosha kufunga "wachochezi"?

Nafahamu wapo wanaofurahia na kushadadia kauli kama hizi lakini mnapaswa kufahamu fika kwamba; wote nyinyi hata kama mna kadi za CCM bado ni vidampa tu mbele ya yule Kingunge Ngombale Mwiru wa CCM!! Hata kama mna kadi tangia enzi za TANU, wote nyinyi ni vidampa tu mbele ya mtu kama Lowassa au Fredrick Sumaye wa enzi za CCM! Na si ajabu, ni vidampa hata mbele ya mtu kama Lawrence Masha aliyepata kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchi hii!!

Hii maana yake nini? Usidhani vitisho kama hivi wewe havikuhusu kwa sababu tu wewe ni kada wa CCM! Kama ndivyo unavyodhani, basi uelewa wako ni mdogo kupitiliza! Nimewataja hapo akina Kingunge ambao miezi 30 tu iliyopita wangedhani kauli za vitisho kama hizo zingewahusu! Je, mtu kama Lowassa ambae hapo kabla angedhani kauli kama hiyo haimuhusu leo anaweza kudiriki kusema hivyo? Who are ndani ya CCM compared to Kingunge Ngombale Mwiru? Ingawaje Kingunge ameetoka CCM; hivi unaamini vigogo kama Mzee Mwinyi au Pius Msekwa anaweza kukuamini kada wewe ambae kuliko Mzee Kingunge?!

Endeleeni kufurahia kauli za kutisha kama hizi lakini kaa mkifahamu hili si la mmoja! Wakati inapitishwa Sheria y Mitandao niliamini kwamba hainihusu kwa kile nilichoamini nikiwa na kauli yangu timamu siwezi kuingia online na kuanza kutukana watu hovyo, kuanza ku-post picha za utupu n.k! I swear to God, niliamini hainihusu kabisa na hata hapa niliwahi kuandika kwamba "A black cat may be a bad lucky only if you're mouse!" Lakini leo hii hakuna sheria ninayoigopa kwenye hii nchi kama sheria ya mitandao ambayo, practically imebadilika kutoka Sheria ya Mitandao to Sheria Ya Kubana Maoni!

Ajabu ni kwamba, utakuta wengi wanaoshabikia kauli kama hizi hapa JF ni vijana wadogo wengine wakiwa below 30. Don't be stupid, you've a very long way to go!! Hilo hilo unaloshabikia leo wakati hata direction ya maisha yako haija-ssettle ndio hilo hilo litakalokutafuna kesho kwenye harakati zako za kimaisha!

Ikiwa kupinga kauli ya Rais ni UCHOCHEZI, am ready to face consequences lakini kauli hiyo ya Rais haileti picha nzuri kutoka mdomoni mwa Rais aliyechaguliwa kwa sanduku la kura. Haipendezi kutoka mdomoni mwa Commanding In Chief ambae Majeshi ya Ulinzi na Usalama yapo chini yake!

MUNGU IBARIKI TANZANIA.



!
!
Zipo nchi za kubarikiwa bwana acha masihara. Hebu tukaushe tu tusije kuwa wachochezi
 
Dkt Shein kashikilia mustakbali wa Wafanya fujo! Akituma sms bara kwa Mzee basi haitishukua walau Dakika 6 kabla ya kutumbuliw
 
Nitakuuliza kwa ufupi tu...wewe ulitaka Rais aseme nini kwa wale wanaochochea vurugu, wasaliti na wahaini???
Busara inashawishi anatakiwa kuonesha yeye yupo tofauti na hao unaowaita "wachochezi!" Sasa ikiwa hata asiye na jeshi la mgambo anasema "utaona" na wewe mwenye miliki ya majeshi yote unasema "utaona"... huyu wa pili kwangu ni mtu hatari kabisa kwa usalama wa nchi kuliko huyo mwingine! Btw, sheria ya uhaini ipo wazi! Ikiwa unaamini huko Pemba na Zanzibar kwa ujumla ni kwanini basi hao "Wahaini: wasiwekwe ndani tena na sheria inaruhusu kuweka ndani wahini bila kufunguliwa mashitaka! Kwanini wasiwekwe ndani na badala yake unasema all he needs is ONLY 5 Minutes... Amiri Jeshi Mkuu unatoa kauli kama hizo??!!!
 
Hao wote unaowasifia ni bure kabisa.Mtu anayekijua chama hawezi hama chama hata siku moja.Huwezi acha mbachao kwa msala upitao.Kuna kitu kinaitwa CONSISTENCY katika mambo ya Party struggle.Unakipagania chama jua liwake,mvua inyeshe.Mtu anayekijua chama vizuri atasimama nacho milimani na mabondeni,kwenye vita na kwenye raha.Hao walioomna vita imekolea wakatimua hawana misimamo si askari wazuri wa chama chochote.Hata huko waweza watoroka wakaenda chama kingine au kurudi CCM sababu ni watu ambao huvunjika moyo upesi wakiona vita nzito.

Tuliobaki CCM ni chuma cha pua.Hao wote unaowasifia hawana hamu na sisi.Sisi Ni wapigania chama wasiochoka wala kusinzia tulipwe ,tusilipwe tuko na CCM yetu TUKIIPIGANIA MCHANA na usiku ili nchi iendelee kuwa na amani na utulivu na wasioitakia mema kuhakikisha hawashiki Nchi hii kwa jinsi yeyote ile iwayo.

Tunaipigania CCM sababu tunaamini kuwa ndicho chama ambacho kina uwezo wa kusimamia maslahi ya walio wengi katika nchi hii tofauti na vyama vingine ambavyo mlengo mkuu ni kusimamia maslahi ya wachache.
KAMA CHAMA CHA FAMILIA! HIVI NI NANI ALIYE WAROGA HAWA MAJAMII?
 
HUJAELEZA KWA KINA KWA NINI KAULI HIYO NI HATARI,ZAIDI YA KUTOA MAONI YAKO NA KUWAHUSISHA KINA LOWASSA ,KINGUNGE NA SUMAYE,NJOO ANDIKA UPYA UELEZE KWA UELEWA WAKO UNAHISI KWA NINI KAULI HIYO NI HATARI ?SIO MARA SHERIA YA MTANDAO ,MARA CCM,MARA SIJUI NINI HUKO..!!!
Nini hapo hakijaeleweka?! Haijaeleweka au wewe ndo huelewi??!!
 
Maulana zidi kumbariki rais wetu milele. ..
 
Umeandika vzr nimekuelewa sana ila iki kibiriti cha gesi mkuu
 
Back
Top Bottom