Zanzibar: Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba - Sept 2016: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri





Sheria hizo mnazinukuu kwenye mambo yenye maslahi na upande wenu tu? Mbona sheria zinazoruhusu Uhuru wa Demokrasia mnazipiga vita hadi kuviagiza vikosi vya ulinzi na usalama vitoroke kambini na kuja kufanya mazoezi barabarani?Huyo ni wenu peke yenu,msitulazimishe tusiomchagua tumkubari.Angekuwa "rahisi" wa wote angeruhusu vikosi vya ulinzi na usalama vinavyotunzwa kwa kodi zetu viwasake kwa mitutu ya bunduki mithiri ya digidigi wapinzani wa serikali yake?
 
najitahidi kuwa mpole, nisije ropoka na yupo hukuhuku...
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huu mchezo hauitaji hasira
 
... cha muhimu apime kila neno atakalozungumza.
 
Nitafurahi sana endapo ziara yake huko pemba itatoa suluhu ya mkwamo wa kisiasa kati ya cuf na ccm visiwani huko.
 
mzeeeeeeeeeee wa Libyaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…