Zanzibar: Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba - Sept 2016: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri

Raisi kaeleza umuhimu wa watu wote wa Pemba kupendana Karibuni tucheze tuburudike wapemba wote.
Tucheze kidogo na huu wimbo wa amani

 
Washazoea kulalamika bila kuwa na fikra pevu na yakinifu
 
Kwa nchi za Afrika demokrasia haiwezi leta maendeleo jaribu kuangalia historia halisi ya uongozi katika dunia
Mkuu sasa mbona solution ni rahisi tu. Kama kweli demokrasia haitufai...JPM apeleke mswada bungeni wa kufuta mfumo wa vyama vingi..ccm waupitishe...tujue TZ imekua nchi ya chama kimoja rasmi. kwanza itaokoa hela za walipa kodi...maana sasa hivi wapinzani wanapewa mabilioni ya ruzuku na huku wanazuiwa kufanya shughuli zao.
 
Kwel nineamini ajira sio kipaumbele cha serikali hii, yani ndege zinanunuliwa lakini ajira nooh
tatizo sio ajira,bali tatizo lilianza pale tulipokubali kurithi na kuuenzi kwa dhati na juhudi zote mfumo wa elimu ya kikoloni(mfumo wa elimu tegemezi)..laiti sote kama taifa kupitia wale tuliowachagua tungekubaliana kuubadili mfumo huu,naimani Tanzania kuna ajira nyingi sana hata pasipo kutegemea ajira toka serikalini.
 
 
Mzee anasema mtu akileta zake amnong'oneze,hivi anawajua wazanzibar vizuri kweli,au wanadhani wale ni wanyakyusa au wapare.
Mkuu nimekupa laiki lakini sijui ni kwanini, by da way wapemba sio kama wale wala sato. Subiri watapata majibu
 
Kwa nchi za Afrika demokrasia haiwezi leta maendeleo jaribu kuangalia historia halisi ya uongozi katika dunia

Kule Marekani wakati Bush jr alipigiwa kura na baadhi ambao ni marehemu...tehtehtehteh...Na kule Uingereza ile kura ya BREXIT kuna watu wanalia mpaka leo kwamba kulikuwa na kuchakachuliwa..... Kule Ufaransa nako akina Le Pen nao huwa wanalalamika mno....
 
Serikali kwa kushirikiana na vyombo vya usalama wametoa tamko la kuzuia mikutano ya siasa japokuwa ni haki yao kikatiba lakini CCM wanaruhusiwa kufanya mikutano kama huko Pemba kuna mkutano hivi ingekuwa na mkutano wa CUF ungeruhusiwa?
Naskia Rais hafanyi siasa bali anatembelea wananchi.!!
 
Na aruhusu cuf nao wafanye mkutano hapo hapo ili tulinganishe na mkutano wake ili tuone nani kamzika nani, we unashindana peke yako bila rival af mwisho wa siku unakuja kujisifia eti umeshinda?
Ushindi wa mwendo kasi
 
President ni mtu wa matamko tuuuuuu na vitishoooo. Hataki hata kuwatia moyo wananchi wake na hali ilivyo ngumu maisha yamepanda, hela haina thamani hata ,hela haitoki jumlisha na vitisho. Ni hatari hapo hata mwaka bado
 
Dah Magufuli ameonesha kabisa kuwa hakuna mazungumzo wala hatafanya mazungumzo na wapinzani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…