Zanzibar: Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba - Sept 2016: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri

Zanzibar: Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba - Sept 2016: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri

Hata wafanyeje, ningekuwa Pemba nisiongeenda. Wakati wa kumuaga kikwete waliwataka walimu wote wa temeke waende uwanja wa taifa. Niligoma kwa nguvu zote na hakuna kilichotokea.
Mkataba wetu wala sheria za ajira hazimulazimishi mtumishi wa umma kuhudhuria mikutano ya kiserikali.
Labda vizuu wataburuzwa kwa sana tu.
Wewe unajielewa
Wengi waoga sana!!
 
Sijui leo atatoa tamko gani, wamsisitizie asome hotuba asije kuropoka tena
HAHA ANAWEZA SEMA NOTI YA SHILINGI ELFU KUMI INAKUWA NA RANGI YA KIJANI ILI WAFANYIBIASHARA WATOE NYEKUNDU😀😀😀 WALIZOFICHA
 
Kichwa chako kina matatizo.Sheria ya uchaguzi ukishachaguliwa unakuwa kiongozi wa wote waliokupa kura na waliokunyima kura! Mbunge,diwani,na raisi wakishashinda uchaguzi wanakuwa viongozi wa wote bila kujali ulimpa kura au hukumpa.Hapo hata kama pemba nzima hawakumpa kura huyo ndio raisi.Raisi hawezi kuwa Seif WALA lowasa.
Ahaa nilijua mtakuja hapa!! hebu ongelea msemo wake kila kiongozi afanye mkutano kule alikochaguliwa!!Hapo umewataja wabunge na madiwani!! Kujikanganya ndio tabia yenu. Unakumbuka alipinga mikutano wakatia akijua kuna mkutano wa CCM wa kumchagua? Unakumbuka kujikanyaga kwa yule polisi aliyesema "mikutano ya ndani imeruhusiwa" UBAGUZI ni njia fupi sana!!
 
Huko hatasema sana maana alisema huko Zenji hakumuhusu bali yupo Shein na Jecha
 
Nchi hii usipojitambua utaburuzwa na kila mtu.
Walimu wengine wana vyeti vya kugushi, wamepangiwa kazi kwa vimemo, n.k
Lazima atakuwa wa kusema HEWALA BWANA.
Nilishangaa sana wafanyakazi kukesha kwenye mwenge Serengeti
Tena asubui yake Jumatano wanatakiwa wawe kazini
 
mhhh tusubiri Leo atakuja na msemo upi maarufu ( kumbuka kufyatua watoto, kuhamia Dodoma, kufyatua noti mpya n.k)
 
Kupatwa kwa dunia!!
Tunashukuru serekali kuichagua pemba kuwa sehemu ya Kupatwa kwa dunia.

Mkuu usiwe kama yule jamaa wa Mbeya aliishukuru serikali eti kwa kuchagua Mkoa wa Mbeya kupatwa kwa jua na anaomba mwakani serikali ichague mkoa mwingine upatwe na jua
 
Yaani hapo Pemba tu anaenda kwa ndege Si angeenda kwa boti Kama kweli anabana matumizi.
 
Wafanyakazi wa serikali WAMELAZIMISHWA kwenda kusikiliza hotuba ya Rais Pemba
Tena wataitwa kabisa majina yao kuona nani hajafika
Upuuzi sana huu usio na tija yyt kwa mfanyakazi wa Pemba





Unashangaa hilo kufanyika Pemba?Bora huko Pemba ambako kama si "kupatwa kwa demokrasia" kulikofanywa na zecccm,hakuna awezaye kupoteza muda kwa mambo hayo.

Unakumbuka kilichofanyika Sengerema Mwanza?Sehemu ambayo hotuba za kampeni za urais zilikuwa zikihutubiwa kwa kilugha,bado watu walilazimishwa kukesha kwenye mwenge.Watumishi wa umma walilazimishwa kusaini madaftari ya mahudhurio Mara Tatu kuanzia usiku wa manane!Hiyo ndiyo serikali ya mwendokasi,kila kitu kinafanywa kwa nguvu ili kiakisi utukufu wa mkuu!
 
Unashangaa hilo kufanyika Pemba?Bora huko Pemba ambako kama si "kupatwa kwa demokrasia" kulikofanywa na zecccm,hakuna awezaye kupoteza muda kwa mambo hayo.

Unakumbuka kilichofanyika Sengerema Mwanza?Sehemu ambayo hotuba za kampeni za urais zilikuwa zikihutubiwa kwa kilugha,bado watu walilazimishwa kukesha kwenye mwenge.Watumishi wa umma walilazimishwa kusaini madaftari ya mahudhurio Mara Tatu kuanzia usiku wa manane!Hiyo ndiyo serikali ya mwendokasi,kila kitu kinafanywa kwa nguvu ili kiakisi utukufu wa mkuu!
Upuuzi sana ule aisee
Hawa vijana wateule uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana
 
Back
Top Bottom