Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DUHH!!Haitusaidii chochote
Unategemea amani mkuuuKWENYE SUALA LA AMAN CNA SWALI ACHA AIWEKEE MSISITIZO ILA KWA JECHA MMMHHHHH.....
na kurudia rudia kuwa mimi nilishinda uchaguzi,mimi ndiye niliyechaguliwa,, kwanini anasisitiza?? Kwanini kuyasema hayo wakati anajua alishinda??Hii sampuli ya kupiga push up jukwaani tegemea vituko tu
Diplomasi hakuna kabisa..
Vitisho havisaidii chochote, ni dalili za kutojiamini au anajiona hatoshi kwenye nafasi Aliopo
Yaani ni noma huyu jamaaHii kauli sio presidential
mkuu acha,yaani huwa Siwezi kumsikiliza huyu baba muda mrefu,God knows huwa namweka daraja gani based on IQAllah atunusuru kwakweli hivi unaanzaje kumpongeza jecha Pemba? Inamaana mkuu hajui kuwa katiba haikufuatwa kufuta uchaguzi znz?
Adui zetu ni kina nan?Muungano wetu ndio umoja wetu. Adui zetu hawaupendi huu muungano. Tutaulinda muungano huu kwa nguvu zetu.
na kurudia rudia kuwa mimi nilishinda uchaguzi,mimi ndiye niliyechaguliwa,, kwanini anasisitiza?? Kwanini kuyasema hayo wakati anajua alishinda??
Kwa nchi za Afrika demokrasia haiwezi leta maendeleo jaribu kuangalia historia halisi ya uongozi katika duniaRais ni KIONGOZI mkuu wa serikali,wasipo enda wataadhibiwa! AMBAO hawakwenda kukesha na Mwenge Serengeti wana jadiliwa huko!
Udikteta huu
unapokuwa unaongea uwe unajaribu kutunza maneno ya kesho..mtukufu tangu lini ametoa hotuba?mimi kama raia wa chini kabisa kila akisimama hua nasikia ni vitisho tu,ninachompongeza ni kutusomesha namba wananchi wa hali ya chini..any way ngoja tusubiri.Hotuba murua itatoka leo ya kujenga na kuimarisha Muungano