Zanzibar: Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba - Sept 2016: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri

Zanzibar: Yaliyojiri kwenye ziara ya Rais Magufuli kisiwani Pemba - Sept 2016: Ampongeza Jecha kusimamia uchaguzi vizuri

Mim hata kumwangalia na kumsikiliza nilisha acha kitambo sana, Namsubr 2020, Kura yangu ameshaikosa
 
Hao wote unaowasifia ni bure kabisa.Mtu anayekijua chama hawezi hama chama hata siku moja.Huwezi acha mbachao kwa msala upitao.Kuna kitu kinaitwa CONSISTENCY katika m am boom ya Party struggle.Unakipagania chama jua liwake,mvua inyeshe.Mtu anayekijua chama vizuri atasimama nacho milimani na mabondeni,kwenye vita na kwenye raha.Hao walioomna vita imekolea wakatimua hawana misimamo si askari wazuri wa chama chochote.Hata huko waweza watoroka wakaenda chama kingine au kurudi CCM sababu ni watu ambao huvunjika moyo upesi wakiona vita nzito.

Tuliobaki CCM ni chuma cha pua.Hao wote unaowasifia hawana hamu na sisi.Sisi Ni wapigania chama wasiochoka wala kusinzia tulipwe ,tusilipwe tuko na CCM yetu TUKIIPIGANIA MCHANA na usiku ili nchi iendelee kuwa na amani na utulivu na wasioitakia mema kuhakikisha hawashiki Nchi hii kwa jinsi yeyote ile iwayo.

Tunaipigania CCM sababu tunaamini kuwa ndicho chama ambacho kina uwezo wa kusimamia maslahi ya walio wengi katika nchi hii tofauti na vyama vingine ambavyo mlengo mkuu ni kusimamia maslahi ya wachache.

Yaelekea CCM ni Baba yako na Mama yako pia.

UPUUZI unaohitaji Medali ya Almasi.

-Hakuna aijuae CCM aliewahi kuishi Dunia hii zaidi ya Nyerere lakini,
Nyerere huyo huyo aliwahi kusema (Sinukuu)
'Siku akiona Chama chake kinaendeshwa ki-upuuzi-jazzband, anaweza kuachana nacho kwakuwa Chama Si Baba wala si Mama yake'.

Sasa, Wewe unaposema hata iweje utang'ang'ana nacho na kuamua kutweza na kukejeli waliokihama au wanaoweza kufanya hivyo,
Akili ya kawaida itajiuliza tu Umri wa Mafinyufinyu yaliyopo Kichwani mwako ila Ujazo wa kutosha na uwepo wake ni uhakika tena bila kusumbua watu wa Maabara kulichunguza Hilo. .
 
Hao wote unaowasifia ni bure kabisa.Mtu anayekijua chama hawezi hama chama hata siku moja.Huwezi acha mbachao kwa msala upitao.Kuna kitu kinaitwa CONSISTENCY katika mambo ya Party struggle.Unakipagania chama jua liwake,mvua inyeshe.Mtu anayekijua chama vizuri atasimama nacho milimani na mabondeni,kwenye vita na kwenye raha.Hao walioomna vita imekolea wakatimua hawana misimamo si askari wazuri wa chama chochote.Hata huko waweza watoroka wakaenda chama kingine au kurudi CCM sababu ni watu ambao huvunjika moyo upesi wakiona vita nzito.

Tuliobaki CCM ni chuma cha pua.Hao wote unaowasifia hawana hamu na sisi.Sisi Ni wapigania chama wasiochoka wala kusinzia tulipwe ,tusilipwe tuko na CCM yetu TUKIIPIGANIA MCHANA na usiku ili nchi iendelee kuwa na amani na utulivu na wasioitakia mema kuhakikisha hawashiki Nchi hii kwa jinsi yeyote ile iwayo.

Tunaipigania CCM sababu tunaamini kuwa ndicho chama ambacho kina uwezo wa kusimamia maslahi ya walio wengi katika nchi hii tofauti na vyama vingine ambavyo mlengo mkuu ni kusimamia maslahi ya wachache.
nao uimara wa ccm upo wapi nje ya dola??????????
 
Kwa bahati mbaya, jana sikupata fursa ya kufuatilia ziara ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano huko kisiwani Pemba!! Kutokana na hilo, leo nikaamua kuperuzi peruzi hapa JF na kukutana na quote ifuatayo kutoka kwa member aliyekuwa analeta updates:



Binafsi nashindwa kuamini ikiwa ni kweli hayo yamesemwa na Mheshimiwa Rais ingawaje nikipata fursa nitataza video! Sitaki kuamini ikiwa hiyo ni kauli ya Rais aliyechaguliwa kidemokrasia kwenye sanduku la kura... sitaki kuamini! Sasa ikiwa ni kweli mtu ameshindikana na Mheshimiwa Shein; yeye Mheshimiwa JPM atamfanya nini huyo mtu ndani ya hizo dakika 5?! Ni wapi tunaelekea kwenye hili taifa?! Mbona ikiwa mambo yenyewe kama ndo haya mbona hayo magereza yenu hayatatosha kufunga "wachochezi"?

Nafahamu wapo wanaofurahia na kushadadia kauli kama hizi lakini mnapaswa kufahamu fika kwamba; wote nyinyi hata kama mna kadi za CCM bado ni vidampa tu mbele ya yule Kingunge Ngombale Mwiru wa CCM!! Hata kama mna kadi tangia enzi za TANU, wote nyinyi ni vidampa tu mbele ya mtu kama Lowassa au Fredrick Sumaye wa enzi za CCM! Na si ajabu, ni vidampa hata mbele ya mtu kama Lawrence Masha aliyepata kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchi hii!!

Hii maana yake nini? Usidhani vitisho kama hivi wewe havikuhusu kwa sababu tu wewe ni kada wa CCM! Kama ndivyo unavyodhani, basi uelewa wako ni mdogo kupitiliza! Nimewataja hapo akina Kingunge ambao miezi 30 tu iliyopita wangedhani kauli za vitisho kama hizo zingewahusu! Je, mtu kama Lowassa ambae hapo kabla angedhani kauli kama hiyo haimuhusu leo anaweza kudiriki kusema hivyo? Who are ndani ya CCM compared to Kingunge Ngombale Mwiru? Ingawaje Kingunge ameetoka CCM; hivi unaamini vigogo kama Mzee Mwinyi au Pius Msekwa anaweza kukuamini kada wewe ambae kuliko Mzee Kingunge?!

Endeleeni kufurahia kauli za kutisha kama hizi lakini kaa mkifahamu hili si la mmoja! Wakati inapitishwa Sheria y Mitandao niliamini kwamba hainihusu kwa kile nilichoamini nikiwa na kauli yangu timamu siwezi kuingia online na kuanza kutukana watu hovyo, kuanza ku-post picha za utupu n.k! I swear to God, niliamini hainihusu kabisa na hata hapa niliwahi kuandika kwamba "A black cat may be a bad lucky only if you're mouse!" Lakini leo hii hakuna sheria ninayoigopa kwenye hii nchi kama sheria ya mitandao ambayo, practically imebadilika kutoka Sheria ya Mitandao to Sheria Ya Kubana Maoni!

Ajabu ni kwamba, utakuta wengi wanaoshabikia kauli kama hizi hapa JF ni vijana wadogo wengine wakiwa below 30. Don't be stupid, you've a very long way to go!! Hilo hilo unaloshabikia leo wakati hata direction ya maisha yako haija-ssettle ndio hilo hilo litakalokutafuna kesho kwenye harakati zako za kimaisha!

Ikiwa kupinga kauli ya Rais ni UCHOCHEZI, am ready to face consequences lakini kauli hiyo ya Rais haileti picha nzuri kutoka mdomoni mwa Rais aliyechaguliwa kwa sanduku la kura. Haipendezi kutoka mdomoni mwa Commanding In Chief ambae Majeshi ya Ulinzi na Usalama yapo chini yake!

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Ungekuwa uko tayari weka majina hako yote na picha ili ukawafilie. Subiri ukiwa Rais utaibadili hiyo sheria. Kam huwezi kuwa Rais endelea kuumia maana haujui urais ukoje.
Sheria hii tuifahamu tujiepushe nayo hapo ndo tutafikia kinachokusudiwa.
 
Kiuongozi anapaswa amtie.moyo mwenzake ili watuletee maendeleo. Unajua tupo nyuma sana sana yaani hapa inapaswa kila kitu kistabiliziwe mfumo wote aalafu na isiwe taratibu yaani inatakiwa faster maana tupo nyuma mno watoto wetu wasije teseka aaisee. So hiyo.kauli ni nzuri.na.ni yaakumpa moyo mwenzake yaani hamna kushindwa wala kukwamishwa.



You're right! Je, kwa hayo unayosema Rais wetu ana mamlaka nalo ndani ya Zanzibar?! Let's assume Mtendaji X SMZ amevurunda na Shein anamfanyia muhari! Je, JPM ana mamlaka ya kumtumbua huyo mtu?!
 
Hao wote unaowasifia ni bure kabisa.Mtu anayekijua chama hawezi hama chama hata siku moja.Huwezi acha mbachao kwa msala upitao.Kuna kitu kinaitwa CONSISTENCY katika mambo ya Party struggle.Unakipagania chama jua liwake,mvua inyeshe.Mtu anayekijua chama vizuri atasimama nacho milimani na mabondeni,kwenye vita na kwenye raha.Hao walioomna vita imekolea wakatimua hawana misimamo si askari wazuri wa chama chochote.Hata huko waweza watoroka wakaenda chama kingine au kurudi CCM sababu ni watu ambao huvunjika moyo upesi wakiona vita nzito.

Tuliobaki CCM ni chuma cha pua.Hao wote unaowasifia hawana hamu na sisi.Sisi Ni wapigania chama wasiochoka wala kusinzia tulipwe ,tusilipwe tuko na CCM yetu TUKIIPIGANIA MCHANA na usiku ili nchi iendelee kuwa na amani na utulivu na wasioitakia mema kuhakikisha hawashiki Nchi hii kwa jinsi yeyote ile iwayo.

Tunaipigania CCM sababu tunaamini kuwa ndicho chama ambacho kina uwezo wa kusimamia maslahi ya walio wengi katika nchi hii tofauti na vyama vingine ambavyo mlengo mkuu ni kusimamia maslahi ya wachache.
Sasa mkuu, pigania sana chama chako lakini pale mwenyekiti wako anapopotoka mshauri kwa manufaa ya nchi, tatizo la CCM wengi ni unafiki uliopitiliza
 
Nchi hii haijawahi kuwa na kiongozi wa ......................................kuzidi huyu!, Huko pemba badala kwenda kumsaidia ndugu yake kaenda kumchongea tu
 
Kiuongozi anapaswa amtie.moyo mwenzake ili watuletee maendeleo. Unajua tupo nyuma sana sana yaani hapa inapaswa kila kitu kistabiliziwe mfumo wote aalafu na isiwe taratibu yaani inatakiwa faster maana tupo nyuma mno watoto wetu wasije teseka aaisee. So hiyo.kauli ni nzuri.na.ni yaakumpa moyo mwenzake yaani hamna kushindwa wala kukwamishwa.
Swali langu ni kwamba, yeye atamfanya nini huyo mtu aliyeshindikana ndani ya hizo dakika 5?! Kwanini asielekeze nguvu kwenye kutekeleza sera na ilani yao kama lengo ni kutoendelea umaskini?! Tangu lini vitisho vikaondoa umaskini?!
 
Nimeipenda hii kauli, utoto utoto uishe sasa

Uchumi ukushinde hata mikwara ukose hapana bwana.
 
mi naona sawa tu...sivunji sheria,natafuta hela kihalali so sioni kama napata au nitapatwa na tatizo lolote kisa kauli za rais ndani ya miaka kumi ijayo...
 
Kwa bahati mbaya, jana sikupata fursa ya kufuatilia ziara ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano huko kisiwani Pemba!! Kutokana na hilo, leo nikaamua kuperuzi peruzi hapa JF. Kitu ambacho kimenishitua sana kama sio kunitisha ni kauli ya Mheshimwa Rais JPM aliyomwambia Mheshimiwa Dk. Shein. Hii ndio kauli ya JPM ambayo imenishitua kwa kweli:

Binafsi nashindwa kuamini ikiwa Rais aliyechaguliwa kupitia sanduku la kura, bado anaweza kuwa na kauli kali na ya vitisho namna hiyo!! Sasa ikiwa ni kweli mtu ameshindikana na Mheshimiwa Shein; yeye Mheshimiwa JPM atamfanya nini huyo mtu ndani ya hizo dakika 5?! Hapa lazima niwe na hofu kwavile JPM ni Commanding In Chief na majeshi yote yapo chini yake! Ni wapi tunaelekea kwenye hili taifa?! Mbona ikiwa mambo yenyewe kama ndo haya mbona hayo magereza yenu hayatatosha kufunga "wachochezi"?

Nafahamu wapo wanaofurahia na kushadadia kauli kama hizi huku wakidhani haziwahusu!! Pamoja na yote hayo, mnapaswa kufahamu fika kwamba; wote nyinyi hata kama mna kadi za CCM bado ni vidampa tu mbele ya yule Kingunge Ngombale Mwiru wa CCM!! Hata kama mna kadi tangia enzi za TANU, wote nyinyi ni vidampa tu mbele ya mtu kama Lowassa au Fredrick Sumaye wa enzi za CCM! Na si ajabu, ni vidampa hata mbele ya mtu kama Lawrence Masha aliyepata kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchi hii!!

Hii maana yake nini? Usidhani vitisho kama hivi wewe havikuhusu kwa sababu tu wewe ni kada wa CCM! Kama ndivyo unavyodhani, basi uelewa wako ni mdogo kupitiliza! Nimewataja hapo akina Kingunge ambao miezi 30 tu iliyopita nao wangedhani kauli za vitisho kama hizo haziwahusu! Je, mtu kama Lowassa ambae hapo kabla angedhani kauli kama hiyo haimuhusu leo anaweza kudiriki kusema hivyo? Who are you ndani ya CCM compared to Kingunge Ngombale Mwiru? Ingawaje Kingunge ametoka CCM; hivi unaamini vigogo kama Mzee Mwinyi au Pius Msekwa anaweza kukuamini kada wewe kuliko Mzee Kingunge?!

Endeleeni kufurahia kauli za vitisho kama hizi lakini kaa mkifahamu hili si la mmoja! Wakati inapitishwa Sheria y Mitandao niliamini kwamba hainihusu kwa kile nilichoamini nikiwa na akili yangu timamu siwezi kuingia online na kuanza kutukana watu, kuanza ku-post picha za utupu n.k! I swear to God, niliamini hainihusu kabisa na hata hapa niliwahi kuandika kwamba "A black cat may be a bad lucky only if you're mouse!" Lakini leo hii hakuna sheria ninayoiogopa kwenye hii nchi kama sheria ya mitandao ambayo, practically imebadilika kutoka kuwa Sheria ya Mitandao to Sheria Ya Kubana Maoni!

Ajabu ni kwamba, utakuta wengi wanaoshabikia kauli kama hizi hapa JF ni vijana wadogo wengine wakiwa below 30. Don't be stupid, you've a very long way to go!! Hilo hilo unaloshabikia leo wakati hata direction ya maisha yako haija-settle ndio hilo hilo litakalokutafuna kesho kwenye harakati zako za kimaisha!

Ikiwa kupinga kauli ya Rais ni UCHOCHEZI, am ready to face consequences lakini kauli hiyo ya Rais haileti picha nzuri kutoka mdomoni mwa Rais aliyechaguliwa kwa sanduku la kura. Haipendezi kutoka mdomoni mwa Commanding In Chief ambae Majeshi ya Ulinzi na Usalama yapo chini yake!

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
wacha uchochezi wewe. kama una akili huwezi kutafsiri literally kila tamko la rais. akisema atashughulikia mkorofi kwa dakika tano wewe unataka watu waone kama ataua mtu kumbe ni kuonesha atashughulikiwa mara moja tena kwa sheria. hivi ndivyo tunaomuunga mkono jpm tunachukulia. ila wale wanaochukia anavyoshughulika kuleta utii wa sheria na nidhamu nchini ndio wanahamaki na wana donge moyoni.
 
Ungekuwa uko tayari weka majina hako yote na picha ili ukawafilie. Subiri ukiwa Rais utaibadili hiyo sheria. Kam huwezi kuwa Rais endelea kuumia maana haujui urais ukoje.
Sheria hii tuifahamu tujiepushe nayo hapo ndo tutafikia kinachokusudiwa.
Labda unadhani kutumia Fake ID kwako ni usalama... kama ndivyo ulivyodhani, you need to think twice!!
 
Hao wote unaowasifia ni bure kabisa.Mtu anayekijua chama hawezi hama chama hata siku moja.Huwezi acha mbachao kwa msala upitao.Kuna kitu kinaitwa CONSISTENCY katika mambo ya Party struggle.Unakipagania chama jua liwake,mvua inyeshe.Mtu anayekijua chama vizuri atasimama nacho milimani na mabondeni,kwenye vita na kwenye raha.Hao walioomna vita imekolea wakatimua hawana misimamo si askari wazuri wa chama chochote.Hata huko waweza watoroka wakaenda chama kingine au kurudi CCM sababu ni watu ambao huvunjika moyo upesi wakiona vita nzito.

Tuliobaki CCM ni chuma cha pua.Hao wote unaowasifia hawana hamu na sisi.Sisi Ni wapigania chama wasiochoka wala kusinzia tulipwe ,tusilipwe tuko na CCM yetu TUKIIPIGANIA MCHANA na usiku ili nchi iendelee kuwa na amani na utulivu na wasioitakia mema kuhakikisha hawashiki Nchi hii kwa jinsi yeyote ile iwayo.

Tunaipigania CCM sababu tunaamini kuwa ndicho chama ambacho kina uwezo wa kusimamia maslahi ya walio wengi katika nchi hii tofauti na vyama vingine ambavyo mlengo mkuu ni kusimamia maslahi ya wachache.
Mbona huyasemi hayo kuhusu Lipumba na Dr Slaa?Kweli nyie vigeugeu!
 
Enzi za Rais Kikwete kutokana personality yake ya kutokuwa mkali basi mlimtukana na kumdharau kweli, Mnyika alithubutu kumuita eti Rais ni impotent halafu alitukania bungeni lkn bado Kikwete alitabasamu.

Kina Mbowe walikuja na movement za ajabu ajabu kweli,Mara operesheni Sangara,mara operesheni nini sijui...yaani ilikuwa ni vurugu.

Mwisho kabisa wanaChadema mkadai kwa nguvu zote kuwa mnataka Rais mkali na akisema neno kila RAIA aelewa Rais kasema.

Mungu akasikia kilio chenu na akamleta JPM ili kuokoa hiki kizazi cha Nyu.mbu

Na mna bahati sana Rais sio mimi, vinginevyo...................!!!!!!

NB: Rais wangu Mh. Magufuli punguza upole.
 
Back
Top Bottom