Mwaka mpya sio sikukuu ya Wakristo....sikukuu rasmi za wakristo ni kama Krismasi,Pasaka,Pentekoste.Mwaka mpya!
Kutahiriwa!
Mapokeo ya wakatoliki,waanglikana na walutheri tu ndio husema kuwa mwaka mpya ni siku ya kupewa jina na kutahiriwa Yesu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka mpya sio sikukuu ya Wakristo....sikukuu rasmi za wakristo ni kama Krismasi,Pasaka,Pentekoste.Mwaka mpya!
Kutahiriwa!
Hiyo ndo tarehe ya kuzaliwa kristo na hata mwaka wa AD huanzia hapoKwani Wakristo tarehe 01,January ni sikukuu gani kwao.....
Krismasi ndio tarehe ya kuzaliwa Kristo 25 DecemberHiyo ndo tarehe ya kuzaliwa kristo na hata mwaka wa AD huanzia hapo
Mbona Wakristo wanapumzika tarehe 1, January?
Mbona mwaka mpya huwa sio 25 Dec.Krismasi ndio tarehe ya kuzaliwa Kristo 25 December
Ilipotea au ilipotezwa?Ilipotea, alafu Zanzibar ikabaki.
Mbona Wakristo wanapumzika tarehe 1, January?
HaswaMihemko ya kijinga na upuuzi tuu
Kivipi na lini waliingiaIsrael pia ni mwanachama wa OIC.
Ilipotea.Ilipotea au ilipotezwa?
SawaIlipotea.
Ilipotea, alafu Zanzibar ikabaki.
Hii ni bidaa', hakuna sehemu Waislam wanaambiwa waadhimishe mwaka mpya wa Kiislam wanaiga wakitaka wawe sawa na Manaswara kwa kila kitu
Kwasababu wakristo hawana kalenda ya kikristo kama waislamu walivyo na kalenda yao .Wakristo wanafuata Gregorian Calendar ambayo ni kama international calendar yaani inakubalika duniani koteMbona mwaka mpya huwa sio 25 Dec.